Ukweli kuhusu EWURA na leseni kwa IPTL

Second July

JF-Expert Member
Feb 16, 2014
234
323
Moderators naomba uzi huu msiuchanganye na zingine.

Watu hawajaielewa tu hii serikali inavyotaka ifanye kazi zake. Serikali hii inapenda ifanyie kaz malalamiko ya wananchi kwa sababu imeahid hivyo, ya kuwa wana nia ya dhati ya kuwasaidia wanyonge. Lakin ss wanakuja kugundua kuna baafh ya madudu yalishafanyika ambayo hawana uwezo nayo (mikataba), ss wanashindwa kusema ukwel na kutaka mambo hayo yakifanyika yafanyike kimya kimya umma usijulishwe mana itakuwa inakinzana na dhamira yao (dhamira ya dhat wanayo, sema mikataba inawabana).

●Nini walochokosea EWURA??
Kiutaratibu na kisheria, EWURA lazima watoe public notice (tangazo kwa umma) pale mtu/kampuni yyt inapoomba lesen iwe ya uzalishaji wa umeme, mafuta au maji ili wadau wayoe maoni au mapingamiz yao.
Hapo ndipo kosa lao lilipoanzia, walkuwa hawana namna ya kulikwepa hili sakata la kutumbuliwa. Kitendo cha kutangaza hadharani nia ya EWURA kuongeza leseni ya IPTL (ingawaje ndo the best option kwa taifa sababu ya mktaba tuliosign nao) ni pigo kwa utawala huu mana itaonekana haiko upande wa wananchi.
Mkataba wa IPTL na TANESCO ambao ndio jipu lenyewe na unaolalamikiwa siku zote ni kwqmba IPTL watalipwa Capacity charge ya kila mwez inayokadiliwa kufkia Mill 300 (sina uhakika sana na hii namba) haijalishi imezalish umeme au haijazalisha umeme. Hapa ndipo unapotakiwa umakini. Kuwanyima lesen IPTL (nina uhakika watapewa hapo baadae) ni kuwakataza kuzalisha umeme. Hili halitasaidia, tutakula hasara mana litafanya waendelee kula hela zetu bila kutupa huduma.

● Nini walitakiwe wafanye EWURA
Ili kujiepusha na dhahama la kutumbuliwa , walitakiwa wayalinde maslahi ya nchi pasipo kusahau kulinda maslah ya siasa ya wanasiasa (serikali ya wanyonge). Hili lingewezekana kwa kutotangaza suala la lesen ya IPTL na kuwapa lesen jimya kimya baada ya kuwa-consult serikali wenyewe. Hapa wangelibda maslah ya taifa ya kuepuka kuwalipa capacity charge bila uzalishaji na pia wangelinda maslah ya kisisasa kwa kutokuobyesha umma kuwa IPTL wameongezewa muda wa lesen. Ubaya wa hili kwao EWURA ni kuwa, hili lingewezekana likaja kuwatumbua baadae mana wangegeukwa na ingekuja kuonekana wamewaongezea lesen IPTL bila kufuata utaratibu wa kutangaza hadharani (kutoa public notice).

Kibyovyote vile, suala la IPTL kuongezewa leseni lisingemuacha salama Mkirugenz wa EWURA. He had no best choice to choose. Ila mwisho wa siku, IPTL wataendelea kuzalisha umeme. Inawezekana watazalisha baada ya kupewa leseni, au wataambiwa waendelee kuzalisha tu lesen watapewa baadae (kuepuka aibu ya kukurupuka).
 
Honesty is the best policy.
Ni bora kuwa muwazi na mkweli ili kuwa na amani siku zote kuliko kuwa mnafiki na kuishi kwa hofu.

Kwa mtazamo wangu EWURA wamejaribu the best practice na kama kweli utawala wa awamu ya tano wanataka kujitanabaisha kama serikali ambayo iko transparent basi wangelichikua hili swala kama changamoto na kuanza kuangalia which way forward and what should be done.

