Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,514
Auditing firm just because a Muslim was there?Mkuu kushindanisha idadi sio suluhisho inawezekana kuna waislam400wakrsitu700ila wakristu hawana vigezo au kinyume chake?silaha ni uchunguzi huru tena auditing firm ya kimataifa ili kuondoa conflict of interest
Mbona watu hawahoji Magufuli kufanya teuzi ambapo wakiristu ni zaidi ya asilimia 80.
Mbona kuna waislam wengi wenye vigezo na hawateuliwi?
Nimejikuta nimekuwa mdini hata kwenye kwenye kampuni yangu. Ili nikuajiri kigezo cha kwanza lazma uwe muislam