Ukweli kuhusu Dkt. Slaa kuondoka CHADEMA

Wananchi gani waloipokea habari hii kama sio nyie watu wa mitandao, JF na Chadema?.. Mlisema haya haya mlipounda UKAWA mkapigwa bao la wazi kabisa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa CCM wakapata zaidi ya asilimia 80, bado mkadai namba zenu bora zaidi ya mwaka 2009. Kuna siri ama kitu kilichopokelewa kama UKAWA wakati wa Serikali za Mitaa mbona hamkushinda?

Wewe huna akili kabisa
 
Ni vema ukaishirikisha vizuri akili yako sio unaandika tu kwa kuwa wewe ni CCM, kumbuka Uchaguzi serikali za mitaa 35% CCM walipata ushindi kupitia yale mapingamizi ya Kipumbavu na isitoshe katika baadhi ya maeneo kama hayo hao viongozi wenu wanaongoza familia zao kwani wananchi hawataki kuongozwa na watu wasiowachagua, hiyo ya ushindi zaidi ya 80%sijui unaitoa wapi ndugu yaani propaganda za Nape ndio umeziingiza ndani ya Ubongo wako kwani kiuhalisia hadi matokeo yanakamilika CCM ilikuwa imepata 62% na hiyo 35% ya mezani ikiwa ndani kitu ambacho ni dhahiri bila hayo mapingamizi ya kipumbavu ni lazima mlikuwa mmeshindwa.

Naomba kuongezea hapo, mfano hapa Kijiji cha Puma mwenyekiti wananchi hawamtaki ila ndo CCM wamekomalia na sehemu nyingi tu, CCM ndiyo mwisho wenu
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi
 
mkuu taratibu. naona umegeuka mbogo. najua fika wanachadema na baadhi ya wanaukawa mpo kwenye wakati mgumu sana kwa kususa kwa slaa. lakini msisahu pia na slaa pengine yupo kwenye wakati mgumu kuliko nyinyi.
possibility;
1. kutokana na kutokukubaliana na ujio wa lowasa kwa kuamua kusimamia misingi aliyokuwa akiihubiri siku zote
2. shinikizo la mke
3. au hata pengine shinikizo kutoka ile nchi ndogo pale italy, who knows. (angalia john mnyika na john magufuli katika hili)
kwa hiyo nashauri mpunguze jazba na mjiandae kisaikolojia kwa chochote kitakachotokea. nawaona kabisa makamanda mnapoteza balance na kuwa na temper iliyopitiliza. haya mambo ni zaidi ya mnavyoyaona huku nje.
poleni hata hivyo.


Hutaki nenda kakojoe ulale

Naona unawashwa na kunguni

Kawadanganye walevi wenzio,uchaguzi wa serikali za mitaa ccm mmepigwa bao hadi mkaambulia 63.5%leo unataka kutuongopea eti 80%?
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi

Nionavyo mimi, athari aliyoileta Mh. Lowasa katika kuivuruga CCM, itakuwa inafanana sana na athari itakayoletwa na Dr. Slaa katika kuivuruga UKAWA na wananchi kwa ujumla. Kete muhimu sana katika ushindi unaotafutwa na UKAWA ni dhahiri ipo kwa Dr. Slaa. Ni vyema busara kubwa itumike katika kumshawishi Dr. Slaa akubalianr na ridhaa ya viongozo wa UKAWA ambayo imepokelewa vizuri na wananchi wengi kwa ujumla hata ambao vyama vao havipo UKAWA. Ni vema kazi hii ifanyike aprma kabla kampeni kuanza, na itakuwa vizuri zaidi kama Dr. Slaa atasaidia vilivyo katika kampeni ya kumnadi mgombea wa UKAWA.

Naendelea na maombi.
Bila Dr slaa ndani ya Chadema ukawa hatutaiangusha ccm.

Ni sahihi kabisa hizi rumours+ukimya wa dr slaa na mnyika sijui nn kitatokea busara na hekima vitawale bila ya hivyo mpasuko wake ni mkubwa sana ndani ya ukawa.

