Hii kali sana mke wa mtu sumu by the way nasikitika sana kwa tukio hili polisi wabadilike ili ulinzi shirikishi u-prevail,sasa polisi jamii wana linda jamii ama wanaua watu hapo kuna kitu hakuna cha polisi jamii wala nini.ukisema polisi jamii unaongelea usalama je usalama uko wapi kwa hali ile!!!!!!!!!!!!!!
Usalama wa mwenye mke na mali zake umerejea na kuimarika.