mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,040
Sema bado unamkumbuka kwa kumtimua zzk bosi wako mchumia tumbo
We nishabiki upepo na msukule ndo maana mkadanganywa amepata wazamini 1.6 ndani ya siku 2
Sema bado unamkumbuka kwa kumtimua zzk bosi wako mchumia tumbo
Slaa ameandika hapa kuwa jina lake lisitumiwe ovyo. Makene haujasikia??
We nishabiki upepo na msukule ndo maana mkadanganywa amepata wazamini 1.6 ndani ya siku 2
Inasikitisha sana Mzee Slaa kuruhusu watu wa Lumumba ku sympathize naye...
Una maana gani?
No more vipi amekufa au unamaanisha nini mkuu ?!Ukweli ni kwamba dr is no more
hawa watu wanahangaika kwanza Dr slaa ni mtu wa msimamo hawezi kumuunga mkono lowassa labda lowassa amuunge mkono,namheshimu sana kwa msimamo wake wa kutoyumbishwa na hela,kuliko kumuunga mkono EL nafuu akalime shamba kwani yeye siyo mnafiki, vipi leo EL akashindwa uchaguzi msimamo wetu utakuwa nini?je tunasema wale wa escrow siyo mafisadi na ni mfumo?Dr slaa ni kiongozi makini na ukimtizama akiongea unaona anachukia ufisadi kiukweli na ndiyo stahili kuongoza mageuzi.Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari/Mawasiliano CHADEMA
Akanusha taarifa za Dr. Slaa kujiuzulu nafasi yake na kuondoka ndani ya CHADEMA.
Asema ni Propaganda zisizo na ukweli zinazoenezwa na wapinzani (CCM).
Source: Star Tv,
PILIKA ZA UCHAGUZI 2015,
Date: 01/08/2015
Time: 22:40
#NinaImaniNaLowassa
#ZuiaGoliLaMkono2015
Slaa
Ndio nani ?
Wazir mkuu mtarajiwa..!
Endelea kutumika kama ganda la kibiriti,cdm ndio mpango wa mungu na 8.8.2015 ccm ndio inaagwa rasmi
Kwani Makene hawezi kuandika mpaka umwakilishe ww?
Huo ni umbea, mtu unakuja kuhu nakusema fulani anasema ........, we nani mpaka akutume kuleta habari?
Slaa anatumika na wapinga mabadiliko.
Nionavyo mimi, athari aliyoileta Mh. Lowasa katika kuivuruga CCM, itakuwa inafanana sana na athari itakayoletwa na Dr. Slaa katika kuivuruga UKAWA na wananchi kwa ujumla. Kete muhimu sana katika ushindi unaotafutwa na UKAWA ni dhahiri ipo kwa Dr. Slaa. Ni vyema busara kubwa itumike katika kumshawishi Dr. Slaa akubalianr na ridhaa ya viongozo wa UKAWA ambayo imepokelewa vizuri na wananchi wengi kwa ujumla hata ambao vyama vao havipo UKAWA. Ni vema kazi hii ifanyike aprma kabla kampeni kuanza, na itakuwa vizuri zaidi kama Dr. Slaa atasaidia vilivyo katika kampeni ya kumnadi mgombea wa UKAWA.