Dawa ya maradhi au gonjwa ni kulitibu gonjwa lenyewe na sio kulikimbia.
 
Ukisoma tangazo la EWURA utaona waliwaandikia Wizara ya Nishati kuhusu hili jambo na wakajibiwa wafanye maashauriona na wadau na wadau ni pamoja na watumiaji wa kawaida wa umeme.

Kama serikaki ilikuwa serious,ni kwanini hawakuwajibu EWURA kwa barua kuwatakaza wasifanyie kazi hayo maombi?
 
Honesty is the best policy.
Ni bora kuwa muwazi na mkweli ili kuwa na amani siku zote kuliko kuwa mnafiki na kuishi kwa hofu.

Kwa mtazamo wangu EWURA wamejaribu the best practice na kama kweli utawala wa awamu ya tano wanataka kujitanabaisha kama serikali ambayo iko transparent basi wangelichikua hili swala kama changamoto na kuanza kuangalia which way forward and what should be done.

Dawa ya maradhi au gonjwa ni kulitibu gonjwa lenyewe na sio kulikimbia.

kobokocastory
Halafu pia hili jambo linapotoshwa na watu wenye maslah ya kisiasa.
EWURA hawajawaongezea IPTL leseni ya uzalishaji umeme, EWURA wametoa public notice mpaka mwisho wa mwez ili kupokea maoni na mapingamiz ya wadau, serikali ikiwemo. Sasa tunaaminishwa eti EWURA haina maslah kwa taifa et imetoa lesen kwa wezi wa IPTL.

Hapa wasingetoa hii public notice wasingeweza kuwapa leseni na IPTL ingesimamaisha uzalishaj ikisubir lesen huku hela yao ikiingia kama kawaida. Hapa wangeonekana hawajatekelza wajibu wao na kuitia hasara serikal kulipa watu wasiozalisha (malipo hewa). Yan hapa ingetangazwa dunia nzima, EWURA wamehongwa wacheleweshe leseni ili IPTL walipwe bure (mahakama ya kifisadi ingepata kesi ya kuanza nayo). Nina uhakika EWURA iloshapeleka taarifa kwa serikali ikawa inasubir majibu. Ili kiwa on a safe side, wakaona wakiwa wanasubiria majibu toka serikalin bas wao wasiache lufuata sheria inayowataka kutoa public notice isije ikawarudia kipnd cha kusubir majib toka kwa serikali. Yani ni kama mchezo wa kutegeana tu. Ni kama mchezo wa DRAFT tu, ukigusa kete hii, mwenzako anagus akete ile, ukizubaa umeliwa.

Cc:
Valentina
Masiya
 
Lakini naomba ufafanuzi mbona kipindi cha nyama walikuwa wanaingia mikataba kimya kimya bila hata kutangaza na kuomba maoni ya wananchi? ?
 
Lakini naomba ufafanuzi mbona kipindi cha nyama walikuwa wanaingia mikataba kimya kimya bila hata kutangaza na kuomba maoni ya wananchi? ?


manyalla2028 Unaposign mkataba na mtu yyt au kampuni yyt, mnakubaliana kuwa makubaliano yenu (huo mkataba) yatakuwa ya siri au la, na kama ni ya siri, je ni siri ya nani na nani? Wawekezaji wakisign mktaba unakubaliwa kbs kuwa ni wa siri kati ya serikal na mwekezaji.

Hapa ukiupeleka bungeni kujadiliwa bila kukubaliana na uliyeingia nae mkataba anakushtaki. Cha msingi, tunatakiwa tuwe na inteligent team, iliyoaminiwa na kupewa uwezo mkubwa sana wa kiueledi na kifinance, iwe nanuwezo wa kuwa inaptia mikaba yyt serikali inayoingia kuangalia maslah ya taifa.

