Toa maelezo acha zamo...Canada au Marekani sio Mars au Pluto wawe tofauti na nchi zingine.
Ambacho anaeleza haliwezekani kivipi maana naona waruka ruka mzee baba?
Kusoma tatizo kwani..mimi hata sihitaji vyeti vyako vya nini. Hujaniwekea vyeti mimi na sivihitaji.Maswala ya ukimbiz nimesomea angalia vyet vyangu nilikuwekea,
Kwa maelezo yake na nchi yalioptia kufka canada ni uongo mtupu.
Unaweza kuingia canada ila kwa maelezo haya ni uongo
Kusoma tatizo kwani..mimi hata sihitaji vyeti vyako vya nini. Hujaniwekea vyeti mimi na sivihitaji.
Nachohitaji ni kupinga kuliko na logic.
Mtu kashakuambia amefanyiwa mpango wa visa na agent kwa safari ya kiofisi Marekani. Alipofika akaachana na safari akaingia mtaani.
Amekutana na wana wakamwambia ingia Canada akaingia kwa njia za magumashi. Kipi kigumu hapa?
Marekani aliingia kama Mtanzania mwenye documents zote sasa Marekani wamkamate kwa lipi?
Usitafute namna ya kukimbia mkuu unaeishi Marekani unayebisha hakuna wakimbizi haramu wanaoingia Canada kupitia Marekani.Unavyoongea ni kweli huna experience ngoja tu nikuache nataka kuongea na watu wenye experience
Yaani uongee mwnyew ujuwi chochte alafu tena unabisha
Aaah wabongo bhana
Kwa hiyo immigration ya Canada iko so corrupt and ineffective kiasi kwamba inakuamini tu kirahisi kwamba we ni msomali? Msomali uliyetokea boarder ya US?. Immigration ya Canada imekukamata na imekuweka kizuizini then kirahisi rahisi tu haifanyi further investigation ya vitu kama facial recognition ambayo inascan through camera zote za airports na mitaa ya afiliated countries, yes maana siku hizi suala la ugaidi ni kubwa watu hawawezi tu kukupokea kizembe zembe tena na hao wanaojitambulisha kutoka somalia ni one the Target. So wanakuamini kuwa msomali just by speaking few words? Seriously? Hiyo siyo Uhamiaji ya first world labda huko 3rd world. Yes unaweza kweli ukawa umeingia Canada but waambie ukweli how you got there,,,, hii hatununui
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna ukuta unaofika mawinguni kutoka kwenye border za hizi nchi mbili?Iko hivi,unapoingia marekani ukuwa kwenye system za nchi ya marekani.unapokuwa unasafiri popote marekani wanajua kuwa hyu mtu iko wapi na watakutafutia watu.mfano umeenda marekani kwasababu ya shule,ukikarbia kumalzia shule wanaanza kukutumia barua za visa yako kwisha muda wake.na wanajua watakupata wapi maana marekani umeingia una wenyeji wako.kama umepewa siku tatu na ziwe siku tatu unapozidisha wanaanza kufatia kwa wenyej wako na wenyej wako wasipojua ulipo iyo ni kesi kwao.
Ndo umefanikiwa kuingia nchini marekani kwenda canada huwezi kuvuka border ya marekani kuingia canada bila vitambulisho vinavyokutambulisha wewe ni nani na unaenda canada kufanya nini.wanapokuingiza kwenye system zao wanajua kabisa wazi kuwa wewe ni mgeni ulikuja kwa visa ya kutembea hiyo ni kesi nyngine na huwez kuruhusiwa kuingia canada kamwe.
Acha kudanganya watu mkuu,marekani kwenda state nyingine tu lazima uwe na vitambulisha sembuse kuvuka border ya nchi kuingia lazma wawe na taarifa zao na kutoka lazima wapata taarifa zako
Kwaiyo marekani haiwezi kukuruhusu kuvuka border kuingia canada kama wewe uko umekuka marekani kwa njia na vikao mkuu.
Mimi niko marekani,nimeenda canada mara nyingi na nimetembea marekani sehemu nyingi na utaratbu huu wa kusafr naufahamu vizuri sana.
NB:hakuna mkimbizi nchini canada kutokea mpaka wa marekani na sheria ya canada na marekani hairuhusu ukimbiz wa mipakani.
Na kama utakataa nitakuzibishia kwa vitendo.
Na wanaoruhusiwa kuvuka mpaka wa marekani bila ukaguzi ni raia wa marekani ambao wana pasport na ukitoka kuingia canada wanajua kuwa kuna raia wetu ipo kama na hata gari uliotumia utatambulika.hata namba za gari tu wanatambua kuwa gari hii imeshaingia nchi canada au kifika kwenye mipaka ya nchi fulani
Na kama na hili unabisha nitadhibitiha hapa
Marekani kila ktu kipo kwenye system unapofinga tu tayar unashikwa.
Kuna ukuta unaofika mawinguni kutoka kwenye border za hizi nchi mbili?