​mkuu taratibu. naona umegeuka mbogo. najua fika wanachadema na baadhi ya wanaukawa mpo kwenye wakati mgumu sana kwa kususa kwa slaa. lakini msisahu pia na slaa pengine yupo kwenye wakati mgumu kuliko nyinyi.
possibility;
1. kutokana na kutokukubaliana na ujio wa lowasa kwa kuamua kusimamia misingi aliyokuwa akiihubiri siku zote
2. shinikizo la mke
3. au hata pengine shinikizo kutoka ile nchi ndogo pale italy, who knows. (angalia john mnyika na john magufuli katika hili)
kwa hiyo nashauri mpunguze jazba na mjiandae kisaikolojia kwa chochote kitakachotokea. nawaona kabisa makamanda mnapoteza balance na kuwa na temper iliyopitiliza. haya mambo ni zaidi ya mnavyoyaona huku nje.
poleni hata hivyo.
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi

mkuu taratibu na acheni kumtukana slaa humu. naona umegeuka mbogo. najua fika wanachadema na baadhi ya wanaukawa mpo kwenye wakati mgumu sana kwa kususa kwa slaa. lakini msisahu pia na slaa pengine yupo kwenye wakati mgumu kuliko nyinyi.
possibility;
1. kutokana na kutokukubaliana na ujio wa lowasa kwa kuamua kusimamia misingi aliyokuwa akiihubiri siku zote
2. shinikizo la mke
3. au hata pengine shinikizo kutoka ile nchi ndogo pale italy, who knows. (angalia john mnyika na john magufuli katika hili)
kwa hiyo nashauri mpunguze jazba na mjiandae kisaikolojia kwa chochote kitakachotokea. nawaona kabisa makamanda mnapoteza balance na kuwa na temper iliyopitiliza. haya mambo ni zaidi ya mnavyoyaona huku nje.
poleni hata hivyo.
 
Dr Slaa wewe ni kipenzi cha wengi na umeitoa mbali chadema, usijali kwa kukatwa jina ila chadema wataisoma namba, karibuni tena nyumbani.
 
Dr Slaa sidhani kama kashindwa kufanya kazi na Lowassa,hapana. Nadhani kuna kitu Mbowe hajamtendea haki Slaa.
 
Last edited by a moderator:
Lowasa ameondoka CCM sababu kuu ni kukatwa Jina, najiuluza kwanin asingekubali matokeo?

Kwa maana hiyo umemanisha kwamba wale wote 42 ni taka taka wew pekee ndo Msaf na ulifaa kuchukua ile nafasi.

Binafsi naona ni tamaa ya madaraka,

Pia Lowasa unapaswa ujiaweke katika position alikua nayo dr slaa kwa sasa ungejiskiaje au unahisi kwa haiba ulokua nayo wew unge chukua maamuz gan?

So hata Kama slaa atahama chama binafsi sitomlaumu sababu naona amedharirishwa sana kwa hili. Na Kama atauchukua uamuzi huo hapaswi kulaumiwa coz hiyo ni democrasia so tusimsifie tu lowasa kwa mnayoyaita maamuz magum et coz kaja CHADEMA pia tukubaliane na maamuz ye yote ya slaa na tuyaheshimu
 
Wananchi gani waloipokea habari hii kama sio nyie watu wa mitandao, JF na Chadema?.. Mlisema haya haya mlipounda UKAWA mkapigwa bao la wazi kabisa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa CCM wakapata zaidi ya asilimia 80, bado mkadai namba zenu bora zaidi ya mwaka 2009. Kuna siri ama kitu kilichopokelewa kama UKAWA wakati wa Serikali za Mitaa mbona hamkushinda?

I'm sure hata ukimwambia Nape CCM ilishinda serikali za mitaa kwa 80% will not take it with sense of humour!

Kumbe akina Dr. Benson Banna wa REDET mko wengi!
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi

Damu ya Zitto itawatafuta mpaka mtakapoingia makaburini. Aione Ben Saanane, Yericko Nyerere, Molemo. N.k
 
Last edited by a moderator:
Ziko habari za uzushi kuhusu Katibu Mkuu Dk. Slaa, zinaandikwa na kuenezwa na Gazeti la Raia Tanzania kwa siku kadhaa mfululizo sasa.

Uongo huo wa Raia Tanzania leo umeendelea kwa kiwango cha juu zaidi kiasi cha gazeti hilo kuandika kuwa eti Katibu Mkuu Dk. Slaa amekabidhi nyaraka za chama kwa dispatch saa 3 usiku juzi.

Wakuu, hakuna uongo uliokubuhu kama huo. Mtakumbuka uongo huo wa kwamba KM Dk. Slaa anarudisha mali za chama zilienezwa usiku wa juzi mitandaoni na mmoja wa waandishi wa habari aitwae Manyerere Jackton.

