Ukweli: "Spika" na "EWURA" Mgongano wa Maslahi Binafsi

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
"Picha na Video ziko chini ya Bandiko."

Kitendo cha Spika Tulia Akson kumkalisha Chini na kuukataa mchango wa Mbunge wa Sengerema CCM Mheshimiwa Tabasamu wakati akitoa hoja yake kuhusu hujuma ya uadimikaji wa Mafuta nchini.

Ni ushahidi tosha kwamba kuna mgongano mkubwa wa Maslahi baina ya wasimamizi au viongozi hao wawili.

Mkurugenzi wa EWURA nchini ambae pia ni Mume wa Spika wa Bunge la JMT.

Je, kwa mtindo huu kama ukiachwa na kuendelea kukomaa.Bila kukemewa na au kuchukuliwa hatua stahiki na mamlaka husika. Tutaweza kusonga mbele kama taifa,endapo mambo yanaanza kuwa yanapelekwa kifamilia namna hii.

Nadhani kuna mmoja anapaswa kuachia ngazi kwa maslahi mapana ya ustahimilivu wa kisiasa na kijamii nchini mwetu. Imetosha sasa.

Huku ni kuwachomekea watanzania vidole kwenye macho.

Hizi taasisi "Bunge" na "EWURA" ni nyeti sana kwa taifa hili na hazipaswi kamwe kuchezewa kwa maslahi binafsi ya familia au kundi fulani la watu nchini.



IMG-20230908-WA0001.jpg
 
Hata ungekuwa wewe ungefanya hivyo hivyo kama Spika Tulia
Swali la msingi...
Je!
Bunge ni mahali pa kulindandana kifamilia namna hiyo?
Je!
Ni nini tafsiri ya kiapo cha kuitetea na kulinda katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Je!
Hapo Mh Spika ameilinda katiba ya JMT? au ameamua kuilinda familia yake?
johnthebaptist nakuomba twende kwa hoja!
 
Swali la msingi...
Je!
Bunge ni mahali pa kulindandana kifamilia namna hiyo?
Je!
Ni nini tafsiri ya kiapo cha kuitetea na kulinda katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Je!
Hapo Mh Spika ameilinda katiba ya JMT? au ameamua kuilinda familia yake?
johnthebaptist nakuomba twende kwa hoja!
Katika Maisha familia ndio jambo la kwanza

Kibinadamu Spika Tulia yuko sahihi kabisa kumlinda Mume wake kwani hao si Wawili tena ni Mtu Mmoja katika Kristo Yesu

Tulia yuko Bungeni na Ewura pia 😂
 
Katika Maisha familia ndio jambo la kwanza

Kibinadamu Spika Tulia yuko sahihi kabisa kumlinda Mume wake kwani hao si Wawili tena ni Mtu Mmoja katika Kristo Yesu

Tulia yuko Bungeni na Ewura pia
Je!
Kwa wenzetu tunao waiga kwa Demokrasia makini.
Huu si ndio ungekuwa wakati sahihi tena kiungwana kabisa.
Kwamba mmoja wao angeamua kuchia ngazi ili kutoleta hizi sintofahamu na Drama kwenye taasisi nyeti hizi?
Au ndio ile kwamba unakufa na Tai shingoni?
 
Kanuni zenu ndio tatizo, je spika alikosea au hakukosea na kwa kanuni ipi au Kwa Sheria ipi, na inapotokea mjadala wa kimaslahi kanuni ikoje?na je tabasamu yeye sio mdau wa biashara ya mafuta? Kanuni ikoje kwa mbunge mwenye maslahi katika eneo fulani akiwa bungeni?
 