Umenichekesha sana ila inabidi nikudharau tuHuyu ni tapeli lipo humuhumu bongo linajifunza kuuzia watu chai! Ati kawaambia ni under age lakini ana mke na watoto 3. Daah! Kwanza mtu ambaye kampuni inaweza kumpeleka hadi US kwa ajili ya workshop au training ni mtu anayejielewa, composed na atleast senior kwa hiyo hawezi kuzamia hata kidogo. Afterall kama umesoma vizuri kwanini uzamie? Si ufuate utaratibu ukafanye kazi kama expert? Halafu linajisifu ati limepata kazi ya uhotelia. Terrible! Yaani mtu uzamie ughaibuni, uache familia Tanzania halafu unakuwa hotelia huku ukitegemea kutoboa maisha? Ujinga.
Niliwaambia Agent alienileta kakichukua kasema nikikamatwa nacho Ntafungwa kwa sheria za hapaWalipokuuliza hati ya Tanzania uliipata wapi? Siuliwajibu?
Sasa kitabu kipo wapi? Uliwajibu nini?
Bado amefungwa pingu.Subiri afunguliwe ataleta mwendelezoJamaa hajamaliz story tayari wabongo mshaanzaa kujipa majibu ya hovyo hum tz na dunian kunawatu wanausubutu wa ajabu na mibahati sasa wewe hata kuhama mkoaa tu huwez na ujinga wako lazima uwone ni jambo lisilowezekana mkuu endeleaa kutupa story
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukuta unaofika mawinguni kutoka kwenye border za hizi nchi mbili?
Kuna ukuta unaofika mawinguni kutoka kwenye border za hizi nchi mbili?
Nani wa kudharauliwa mimi au wewe uliyetelekeza familia na kwenda kudeki restaurants huko? If at all is true. Mimi naamini ni uwongo.
Wewe ndiyo haujui chochote...toka mwanzo nakusoma unabisha bisha pasipo sababu.Bas wewe kaa na huo ujinga wako na mimi nikae na ninachokijua
Wewe ndiyo haujui chochote...toka mwanzo nakusoma unabisha bisha pasipo sababu.
Eti unatuwekea vyeti sisi tunashida na vyeti vyako. Mrudishie mwenye vyeti asije kukamata maana unayoandika hayaendani na aliyesoma.
Kama upo Marekani basi ulibebwa mgongoni ukaambulia bega la aliyekubeba, umbali wa safari utaujuaje????
You're right yani maelezo yako ni kama nilikuwa naangalia ile documentary ya boarders control.Iko hivi,unapoingia marekani ukuwa kwenye system za nchi ya marekani.unapokuwa unasafiri popote marekani wanajua kuwa hyu mtu iko wapi na watakutafutia watu.mfano umeenda marekani kwasababu ya shule,ukikarbia kumalzia shule wanaanza kukutumia barua za visa yako kwisha muda wake.na wanajua watakupata wapi maana marekani umeingia una wenyeji wako.kama umepewa siku tatu na ziwe siku tatu unapozidisha wanaanza kufatia kwa wenyej wako na wenyej wako wasipojua ulipo iyo ni kesi kwao.
Ndo umefanikiwa kuingia nchini marekani kwenda canada huwezi kuvuka border ya marekani kuingia canada bila vitambulisho vinavyokutambulisha wewe ni nani na unaenda canada kufanya nini.wanapokuingiza kwenye system zao wanajua kabisa wazi kuwa wewe ni mgeni ulikuja kwa visa ya kutembea hiyo ni kesi nyngine na huwez kuruhusiwa kuingia canada kamwe.
Acha kudanganya watu mkuu,marekani kwenda state nyingine tu lazima uwe na vitambulisha sembuse kuvuka border ya nchi kuingia lazma wawe na taarifa zao na kutoka lazima wapata taarifa zako
Kwaiyo marekani haiwezi kukuruhusu kuvuka border kuingia canada kama wewe uko umekuka marekani kwa njia na vikao mkuu.
Mimi niko marekani,nimeenda canada mara nyingi na nimetembea marekani sehemu nyingi na utaratbu huu wa kusafr naufahamu vizuri sana.
NB:hakuna mkimbizi nchini canada kutokea mpaka wa marekani na sheria ya canada na marekani hairuhusu ukimbiz wa mipakani.
Na kama utakataa nitakuzibishia kwa vitendo.
Na wanaoruhusiwa kuvuka mpaka wa marekani bila ukaguzi ni raia wa marekani ambao wana pasport na ukitoka kuingia canada wanajua kuwa kuna raia wetu ipo kama na hata gari uliotumia utatambulika.hata namba za gari tu wanatambua kuwa gari hii imeshaingia nchi canada au kifika kwenye mipaka ya nchi fulani
Na kama na hili unabisha nitadhibitiha hapa
Marekani kila ktu kipo kwenye system unapofinga tu tayar unashikwa.