Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,051
Kuweka CCTV hawawezi ila wawape wananchi walime
Kumwonyesha mwanamke pesa zilipo ni sawa na kumwonyesha adui silaha na ramani ya vita.mama zetu wamejaa tamaa sana ndio maana mungu ametushauri tuwe nao makini sana wakati tunaishi nao wanabadilika kama kinyonga.
Pesa za mitandao zinafanya kazi kokote! ATM sio inshu tena,ichukue km unadharura ya kwenda bank then ipoteze kwa makusudi,alafu nenda zako nje!Muachie ela ya kutosha wakiwa na shida wakucheki uwarushie! Ukimuachia kadi utakua umefanya kosa la kiufundiNataka niende nje kwa kitambo kirefu kiofisi. Na salary itaendelea kuingia. Kuna vitu viwili vinanipasua kichwa. Wife na atm card yangu. Hivi tu.
Mkuu iliwahi kusemwa kuwa 'ras clamat dominor' ie property claims its owner!Hili tukio halitofautiani na la yule bilionea Erasto Msuya,baada ya kuuawa mrithi wa Mali zake akawa mkewe chini ya usimamizi wa wifi yake,tabia ya mke wa marehemu kupenda dogo dogo wakamshauri ujinga akapanga mauaji ya wifi yake,matokeo yake ndio hio ananyea ndoo mali raia wengine wanaendelea kuzifaidi
Upo sahihi 100%Kosa kushirikisha mke kila kitu
wewe umeoa wangapi?Hiyo ndiyo salama yako. Kuoa mke mmoja ni hatari sana kwa mwanaume. Wanaume wengi waliooa mke mmoja, wengi wao huishia kudhurumiwa na wake zao. Lakini wenye wake zaidi ya mmoja, huishi hadi uzeeni. Mke zaidi ya mmoja ndo suluhusho.