Kwny hii mikataba wawekezaji wanatuzid akil, ueled na uelewa. Bila kuwa na team ambayo japo kdg inaweza kupambana nao inteligently (sio kimabavu) tutaendelea kulia na mikataba tunayosign.
 
Tutashitakiwa (in chadomo voice)


Weka mawazo yako huru.... Acha kutembelea nyota ya Lissu. Baba mwenye nyumba mwenyewe anagwaya kwake, itakuwa wewe mfuta vumbi la madirisha?

Huyo unaemwita chadomo aliongea yake kwa uhuru na bila unafiki! Ni wajinga pekee wanaoweza kubeza!

Muulize baba J, eti anaamini mwanasheria mzuri haogopi kushitakiwa, yeye anaangalia kesi tu, hafikirii matokeo ya kesi!

Mwanasheria mzuri hutabiri matokeo ya kesi, kisha hutoa ushauri stahiki. Ndicho alichofanya Lissu!
 
Tutashitakiwa (in chadomo voice)
Nikiona Reply kama hizi huwa najisikia vibaya sana. Sababu wengine tunategemea kupata ufahamu zaidi kutoka kwa watu mbalimbali juu maada inayoanzishwa. Tubadilike Taifa Kwanza.
 
mtalia sana, siku mkiacha ujinga nakufikiri kujenga nchi mtajua upuuzi wenu

unazani wapuuzi mnaowapa madaraka watawatoa shimoni sahau, wajanja wachache watawafilisi tu.....
 
Lakini naomba ufafanuzi mbona kipindi cha nyama walikuwa wanaingia mikataba kimya kimya bila hata kutangaza na kuomba maoni ya wananchi? ?
EWURA hawajaingia mikataba hiyo ewura wanatoa leseni tu na hizo ndio njia zinazotumika ili kutoa leseni au kupandisha au kushusha bei ya umeme au maji
 
Lakini naomba ufafanuzi mbona kipindi cha nyama walikuwa wanaingia mikataba kimya kimya bila hata kutangaza na kuomba maoni ya wananchi? ?
Hili swali kila mtu anajiuliza ataa NGO za sheria limepeleka pingamizi Iptl isipewe leseni kwa Ewura na juu yake wakauliza na swali hili kwa serikali imekuwaje Leo haya maombi kuulizwa wananchi .nahisi jibu ndio hili mkurugenzi kafukunzwa kwa maana amekosea kuuliza wananchi
 
Hili swali kila mtu anajiuliza ataa NGO za sheria limepeleka pingamizi Iptl isipewe leseni kwa Ewura na juu yake wakauliza na swali hili kwa serikali imekuwaje Leo haya maombi kuulizwa wananchi .nahisi jibu ndio hili mkurugenzi kafukunzwa kwa maana amekosea kuuliza wananchi

Mkuu morenja ni utaratibu uliowwkwa kisheria kuwa muombaji yyt yule anapoomba lesen mpya au ku-renew ya zamani ni lazima EWURA itoe Public Notice kuomba maoni au pingamiz. N kama vile mtu yyt anayeomba uraia wa Tz, ni lazika itike public notice. So EWURA hawajakosea kitu hapo walipotoa public notice.
 
Moderators naomba uzi huu msiuchanganye na zingine.

Watu hawajaielewa tu hii serikali inavyotaka ifanye kazi zake. Serikali hii inapenda ifanyie kaz malalamiko ya wananchi kwa sababu imeahid hivyo, ya kuwa wana nia ya dhati ya kuwasaidia wanyonge. Lakin ss wanakuja kugundua kuna baafh ya madudu yalishafanyika ambayo hawana uwezo nayo (mikataba), ss wanashindwa kusema ukwel na kutaka mambo hayo yakifanyika yafanyike kimya kimya umma usijulishwe mana itakuwa inakinzana na dhamira yao (dhamira ya dhat wanayo, sema mikataba inawabana).

