Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Huwe is uwe
Kukuhuliza is kukuuliza yani kukaa huko USA ndio na lugha yetu ushasahau ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye course yako hukusoma illegal immigrants, smugglers?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuongezea, siri ya , muda mzuri wa kusepa ni huu wa Udikteta Uchwara na kutekwa hovyo na wasiojulikana!

ukifika huko sema wewe ni lile chama kubwa la Tundu Lisu. sijui nini vile '''CHADEMA! Faster tuu! una pata hifadhi, au mdogo wake Azoli gwanda!

Ila tahadharini yenu, kila anaye soma hapa afute maandishi haya ibaki kuwa siri yake! Jiwe akisoma hii tu anabana uhamiaji mpaka Air port, ili msichomoke!

utaulizwa maswali meeengi ya ukiritimba, kabla hujagongewa! ukishindwa tuu! ndo holaaa!
 
Hapo nikuwatumia madolari, waishi vizuri, watoto wasome vizuri, atume pesa za uwekezaji zijengwe kama lodge 3 za maana, awekeze awekeze ndio arudi bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mke au ndg unaye mtumia atatia ndani watoto hawasomi, mke atajenga kwao na kujirusha, ukirudi utakachokiona ni kuzimia tu kudadadeki! fedha ni wewe , na wewe ndo fedha! asithubutu, km yule mfanya kazi wa tv alivo jiripua, ....saro
 
Hongera kwa kujilipua...

Omba Mungu tu waliokupeleka US kwenye mkutano wasipite hapa halafu wakaenda kukuchomea ubalozi wa US...

Kingine jiepushe na matumizi ya mitandao na kujiexpose kama hivi, dakika sifuri tu utapata hizi habari unaandika humu zipo kwenye jalada lako ofisi za uhamiaji ya huko...

Otherwise wakihakiki wewe ni Msomli basi jua ndio umeula hivyo hata wanao utaweza wasogeza huko
 
Kashajitia kitanzi mwenyewe, atakuta hizi habari hapo kwenye file.hatujui usikute huyo mkenya mkalimani yupo humu.
Na walivyo na roho za kwanini.
 
Tatizo lenu wbongo wengi mnadhani Canada na Marekani wanaishi wanamuziki tu, ndio maana hata mifano yenu yote ni ya celebrities tuu
 

Muamiaji haramu na mkimbizi ni mambo mawili tofauti

Kulingana na jamaa alivyosema na alivyotembea kifupi tu maelezo yake jamaa ni muongo sana.maelezo yako ndo sababu ya mimi nimemwambia anachkiongea sio kweli.
 
Muamiaji haramu na mkimbizi ni mambo mawili tofauti

Kulingana na jamaa alivyosema na alivyotembea kifupi tu maelezo yake jamaa ni muongo sana.maelezo yako ndo sababu ya mimi nimemwambia anachkiongea sio kweli.
Sijakuomba uniamini kwasababu hata ukiniamini au usiniamini hainisaidii chochote ila nimejaribu kuwaelezea watu hali halisi ya Watu wanavyofanya kuzamia nchi za watu.Halafu umeongea ukweli kwamba Mkimbizi na Muhamiaji haramu ni watu wawili tofauti na ntakuongezea na Muomba hifadhi.Tafsiri ya hao watu watatu ni hii-;
1.Wakimbizi(Refugees) ni wale wanaokimbia machafuko katika nchi zao Kama vile Somalia,Syria,Yemen n.k

2.Wahamiaji haramu(Illegal Immigrants) ni wale wanaoingia nchi za watu na kuishi bila ya kufuata utaratibu wa nchi hiyo.Hivyo kuishi na kufanya kazi bila ya Serikali ya nchi hiyo kumtambua kisheria.Kwa mfano mtu anaenda Marekani kumtembelea ndugu yake kisha anaishi pale na kufanya kazi wakati Visa ilishaisha muda wake.

3.Waomba hifadhi(Asylum seekers) ni watu ambao wamekimbia nchi zao kwasababu ya Manyanyaso yanayotolewa na serikali zao Kama vile kukosa Uhuru wa kujieleza,Waandishi kupotezwa na kuuawa,Wanasiasa kupigwa risasi hadharani na kuminya haki na Uhuru wa Raia wako.Pia Kama mashoga kudhalilishwa kuteswa na kufungwa,Kupingwa kwa Ndoa za jinsia moja na usagaji N.K.
Hao wawili niliowataja hapo juu yaani Refugees na Waomba hifadhi wana haki kimataifa kusikilizwa katika nchi walizokwenda na kupewa hifadhi na kutambulika kisheria katika nchi hizo(To be Granted)
Ila kwa Muhamiaji haramu huyo hatambuliki kisheria na hufungwa na kurudishwa nchini kwao.Ikiwa utaingia kiharamu ila ukaclaim Kama Asylum seeker au Refugee unahesabika Kama Mkimbizi au Muomba hifadhi ambapo Sheria inalitambua hilo.Kama upo Marekani kweli itume namba yako hapa nikutafute.Usijifanye Mjuaji unaboa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nimecheka sana.hapa ndio napata kugundua kuwa watu wengi hawayajui haya mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amini unavyotaka kuamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiendelee kuchosha watu humu. Unajaza saver kwa takataka. Tangu lini mtu aliyezamia at the expense ya kampuni iliyomtuma ng'ambo kikazi akaka kujiexpose namna hii? Wadanganye wajinga wenzio. JF ni pana ingekuwa kweli atleast uliokuwa unafanya nao kazi hapa bongo wangenshacomment chochote.
 
Hahahahahaa,unanifurahisha sana.Sasa cha ajabu nini mimi kuzamia.ikiwa nilifanya kazi na nikiwa na elimu ya digree hakuna nilichopata zaidi ya pesa yote kuingia kwenye matumizi hakuna kusave.Wakati huku nina uwezo wa kusave mpaka milioni 2.Bongo kuna nini Zaidi ya Urasimu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks for the information.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…