1.Polisi jamii tangu lini wanakuwa na bunduki?
2.Tangu lini polisi jamii wakagombana na kamanda? Je, kuvaa mkanda ni sababu tosha ya kuanzisha vurugu kiasi cha kupigana risasi?
3. Huyo mama kama unamfahamu, unafahamu kuwa huwa anapelekwa hapo na kamanda mara kwa mara na unafahamu kuwa anaisaidia polisi, kwanini usitaje jina lake?
My take: "ukweli" ulioutoa una mapungufu mengi, hasahasa kwenye kuelezea kina nani waliohusika kumuua kamanda.
Ndiyo maana nimesema "the so called polisi jamii". Kuna maswali mengi kuhusu polisi jamii hasa wanapoonekana wakiwa na silaha za moto. Wakati mwingine polisi jamii ni polisi wenyewe ila hawa inaonekana walikuwa polisi jamii raia na ndiyo maana marehemu akawahoji kwa nini wanafaa mikanda ya polisi. Nasikia walichukua ile radio call, cell phone na bastola yake.
je huyo mama anaporudi saa nane je mume huwa wapi?
Je huyo mume alisha muonya rpc, na mke wake?
Je rpc hakuogopa kufika eneo jirani na mwenye mke?
?
Mkuu Mbona jina lishatajwa, anaitwa Mwalimu Doroth
Ritz leo umekuwa mkweli sana!! Nimekupa na like Mkuu!! Kumbe ukiamua unaweza!! Ha ha ha ha !!!Wameshikwa pabaya. Sasa sijui IGP atoakuja tena na Press Release nyingine au yataisha kimya kimya kama yale ya Ulimboka na Mwangosi?Kamanda naye alikuwa analeta dharau unatafuna mali za watu halafu unakwenda kujiachia mpaka maeneo ya jamaa.
Duh jf kiboko kila kilicho ndan ya kitafunuliwa safi sna ckuhz nimeacha hta kusoma magazeti maana habari zote nazinyaka humu jamvini hata nikiwa kijjn maeneo ya miyombo,ulaya,kigunga,zombo et al napeta tu na jf
Said mwema alivyotoa taarifa yake mapema mno nikahisi kuna walakini.
Kuna mengi yatafuatia.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Duh jf kiboko kila kilicho ndan ya kitafunuliwa safi sna ckuhz nimeacha hta kusoma magazeti maana habari zote nazinyaka humu jamvini hata nikiwa kijjn maeneo ya miyombo,ulaya,kigunga,zombo et al napeta tu na jf