●Nini walochokosea EWURA??
Kiutaratibu na kisheria, EWURA lazima watoe public notice (tangazo kwa umma) pale mtu/kampuni yyt inapoomba lesen iwe ya uzalishaji wa umeme, mafuta au maji ili wadau wayoe maoni au mapingamiz yao.
Hapo ndipo kosa lao lilipoanzia, walkuwa hawana namna ya kulikwepa hili sakata la kutumbuliwa. Kitendo cha kutangaza hadharani nia ya EWURA kuongeza leseni ya IPTL (ingawaje ndo the best option kwa taifa sababu ya mktaba tuliosign nao) ni pigo kwa utawala huu mana itaonekana haiko upande wa wananchi.
Mkataba wa IPTL na TANESCO ambao ndio jipu lenyewe na unaolalamikiwa siku zote ni kwqmba IPTL watalipwa Capacity charge ya kila mwez inayokadiliwa kufkia Mill 300 (sina uhakika sana na hii namba) haijalishi imezalish umeme au haijazalisha umeme. Hapa ndipo unapotakiwa umakini. Kuwanyima lesen IPTL (nina uhakika watapewa hapo baadae) ni kuwakataza kuzalisha umeme. Hili halitasaidia, tutakula hasara mana litafanya waendelee kula hela zetu bila kutupa huduma.

● Nini walitakiwe wafanye EWURA
Ili kujiepusha na dhahama la kutumbuliwa , walitakiwa wayalinde maslahi ya nchi pasipo kusahau kulinda maslah ya siasa ya wanasiasa (serikali ya wanyonge). Hili lingewezekana kwa kutotangaza suala la lesen ya IPTL na kuwapa lesen jimya kimya baada ya kuwa-consult serikali wenyewe. Hapa wangelibda maslah ya taifa ya kuepuka kuwalipa capacity charge bila uzalishaji na pia wangelinda maslah ya kisisasa kwa kutokuobyesha umma kuwa IPTL wameongezewa muda wa lesen. Ubaya wa hili kwao EWURA ni kuwa, hili lingewezekana likaja kuwatumbua baadae mana wangegeukwa na ingekuja kuonekana wamewaongezea lesen IPTL bila kufuata utaratibu wa kutangaza hadharani (kutoa public notice).

Kibyovyote vile, suala la IPTL kuongezewa leseni lisingemuacha salama Mkirugenz wa EWURA. He had no best choice to choose. Ila mwisho wa siku, IPTL wataendelea kuzalisha umeme. Inawezekana watazalisha baada ya kupewa leseni, au wataambiwa waendelee kuzalisha tu lesen watapewa baadae (kuepuka aibu ya kukurupuka).

Taarifa zilizopo ni kwmba wafanyabiashara na serikali walikuwa hawamtaki dg wa ewura kwani anamisimamo isiyoyumba na anafuata sheria.Hachukui rushwa wala hapindishi mambo.Serikali ilitaka suala la kutoa lesseni lifanyike kimyakimya ili wanachi wasijue habari ya iptl lakini ewuraa wakafuata mfumo wa uwazi.

Hiki kitu kimewaudhi iptl na serikali kwani kama maoni ya wananchi hawaitaki iptl ila serikali inataka kwani viongozi wengi wanapercente zao.Chakushanganza inakuwaje waziri mkuu anamsimamisha dg wakati kunabodi yawakurungezi ambao dg anawajibika kwao? Utaona serikali inatumia mabavu yasiyo na sababu
 
Hiyo capacity charge ITPL wanatakiwa kulipwa ama wamezalisha au hawakuzalisha umeme.Hapo tupo wote

Hiyo ni option ya leseni yao kufanya biashara hapa nchini.

Je,kama serikali isipowapa nafasi ya ku_renew hiyo leseni maana yake ni nini??
Ni wazi kwamba hawatakuwa na kibali cha kufanya biashara na TANESCO kwa hiyo hawana haki ya kuidai TANESCO/serikali iwalipe capacity charge kwa kigezo tu kwamba hawana kibali cha kufanya biashara hapa Tanzania!!

