Rais Samia, baada ya kumtengua Naibu Waziri Gekul, usimuache ofisini RPC wa Arusha na wasaidizi wake

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,496
37,789
Kwanza nikupongeze Kwa hili ulilofanya Jana Kwa Gekul maana alisitahili.

Lakini usiishie hapo maana Gekul hakufanikisha unyama huu Peke yake. Baada ya kumtesa na kujeruhi kijana Hashimu ndani ya Hotel yake alimbeba Hadi Polisi ambako manyanyaso na mateso yaliendelea Kwa siku 4 Hadi alipoonekana kudhoofu na akakabidhiwa Kwa Baba yake na Askari Kwa maelekezo kwamba "utamleta tukimhitaji".

Polisi ndio wapokea malalamiko na kuyaanzishia mashitaka. Katika Hali ya kawaida kosa la kuchota fundo la mchanga karibu na nyumba ya Mtu linakuwaje KUTISHIA KUUA?

Jinai ya kuchota mchanga Kwa kiganja cha mkono ni ipi kwenye tukio hili na linamuweka mtuhumiwa mahabusu siku 4?

Kibaya zaidi RPC Katabazi anaulizwa na waandishi wa habari kuhusu mateso na manyanyaso Kwa mtuhumiwa toka Kwa naibu Waziri anakana na kutaka Wenye ushahidi wapeleke kwake. Ushahidi gani aliotaka wakati anajua Kijana alipelekwa Polisi akiwa na majeraha?

Utendaji wa Polisi kubeba na kuficha maovu ya viongozi wa kisiasa yanaumiza wengi na kukichafua Chama cha mapinduzi kionekane cha watesaji na wanyanyasaji. RPC alikuwa na room kubwa ya kumshauri Gekul aachane na kesi hii mapema maana ushahidi wa ushirikina unathibitishwa kishirikina na siyo Kisheria.

Lakini Hashimu akawekwa ndani siku 4 na RPC akawa anaogopa kumtoa akisubiri Gekul aruhusu. Yaani Jeshi la Polisi linamuweka ndani Mtu Kwa maelekezo ya mwanasiasa na halimtoi mpaka mwanasiasa mwenyewe aruhusu. Sasa hapo Nani Polisi? Gekul au Katabazi?

Tunaomba Mheshimiwa Rais wape funzo la weledi maafisa wa Polisi nchi nzima Kwa kumuonyesha mfano RPC wa Manyara aliyediriki kuficha uhalifu wa Gekul na inawezekana mitandao isingepiga kelele hata wewe usingeambiwa madudu ya mteule wako.
 
Watanzania jambo moja lipo wazi sasa.
Tusimrudishe madarakani mgombea yeyote wa CCM ili nchi ipone.

Rais naye haaminiki. Matendo yake ni ya mashaka mno kwetu kuanzia mikataba hadi kauli zake
ooh aise!!
unahoja nzito sana hadi waTanzania wanakushangaaaa yaani

kwahiyo utagombea kupitia chama gani sasa ili waikatae mazima CCM na wakufuase wew mtukufu.?
 
CCM wakimteua huyu kupeperusha bendera ya Babati come 2025, sitawashangaa sababu kulinda waovu yawezekana ni makubaliano ya msingi ndani ya chama. Watu wa Babati wakimrudisha Gekul mjengoni 2025, nitawashangaa na nitasikitika sana.
Watanzania ikifika kipindi cha u haguzi huwa hawaaminiki lakini ushauri wangu kwa watu wa Babati wahakikishe Gekul harudi mjengoni.
 
Kwanza nikupongeze Kwa hili ulilofanya Jana Kwa Gekul maana alisitahili.

Lakini usiishie hapo maana Gekul hakufanikisha unyama huu Peke yake. Baada ya kumtesa na kujeruhi kijana Hashimu ndani ya Hotel yake alimbeba Hadi Polisi ambako manyanyaso na mateso yaliendelea Kwa siku 4 Hadi alipoonekana kudhoofu na akakbidhiwa Kwa Baba yake na Askari Kwa maelekezo kwamba "utamleta tukimhitaji".

Polisi ndio wapokea malalamiko na kuyaanzishia mashitaka. Katika Hali ya kawaida kosa la kuchuta fundo la mchanga karibu na nyumba ya Mtu linakuwaje KUTISHIA KUUA?