Kwa bahati nzuri wakati Jackton (mtu ambaye tunaheshimiana kwa sababu ya kikazi na kitaaluma) wakati akijipatia jukumu la kuandika uzushi badala ya habari na kusambaza uongo badala ya taarifa, binafsi nilikuwepo ofisini physically. Nilikanusha kupitia Jamii Forums ambako alidanganya kwa jina lake, huku 'akijiapiza'.

Uongo huo ambao leo umeshadidiwa na Gazeti la Raia Mwema leo, ulisababisha taharuki isiyokuwa ya lazima kwa waandishi wa habari kadhaa ambao walinitafuta (si Raia Tanzania wala Jackton) na nikawaruhusu waje Ofisini wakitaka usiku huo ili waone namna ambavyo wako watu au chombo cha habari kinaweza kujivika kazi ya kusambaza uongo. Kujeruhi na kuua ukweli.

Kazi ya kujeruhi na kuua ukweli hufanywa sana na maadui wakati wa mapambano kama ilivyo sasa katika mchuano wa kisiasa unaoendelea nchini kuelekea Uchaguzi. Maadui wa CHADEMA wako kazini. Lilitarajiwa hilo.

Wakati Raia Tanzania wakikoleza uongo wao kwa kusema eti 'majira ya saa 3.15 hivi' lilifika Gari aina ya Noah maeneo ya ofisini kisha eti watu wawili wakaingia ofisini wakiwa na mkoba mwekundu, muda huo mimi nilikuwa Ofisini. Hakuna kitu cha namna hiyo kilichofanyika. Labda kama Ni Kwenye Ofisi za gazeti hilo.

Naandika haya nikiwa na uchungu. Kwa sababu huwa sijisikii vizuri kabisa kulumbana na wenzangu (senior fellas) kwenye taaluma ya habari. Tena kwenye mambo ya hovyo yanayohusu kuvunja vunja kabisa misingi ya uandishi wa habari i.e accuracy, facts, truth, objectivity etc.

Inapofikia hatua Gazeti kama hilo linashindwa kabisa kusimama kwenye kitu kiitwacho Social Responsible Journalism inatia aibu na kichefuchefu kwa jamii ya watu makini wanaotaka ushindani wa kisiasa unaoendelea nchini ufanyike kwa misingi ya kila mdau kutimiza wajibu wake inavyotakiwa. Uwajibikaji.

Nimalizie kwa kusema yafuatayo; Katibu Mkuu hajajiuzulu. Nafasi yake haiko wazi kama ambavyo gazeti limepotosha.

Agenda ya kuandika uzushi na uongo kuhusu Katibu Mkuu Dk. Slaa na CHADEMA wanayotekeleza Gazeti la Raia Tanzania walioko nyuma yake wanajulikana. Ni agenda ya CCM na Mawakala wao. Wasaliti wa mabadiliko ambao hawajaamini kuwa ndege ya mabadiliko hatimaye inaruka wakiwa wametupwa nje kwa sababu ya usaliti wao wa kufanya kazi za CCM wakiwa ndani ya CHADEMA kabla hawajatimuliwa.

Mojawapo ya malengo ni kuwachanganya wanachama, wapenzi, mashabiki na wafuasi wa CHADEMA katika kipindi hiki muhimu kinachohitaji utulivu wa mwili, akili na roho ili kupanga mikakati ya kumdhibiti adui na kuweka kila kitu sawa kwa ajili ya kusaka ushindi kwenye Uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Inaitwa diversion. Ili badala ya kuendelea kuwa focused kwenye masuala ya msingi eti tuanze kukimbizana na propaganda!

Aidha, baada ya CCM kusambaratikia Dodoma na sasa iko vipande vipande ikiwa ni mwendelezo wa kuanguka kwa 'himaya' hiyo huku Wananchi wakipandisha mori wa mabadiliko kupitia BVR, lengo jingine ni kutaka kuuhadaa umma wa Watanzania kuwa eti CHADEMA nayo imegawanyika. Wanaota.

Mgawanyiko wa chama cha siasa huwa unatokea kwenye vikao pale ambapo maamuzi yanashindwa kufanyika au kufukiwa. Hakujawahi kutokea jambo la namna hiyo ndani ya chama.

