Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,707
- 4,577
Wanawake wana roho mbaya sana.Wanawake bana,milioni 40 tu anamtoa roho mme..
Wanawake wana roho mbaya sana.Wanawake bana,milioni 40 tu anamtoa roho mme..
Tatizo kubwa ni kula k! Kama majambo yamekataa ukawa unakula k kwa macho, akinamama huwa wanaumia sana akipata wa kuibebena huyo ndiye mfalme kwake. Akipewa ushauri wa kukupoteza umeumia. Mara nyingi hii hutokana na babu kuoa dogodogo Sky EclatMillion 40 mbona ndogo sana kufikia kutoa uhai wa mtu tena mwenza wako! Mungu tuepushie mbali.
Si ajabu mchunga ngo'mbe hapo alikuwa anafaidi.Tatizo kubwa ni kula k! Kama majambo yamekataa ukawa unakula k kwa macho, akinamama huwa wanaumia sana akipata wa kuibebena huyo ndiye mfalme kwake. Akipewa ushauri wa kukupoteza umeumia. Mara nyingi hii hutokana na babu kuoa dogodogo Sky Eclat
utakufa siku sio zako malimbwata kila chakulaBora kuoa wake wengi
Nataka niende nje kwa kitambo kirefu kiofisi. Na salary itaendelea kuingia. Kuna vitu viwili vinanipasua kichwa. Wife na atm card yangu. Hivi tu.Hata kama asingetiwa hatiani, mke wa marehemu hata kaa afurahie hizo pesa.
Mimi hakuwa partner ni rafiki tu, nilijua ninasafiri kwa muda mrefu na yeye alikuwa anahaingaika makazi, hakuwa na makazi maalum. Nilimueleza nia yangu ya kumwacha yeye nyumbani lakini nilikuwa ninampima wakati ninaongea nae. Kwanza alijifanya hana shida, pili nikamwambia usijali. Sasa aligundua yeye ndiye mhitaji kuliko mimi wakati nilishapata mtu mwingine.Nataka niende nje kwa kitambo kirefu kiofisi. Na salary itaendelea kuingia. Kuna vitu viwili vinanipasua kichwa. Wife na atm card yangu. Hivi tu.
Bwana wee acha tu! Hizi ndude sijui zina nini! Ukame ukizidi hata mzibua vyoo anairudi ya mama mwenye PhD. Mfano yule prof wa mahesabu wa UDSM baada ya mumewe kufariki mpaka akaenda uhamishoni Rwanda kumwepa aibuSi ajabu mchunga ngo'mbe hapo alikuwa anafaidi.
Madushe nayo huwa na expiring date hapo cha moto ndipo atakipata. Dushe sawa na spare ya Gariutakufa siku sio zako malimbwata kila chakula
Usiombe ukutane na kijana ambae anafahamu kukupata ameua tembo kwa ubua, atakupa style zote za kukuchanganya.Bwana wee acha tu! Hizi ndude sijui zina nini! Ukame ukizidi hata mzibua vyoo anairudi ya mama mwenye PhD. Mfano yule prof wa mahesabu wa UDSM baada ya mumewe kufariki mpaka akaenda uhamishoni Rwanda kumwepa aibu
Wasirithi tabia ya mama yao.Maana kuna visasi vinafuata hapoDoohhh huyu mama sijui alikumbwa na baba hayupo mama unakwenda jela watoto wako atawalea nani,inaumiza sanaa Mungu awalinde na kuwasimamia hao watoto
Wasirithi tabia ya mama yao.Maana kuna visasi vinafuata hapo
Hili tukio halitofautiani na la yule bilionea Erasto Msuya,baada ya kuuawa mrithi wa Mali zake akawa mkewe chini ya usimamizi wa wifi yake,tabia ya mke wa marehemu kupenda dogo dogo wakamshauri ujinga akapanga mauaji ya wifi yake,matokeo yake ndio hio ananyea ndoo mali raia wengine wanaendelea kuzifaidiKuna kesi moja kama hii ilitokea zamani Sinza, yule dada 'hear say' zinasema mkono wake ulihusika katika kifo cha mumewe. Mume alijiweka vizuri na biashara, nyumba, magari. Walikuwa na watoto wadogo na mke akawa mrithi wa mali za marehemu. Baada ya muda kama miaka miwili alipata ka-kijana, kijana akawa ndiyo mpangaji wa maisha ya dada. Alimwambia hapendi kuishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu, ilibidi iuzwe wanunue nyingine, kumbe nyumba ilinunuliwa kwa jina la kijana. Ni mengi yalikotekea lakini katika kipindi cha miaka 10, mke wa marehemu alifisika kabisa.
mali ya dhurma hutaifaidi hata siku moja.Hili tukio halitofautiani na la yule bilionea Erasto Msuya,baada ya kuuawa mrithi wa Mali zake akawa mkewe chini ya usimamizi wa wifi yake,tabia ya mke wa marehemu kupenda dogo dogo wakamshauri ujinga akapanga mauaji ya wifi yake,matokeo yake ndio hio ananyea ndoo mali raia wengine wanaendelea kuzifaidi