Jinai ya kuchota mchanga Kwa kiganja cha mkono ni ipi kwenye tukio hili na linamuweka mtuhumiwa mahabusu siku 4?

Kibaya zaidi RPC Katabazi anaulizwa na waandishi wa habari kuhusu mateso na manyanyaso Kwa mtuhumiwa toka Kwa naibu Waziri anakana na kutaka Wenye ushahidi wapeleke kwake. Ushahidi gani aliotaka wakati anajua Kijana alipelekwa Polisi akiwa na majeraha?

Utendaji wa Polisi kubeba na kuficha maovu ya viongozi wa kisiasa yanaumiza wengi na kukichafua Chama cha mapinduzi kionekane cha watesaji na wanyanyasaji. RPC alikuwa na room kubwa ya kumshauri Gekul aachane na kesi hii mapema maana ushahidi wa ushirikina unathibitishwa kishirikina na siyo Kisheria.

Lakini Hashimu akawekwa ndani siku 4 na RPC akawa anaogopa kumtoa akisubiri Gekul aruhusu. Yaani Jeshi la Polisi linamuweka ndani Mtu Kwa maelekezo ya mwanasiasa na halimtoi mpaka mwanasiasa mwenyewe aruhusu. Sasa hapo Nani Polisi? Gekul au Katabazi?

Tunaomba Mheshimiwa Rais wape funzo la weledi maafisa wa Polisi nchi nzima Kwa kumuonyesha mfano RPC wa Manyara aliyediriki kuficha uhalifu wa Gekul na inawezekana mitandao isingepiga kelele hata wewe usingeambiwa madudu ya mteule wako.
Kazi ya polisi ni ngumu sana 'dealing with two sides".
 
CCM wakimteua huyu kupeperusha bendera ya Babati come 2025, sitawashangaa sababu kulinda waovu yawezekana ni makubaliano ya msingi ndani ya chama. Watu wa Babati wakimrudisha Gekul mjengoni 2025, nitawashangaa na nitasikitika sana.
Watanzania ikifika kipindi cha u haguzi huwa hawaaminiki lakini ushauri wangu kwa watu wa Babati wahakikishe Gekul harudi mjengoni.
kama hawaaminiki wewe inakusumbua nini wenzie wanapotumia haki yao ya msingi na kikatiba?

wananchi wa babati watamchagua yule anaefaa kuwa kiongozi woa, wakimchagua Gekul sawa wakimchagua mwingine ni sawa na ndio demokrasia....

Demokrasia haiamuliwi kwa chuki mihemko na ghadhabu.

sera, umahiri na ushawishi wa mgombea dhidi ya wananchi na wanachama walio wengi ndio msingi wa ushindi kwa mgombea...
 
Kwanza nikupongeze Kwa hili ulilofanya Jana Kwa Gekul maana alisitahili.

Lakini usiishie hapo maana Gekul hakufanikisha unyama huu Peke yake. Baada ya kumtesa na kujeruhi kijana Hashimu ndani ya Hotel yake alimbeba Hadi Polisi ambako manyanyaso na mateso yaliendelea Kwa siku 4 Hadi alipoonekana kudhoofu na akakbidhiwa Kwa Baba yake na Askari Kwa maelekezo kwamba "utamleta tukimhitaji".

Polisi ndio wapokea malalamiko na kuyaanzishia mashitaka. Katika Hali ya kawaida kosa la kuchuta fundo la mchanga karibu na nyumba ya Mtu linakuwaje KUTISHIA KUUA?

Jinai ya kuchota mchanga Kwa kiganja cha mkono ni ipi kwenye tukio hili na linamuweka mtuhumiwa mahabusu siku 4?

Kibaya zaidi RPC Katabazi anaulizwa na waandishi wa habari kuhusu mateso na manyanyaso Kwa mtuhumiwa toka Kwa naibu Waziri anakana na kutaka Wenye ushahidi wapeleke kwake. Ushahidi gani aliotaka wakati anajua Kijana alipelekwa Polisi akiwa na majeraha?

Utendaji wa Polisi kubeba na kuficha maovu ya viongozi wa kisiasa yanaumiza wengi na kukichafua Chama cha mapinduzi kionekane cha watesaji na wanyanyasaji. RPC alikuwa na room kubwa ya kumshauri Gekul aachane na kesi hii mapema maana ushahidi wa ushirikina unathibitishwa kishirikina na siyo Kisheria.