Kwa sababu chama kimejenga utamaduni wa kusimamia misingi katika kusimamia na kuendesha masuala yote, kinaendelea kuwa imara kadri tunavyosonga kuelekea Uchaguzi mkuu.

Uimara huu wa CHADEMA kikijiandaa (kwa kushirikiana na vyama wenza katika UKAWA) kwenda kushinda Uchaguzi, kushika dola na kuongoza serikali, ni mpango wa Mungu. Tujiandae kwa propaganda kubwa zaidi ya hizo za Raia Tanzania.


Tutashinda.
Makene

Source: Chadema blog

Chadema Blog: HABARI ZA UZUSHI ZILIZOANDIKWA NA KUENEZWA NA GAZETI LA RAIA TANZANIA KUHUSU KATIBU MKUU WA CHADEMA DR SLAA
 
Unategemea nini kwa nchi iliyojaa waimba taarabu kama Tanzania????

Wameshaguswa kunakowasha, lazima waropoke ropoke kama hivyo wanavyofanya.

The end justifies the means
 
Lowasa ameondoka CCM sababu kuu ni kukatwa Jina, najiuluza kwanin asingekubali matokeo?

Kwa maana hiyo umemanisha kwamba wale wote 42 ni taka taka wew pekee ndo Msaf na ulifaa kuchukua ile nafasi.

Binafsi naona ni tamaa ya madaraka,

Pia Lowasa unapaswa ujiaweke katika position alikua nayo dr slaa kwa sasa ungejiskiaje au unahisi kwa haiba ulokua nayo wew unge chukua maamuz gan?

So hata Kama slaa atahama chama binafsi sitomlaumu sababu naona amedharirishwa sana kwa hili. Na Kama atauchukua uamuzi huo hapaswi kulaumiwa coz hiyo ni democrasia so tusimsifie tu lowasa kwa mnayoyaita maamuz magum et coz kaja CHADEMA pia tukubaliane na maamuz ye yote ya slaa na tuyaheshimu


Kuna kundi limeibuka ghafla wakijifanya kuwa na uchungu sana na CHADEMA kumbe ni wanafiki, moyoni wako CCM. Wakati Magufuli anatangazwa kundi hilo hilo liliibuka na kuwashauri CHADEMA wakomae na ubunge. Ujio wa Lowassa umeonyesha rangi za baadhi ya watu. Sasa ni kama wamechanganyikiwa na kujifanya washauri wa CHADEMA.

Mimi nilikuwa mmoja wa watu niliyempinga Lowassa na kumuita mwizi wakati wa mchakato wa kura za maoni CCM ili asipitishwe sababu kubwa niliona upepo wake ulikumba hata wasiokuwemo. Nilijua wakimpitisha tu wapenda mageuzi tumekwisha kwani upepo wake ungepiga hadi kwenye majimbo ya upinzani, na badala ya kuongezeka yangepungua. Kuna wabunge wengi wa CCM walitegemea sana upepo wa Lowassa uwapitie. Sasa hivi wamechanganyikiwa wanaomba bora wangejitoa CCM mapema kabla kura za maoni CHADEMA hazijafanyika.

Ndugu zangu upepo wa wanasiasa ni mbaya sana kuna wabunge CHADEMA upepo wa Dr.Slaa uliwapitia hadi leo hawaamini kama wapo mjengoni. Lowassa upepo wake ni mbaya sana. Dr.Slaa angemsumbua Dr.Magufuli lakini asingemshinda. Vile vile kwenye UKAWA ujio wa Lowassa umeleta mshikamano zaidi. Ninaamini kuna wana CUF na NCCR wasingeweza kumpigia kura Dr.Slaa zaidi ya wabunge wao. Lakini Lowassa ni kama amekuja kuwaunganisha UKAWA. Zitabebwa kura nyingi sana hapa.

Hawo wasiomtaka Lowassa ni wale waliotaka wapinzani wawe wapinzani milele. Ndio wale utawaskia Urais CCM, Ubunge upinzani. Huo ni unafiki mkubwa. Tunahitaji CCM itoke kabisa. Sasa ujio wa Lowassa ni kama umewachanganya sana wamebaki kujifanya wanakishauri chama kumbe wanafki wakubwa. Lengo kuu la chama ni kushika dola kama kuna upenyo umetokea wa kukupeleka huko utumie ipasavyo. Muda ndio huu ukipita CCM itatawala milele.
 
Back
Top Bottom