msaragambo
Senior Member
- Aug 6, 2008
- 127
- 17
Tunakuombea kwa mungu upone mapema, Taifa na wapenda mabadiliko tunakuhitaji
pole mheshimiwa, ila ni kweli aghakan hawakuona kitu? Je wasema walichokiona? Maana hapa biashara ya watu ipo matatani.
Ahsante sana kaka Kwa taarifa hii ya kina. Tunaendelea kumuomba Mungu aendelee kukusimamia ili upone mapema.