Mwakitobile
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 452
- 120
Huyo mama naye kazidi utamu.Kha! hadi anasababisha muheshimiwa kuwahi ahera bila kujipanga
Usalama wa mwenye mke na mali zake umerejea na kuimarika.
Taratibu jaman vibaya kuisema maiti.
Usalama utarejea kama alikuwa anakula kwa kinga maana Libe mwenyewe mke alishakufa na yule Asha wa Tabora alishakufa, ngoma!!! Doroth naye si mjane kama sijakosea? Na ujane wenyewe pengine nao wa Ngoma!!! Khaaaaaa!!!
Kamanda naye alikuwa analeta dharau unatafuna mali za watu halafu unakwenda kujiachia mpaka maeneo ya jamaa.
Mke wa mtu "Thumu"
Yani waböngo kwa kushadadia vitu,haya sasa kila mtu anasema ni mke wa mtu kwa kusikia.Trust me huyo alikuwa ni dada yake kabisa and there's more to the story than just assumptions