Serikali ya AWAMU ya TANO IPO makini na maamuz yake!!
Acheni akina Lissu wapige kelele TU
MUNGU wabariki Viongozi WETU halali JPM na PM Majaliwa
Amina!
 
Moderators naomba uzi huu msiuchanganye na zingine.

Watu hawajaielewa tu hii serikali inavyotaka ifanye kazi zake. Serikali hii inapenda ifanyie kaz malalamiko ya wananchi kwa sababu imeahid hivyo, ya kuwa wana nia ya dhati ya kuwasaidia wanyonge. Lakin ss wanakuja kugundua kuna baafh ya madudu yalishafanyika ambayo hawana uwezo nayo (mikataba), ss wanashindwa kusema ukwel na kutaka mambo hayo yakifanyika yafanyike kimya kimya umma usijulishwe mana itakuwa inakinzana na dhamira yao (dhamira ya dhat wanayo, sema mikataba inawabana).

●Nini walochokosea EWURA??
Kiutaratibu na kisheria, EWURA lazima watoe public notice (tangazo kwa umma) pale mtu/kampuni yyt inapoomba lesen iwe ya uzalishaji wa umeme, mafuta au maji ili wadau wayoe maoni au mapingamiz yao.
Hapo ndipo kosa lao lilipoanzia, walkuwa hawana namna ya kulikwepa hili sakata la kutumbuliwa. Kitendo cha kutangaza hadharani nia ya EWURA kuongeza leseni ya IPTL (ingawaje ndo the best option kwa taifa sababu ya mktaba tuliosign nao) ni pigo kwa utawala huu mana itaonekana haiko upande wa wananchi.
Mkataba wa IPTL na TANESCO ambao ndio jipu lenyewe na unaolalamikiwa siku zote ni kwqmba IPTL watalipwa Capacity charge ya kila mwez inayokadiliwa kufkia Mill 300 (sina uhakika sana na hii namba) haijalishi imezalish umeme au haijazalisha umeme. Hapa ndipo unapotakiwa umakini. Kuwanyima lesen IPTL (nina uhakika watapewa hapo baadae) ni kuwakataza kuzalisha umeme. Hili halitasaidia, tutakula hasara mana litafanya waendelee kula hela zetu bila kutupa huduma.

● Nini walitakiwe wafanye EWURA
Ili kujiepusha na dhahama la kutumbuliwa , walitakiwa wayalinde maslahi ya nchi pasipo kusahau kulinda maslah ya siasa ya wanasiasa (serikali ya wanyonge). Hili lingewezekana kwa kutotangaza suala la lesen ya IPTL na kuwapa lesen jimya kimya baada ya kuwa-consult serikali wenyewe. Hapa wangelibda maslah ya taifa ya kuepuka kuwalipa capacity charge bila uzalishaji na pia wangelinda maslah ya kisisasa kwa kutokuobyesha umma kuwa IPTL wameongezewa muda wa lesen. Ubaya wa hili kwao EWURA ni kuwa, hili lingewezekana likaja kuwatumbua baadae mana wangegeukwa na ingekuja kuonekana wamewaongezea lesen IPTL bila kufuata utaratibu wa kutangaza hadharani (kutoa public notice).

Kibyovyote vile, suala la IPTL kuongezewa leseni lisingemuacha salama Mkirugenz wa EWURA. He had no best choice to choose. Ila mwisho wa siku, IPTL wataendelea kuzalisha umeme. Inawezekana watazalisha baada ya kupewa leseni, au wataambiwa waendelee kuzalisha tu lesen watapewa baadae (kuepuka aibu ya kukurupuka).
Swali fikirishi je hivi yawezekana mtu akafukuzwa kazi kwa kufuata sheria kanuni na taratibu za kazi yake?
 
Back
Top Bottom