"Picha na Video ziko chini ya Bandiko."
Kitendo cha Spika Tulia Akson kumkalisha Chini na kuukataa mchango wa Mbunge wa Sengerema CCM.Mheshimiwa Tabasamu.wakati akitoa hoja yake kuhusu hujuma ya uadimikaji wa Mafuta nchini.
Ni ushahidi tosha kwamba Kuna mgongano mkubwa wa Maslahi baina ya wasimamizi au viongozi hao wawili.
Mkurugenzi wa EWURA nchini ambae pia ni Mume wa Spika wa Bunge la JMT.
Je!
Kwa mtindo huu kama ukiachwa na kuendelea kukomaa.Bila kukemewa na au kuchukuliwa hatua stahiki na mamlaka husika.T
utaweza kusonga mbele kama taifa,endapo mambo yanaanza kuwa yanapelekwa kifamilia namna hii.
Nadhani kuna mmoja anapaswa kuachia ngazi kwa maslahi mapana ya ustahimilivu wa kisiasa na kijamii nchini mwetu.
Imetosha sasa!
Huku ni kuwachomekea watanzania vidole kwenye macho.
Hizi taasisi "Bunge" na "EWURA" ni nyeti sana kwa taifa hili na hazipaswi kamwe kuchezewa kwa maslahi binafsi ya familia au kundi fulani la watu nchini.
View attachment 2742798View attachment 2742800
Madhara ya kuendesha nchi kiukoo
 
"Picha na Video ziko chini ya Bandiko."
Kitendo cha Spika Tulia Akson kumkalisha Chini na kuukataa mchango wa Mbunge wa Sengerema CCM.Mheshimiwa Tabasamu.wakati akitoa hoja yake kuhusu hujuma ya uadimikaji wa Mafuta nchini.
Ni ushahidi tosha kwamba Kuna mgongano mkubwa wa Maslahi baina ya wasimamizi au viongozi hao wawili.
Mkurugenzi wa EWURA nchini ambae pia ni Mume wa Spika wa Bunge la JMT.
Je!
Kwa mtindo huu kama ukiachwa na kuendelea kukomaa.Bila kukemewa na au kuchukuliwa hatua stahiki na mamlaka husika.T
utaweza kusonga mbele kama taifa,endapo mambo yanaanza kuwa yanapelekwa kifamilia namna hii.
Nadhani kuna mmoja anapaswa kuachia ngazi kwa maslahi mapana ya ustahimilivu wa kisiasa na kijamii nchini mwetu.
Imetosha sasa!
Huku ni kuwachomekea watanzania vidole kwenye macho.
Hizi taasisi "Bunge" na "EWURA" ni nyeti sana kwa taifa hili na hazipaswi kamwe kuchezewa kwa maslahi binafsi ya familia au kundi fulani la watu nchini.
View attachment 2742798View attachment 2742800
Tuna umia sababu ya ujinga wa watu wawili
 
Mwainye... mume wa supi-ka apigwe chini hatufai pale Ewura....
Kunamtu anahisi Uskute inatafutwa pesa ya kampeni kupitia mume wa mwendesha mhimili!!!
 
"Picha na Video ziko chini ya Bandiko."
Kitendo cha Spika Tulia Akson kumkalisha Chini na kuukataa mchango wa Mbunge wa Sengerema CCM.Mheshimiwa Tabasamu.wakati akitoa hoja yake kuhusu hujuma ya uadimikaji wa Mafuta nchini.
Ni ushahidi tosha kwamba Kuna mgongano mkubwa wa Maslahi baina ya wasimamizi au viongozi hao wawili.
Mkurugenzi wa EWURA nchini ambae pia ni Mume wa Spika wa Bunge la JMT.
Je!
Kwa mtindo huu kama ukiachwa na kuendelea kukomaa.Bila kukemewa na au kuchukuliwa hatua stahiki na mamlaka husika.T
utaweza kusonga mbele kama taifa,endapo mambo yanaanza kuwa yanapelekwa kifamilia namna hii.
Nadhani kuna mmoja anapaswa kuachia ngazi kwa maslahi mapana ya ustahimilivu wa kisiasa na kijamii nchini mwetu.
Imetosha sasa!
Huku ni kuwachomekea watanzania vidole kwenye macho.
Hizi taasisi "Bunge" na "EWURA" ni nyeti sana kwa taifa hili na hazipaswi kamwe kuchezewa kwa maslahi binafsi ya familia au kundi fulani la watu nchini.
View attachment 2742798View attachment 2742800


Tukisema nchi inaongozwa na mtandao wa wahuni tunaambiwa tunakichukia chama, hay sasa
  1. Tulia ni mwenzetu
  2. Mwainyekule mwenzetu
  3. Tabasamu mwenzetu
MWisho wa siku tutauwana
 
Back
Top Bottom