Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Kibongo bongo ni hela nyingi sana.. Ila kwa Marekani gharama za maisha ziko tofauti sana sana na bongo…
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Umeenda mbele kutafuta maisha/hela au umeenda kutaka kua huru kama wazungu?

Ukitaka kua huru bora ubaki tu huku Igunga boss.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu US Na sehemu nyingi kwa wiki minimum ni 40Hrs ukiweka overtime wastan hata 50Hrs Kwa wiki
 
Sikupigwa ila sitaki kuwaaminisha watu njia hii niliyotumia mimi maana mimi nilikuwa na msimamo wangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Iko hivi,unapoingia marekani ukuwa kwenye system za nchi ya marekani.unapokuwa unasafiri popote marekani wanajua kuwa hyu mtu iko wapi na watakutafutia watu.mfano umeenda marekani kwasababu ya shule,ukikarbia kumalzia shule wanaanza kukutumia barua za visa yako kwisha muda wake.na wanajua watakupata wapi maana marekani umeingia una wenyeji wako.kama umepewa siku tatu na ziwe siku tatu unapozidisha wanaanza kufatia kwa wenyej wako na wenyej wako wasipojua ulipo iyo ni kesi kwao.

Ndo umefanikiwa kuingia nchini marekani kwenda canada huwezi kuvuka border ya marekani kuingia canada bila vitambulisho vinavyokutambulisha wewe ni nani na unaenda canada kufanya nini.wanapokuingiza kwenye system zao wanajua kabisa wazi kuwa wewe ni mgeni ulikuja kwa visa ya kutembea hiyo ni kesi nyngine na huwez kuruhusiwa kuingia canada kamwe.


Acha kudanganya watu mkuu,marekani kwenda state nyingine tu lazima uwe na vitambulisha sembuse kuvuka border ya nchi kuingia lazma wawe na taarifa zao na kutoka lazima wapata taarifa zako

Kwaiyo marekani haiwezi kukuruhusu kuvuka border kuingia canada kama wewe uko umekuka marekani kwa njia na vikao mkuu.

Mimi niko marekani,nimeenda canada mara nyingi na nimetembea marekani sehemu nyingi na utaratbu huu wa kusafr naufahamu vizuri sana.

NB:hakuna mkimbizi nchini canada kutokea mpaka wa marekani na sheria ya canada na marekani hairuhusu ukimbiz wa mipakani.

Na kama utakataa nitakuzibishia kwa vitendo.

Na wanaoruhusiwa kuvuka mpaka wa marekani bila ukaguzi ni raia wa marekani ambao wana pasport na ukitoka kuingia canada wanajua kuwa kuna raia wetu ipo kama na hata gari uliotumia utatambulika.hata namba za gari tu wanatambua kuwa gari hii imeshaingia nchi canada au kifika kwenye mipaka ya nchi fulani

Na kama na hili unabisha nitadhibitiha hapa

Marekani kila ktu kipo kwenye system unapofinga tu tayar unashikwa.
 
Ulisoma maelezo yake vizuri asee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa mnafikiri Canada maisha ni Ubwete,siku ukifika ndio utajua Canada ikoje pia watu waliotangulia huwa hawasemi ukweli kwa wenzao wanaotamani kwenda huko,maisha ni expensive labda unaishi miji midogo,
Wewe umewahi kufika hata Nairobi tu??? Yaani unafananisha maisha ya Toronto na kwenu Shinyanga? Una akili kweli wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watabisha
 
Point

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…