Lakini Hashimu akawekwa ndani siku 4 na RPC akawa anaogopa kumtoa akisubiri Gekul aruhusu. Yaani Jeshi la Polisi linamuweka ndani Mtu Kwa maelekezo ya mwanasiasa na halimtoi mpaka mwanasiasa mwenyewe aruhusu. Sasa hapo Nani Polisi? Gekul au Katabazi?

Tunaomba Mheshimiwa Rais wape funzo la weledi maafisa wa Polisi nchi nzima Kwa kumuonyesha mfano RPC wa Manyara aliyediriki kuficha uhalifu wa Gekul na inawezekana mitandao isingepiga kelele hata wewe usingeambiwa madudu ya mteule wako.
Msichokijua, Babati jimbo linakiwa CCM, wametengeneza zengwe na limefanikiwa maana Gekul kesha chafuka kila kona ya Babati, jimbo kiulaini limerejea CCM. Usitegemee hayo kutokea.
 
kama hawaaminiki wewe inakusumbua nini wenzie wanapotumia haki yao ya msingi na kikatiba?

wananchi wa babati watamchagua yule anaefaa kuwa kiongozi woa, wakimchagua Gekul sawa wakimchagua mwingine ni sawa na ndio demokrasia....

Demokrasia haiamuliwi kwa chuki mihemko na ghadhabu.

sera, umahiri na ushawishi wa mgombea dhidi ya wananchi na wanachama walio wengi ndio msingi wa ushindi kwa mgombea...
Kimsingi hapaswi kusimamishwa tena ameshapoteza utu
 
Uandishi wa kuchelewa kwenda ibadani , heading na contents vitu irrelevance 🤣🤣,upande wa pili umepewa haki ya kusikilizwa, pengine dogo ni rainbow ameamua kutumia fursa.
 
ooh aise!!
unahoja nzito sana hadi waTanzania wanakushangaaaa yaani

kwahiyo utagombea kupitia chama gani sasa ili waikatae mazima CCM na wakufuase wew mtukufu.?
Mkuu
Nipe idadi ya Watanzania walioshangaa na ikibidi orodha yao maana tupo milion 61+

Kuhusu kugombea, siyo kila anayetoa maoni anataka kugombea....

Swali la chama gani kitaongoza, hata wakoloni waliwakejeli Watanzania kwa style hiyo kipindi kile cha mapambano ya uhuru
 
CCM wakimteua huyu kupeperusha bendera ya Babati come 2025, sitawashangaa sababu kulinda waovu yawezekana ni makubaliano ya msingi ndani ya chama. Watu wa Babati wakimrudisha Gekul mjengoni 2025, nitawashangaa na nitasikitika sana.
Watanzania ikifika kipindi cha u haguzi huwa hawaaminiki lakini ushauri wangu kwa watu wa Babati wahakikishe Gekul harudi mjengoni.
Tanzania hakuna uchaguzi boss, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Hivyo ukiona mtu Kawa kiongozi hakuna uhakika kuwa ni uchaguzi wa wananchi.
 
Ni tz pekee ambapo viongozi huamrisha polisi badala polisi kuamrishana wenyewe kwa wenyewe!

Huwa nikisikia mtu unashtakiwa na jamhuri kama mlalamikaji hakuna sasa kama mh Bimkubwa katengua uteuzi na imethibitika huyo sijui gekal ni mtesi kwa Nini Jamhuri haimshitaki? Hii si haki!

Yawezekana Almighty God akapata kazi nyepesi sana kuhukumu viongozi wa tz maana ni wezi, watesi, waongo na wazandiki mizani zao si zitalalia kwenye dhambi tu watupwe jehanam, hawa kina Gekal ni wengi sana, stori za mawaziri kuwapa mimba watoto wa shule na kuwaua tushazizoea!!
 
kama hawaaminiki wewe inakusumbua nini wenzie wanapotumia haki yao ya msingi na kikatiba?

wananchi wa babati watamchagua yule anaefaa kuwa kiongozi woa, wakimchagua Gekul sawa wakimchagua mwingine ni sawa na ndio demokrasia....

Demokrasia haiamuliwi kwa chuki mihemko na ghadhabu.

sera, umahiri na ushawishi wa mgombea dhidi ya wananchi na wanachama walio wengi ndio msingi wa ushindi kwa mgombea...
MzeeTlatlaa, habari ya Bashneti
 
Back
Top Bottom