Ukweli kuhusu Dkt. Slaa kuondoka CHADEMA

Ukweli kuhusu Dkt. Slaa kuondoka CHADEMA

Mi nitamkumbuka kwa kusimamia alichokiamini na kilichoifikisha chadema hapo ilipo
 
Yaani nyie Mnalikumbatia Fisadi na kumsahau Dr. slaa. Mbowe atawauza mwaka huu
 
muheshimuni Dr.W.Slaa nyinyi team lowassa. laiti kama mngejua dr. slaa hana tamaa ya madaraka, hata 2010 ni yeye ndio aliombwa kugombea huo urais. team lowassa tafadhalini tulieni, mnavyofanya ni kama mnauchochea moto.
 
Last edited by a moderator:
Hao ni mawakala wa Mbowe wapo kazini,ila mwisho Mbowe katika ulingo wa siasa upo karibu sana kuliko vijibwa vyake vinavyodhani,na mwisho wake ni baada ya huu uchaguzi mkuu.
 
Endeleeni kumwaga petroli kwenye moto.
 
Slaa ameandika hapa kuwa jina lake lisitumiwe ovyo. Makene haujasikia??
 
Wanachadema tumfuate shujaa wetu tumrudishe chamani atusaidie Nazi ziko nyingi nchi hii sio urais tu
 
Hata kama Slaa hana mpango wa kujitoa CDM, lazima ana mgogoro na viongozi wenzake.

Inakuwaje Katibu mkuu wa chama hajazungumza lolote juu ya ujio wa Lowasa?

Kwanini Naibu katibu wa Zanzibar ndo msemaji mkuu wa sasa kwa mambo mazito ya chama?

Kwanini watu wengine ndio wajibu malalamiko dhidi ya Slaa? Kwanini asijitokeze hadharani kuweka mambo sawa?

Makamanda tuko njia panda, hatuelewi kinachoendelea UKAWA baada ya ujio wa Laigwanani.


Haya Josephine Mshumbuzi, twambie huo mgogoro
 
Lowasa ameondoka CCM sababu kuu ni kukatwa Jina, najiuluza kwanin asingekubali matokeo?

Kwa maana hiyo umemanisha kwamba wale wote 42 ni taka taka wew pekee ndo Msaf na ulifaa kuchukua ile nafasi.

Binafsi naona ni tamaa ya madaraka,

Pia Lowasa unapaswa ujiaweke katika position alikua nayo dr slaa kwa sasa ungejiskiaje au unahisi kwa haiba ulokua nayo wew unge chukua maamuz gan?

So hata Kama slaa atahama chama binafsi sitomlaumu sababu naona amedharirishwa sana kwa hili. Na Kama atauchukua uamuzi huo hapaswi kulaumiwa coz hiyo ni democrasia so tusimsifie tu lowasa kwa mnayoyaita maamuz magum et coz kaja CHADEMA pia tukubaliane na maamuz ye yote ya slaa na tuyaheshimu

Kumbuka Lowassa hakutendewa haki, na CCM wanajua hilo
 
Tunashukuru sana kwa taarifa,na hao wanatumiwa kusambaza habari za kijinga namna hiyo hasa hilo gazeti tutaliweka ktk orodha ya vijarida tulivyokwisha kuvisusa na kwa sasa wanavununua wauza vitumbua

Kama dr slaa yupo kazini, si sijitokeze akanushe???
 
Kama dr slaa yupo kazini, si sijitokeze akanushe???

Mbona mnatawaliwa na mihemko ya kisiasa namna hii?mbona cdm wenzenu wametulia wanapiga kazi nyie viherehere mnakosa amani?
 
Ajitokeze yeye mwenyewe akanushe.vinginevyo aende zake yeye si alikuja chadema kama lowasa tu.asijoone super star cdm hakuna hiyo.
 
Wanachadema tumfuate shujaa wetu tumrudishe chamani atusaidie Nazi ziko nyingi nchi hii sio urais tu

Mtakesha kutumiwa kama sox,lkn hamtaweza kuiyumbisha cdm na for sure tunatinga ikulu na jembe letu lowasa,hizi propaganda zenu mfu hazimfikii mpiga kura
 
Back
Top Bottom