Wananchi gani waloipokea habari hii kama sio nyie watu wa mitandao, JF na Chadema?.. Mlisema haya haya mlipounda UKAWA mkapigwa bao la wazi kabisa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa CCM wakapata zaidi ya asilimia 80, bado mkadai namba zenu bora zaidi ya mwaka 2009. Kuna siri ama kitu kilichopokelewa kama UKAWA wakati wa Serikali za Mitaa mbona hamkushinda?
Ni vema ukaishirikisha vizuri akili yako sio unaandika tu kwa kuwa wewe ni CCM, kumbuka Uchaguzi serikali za mitaa 35% CCM walipata ushindi kupitia yale mapingamizi ya Kipumbavu na isitoshe katika baadhi ya maeneo kama hayo hao viongozi wenu wanaongoza familia zao kwani wananchi hawataki kuongozwa na watu wasiowachagua, hiyo ya ushindi zaidi ya 80%sijui unaitoa wapi ndugu yaani propaganda za Nape ndio umeziingiza ndani ya Ubongo wako kwani kiuhalisia hadi matokeo yanakamilika CCM ilikuwa imepata 62% na hiyo 35% ya mezani ikiwa ndani kitu ambacho ni dhahiri bila hayo mapingamizi ya kipumbavu ni lazima mlikuwa mmeshindwa.
Hutaki nenda kakojoe ulale
Naona unawashwa na kunguni
Kawadanganye walevi wenzio,uchaguzi wa serikali za mitaa ccm mmepigwa bao hadi mkaambulia 63.5%leo unataka kutuongopea eti 80%?
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi
Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.
Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.
Laana itamtafuna huyu mzeee
Edi
Nionavyo mimi, athari aliyoileta Mh. Lowasa katika kuivuruga CCM, itakuwa inafanana sana na athari itakayoletwa na Dr. Slaa katika kuivuruga UKAWA na wananchi kwa ujumla. Kete muhimu sana katika ushindi unaotafutwa na UKAWA ni dhahiri ipo kwa Dr. Slaa. Ni vyema busara kubwa itumike katika kumshawishi Dr. Slaa akubalianr na ridhaa ya viongozo wa UKAWA ambayo imepokelewa vizuri na wananchi wengi kwa ujumla hata ambao vyama vao havipo UKAWA. Ni vema kazi hii ifanyike aprma kabla kampeni kuanza, na itakuwa vizuri zaidi kama Dr. Slaa atasaidia vilivyo katika kampeni ya kumnadi mgombea wa UKAWA.
Naendelea na maombi.
Bila Dr slaa ndani ya Chadema ukawa hatutaiangusha ccm.
Ni sahihi kabisa hizi rumours+ukimya wa dr slaa na mnyika sijui nn kitatokea busara na hekima vitawale bila ya hivyo mpasuko wake ni mkubwa sana ndani ya ukawa.
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi
Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.
Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.
Laana itamtafuna huyu mzeee
Edi
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari/Mawasiliano CHADEMA
Akanusha taarifa za Dr. Slaa kujiuzulu nafasi yake na kuondoka ndani ya CHADEMA.
Asema ni Propaganda zisizo na ukweli zinazoenezwa na wapinzani (CCM).
Source: Star Tv,
PILIKA ZA UCHAGUZI 2015,
Date: 01/08/2015
Time: 22:40
#NinaImaniNaLowassa
#ZuiaGoliLaMkono2015
Wananchi gani waloipokea habari hii kama sio nyie watu wa mitandao, JF na Chadema?.. Mlisema haya haya mlipounda UKAWA mkapigwa bao la wazi kabisa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa CCM wakapata zaidi ya asilimia 80, bado mkadai namba zenu bora zaidi ya mwaka 2009. Kuna siri ama kitu kilichopokelewa kama UKAWA wakati wa Serikali za Mitaa mbona hamkushinda?
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi
Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.
Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.
Laana itamtafuna huyu mzeee
Edi
Hujui chochote juu ya Mkandara Ni vema kuwa na lugha za kistaraabu!
Lowasa ameondoka CCM sababu kuu ni kukatwa Jina, najiuluza kwanin asingekubali matokeo?
Kwa maana hiyo umemanisha kwamba wale wote 42 ni taka taka wew pekee ndo Msaf na ulifaa kuchukua ile nafasi.
Binafsi naona ni tamaa ya madaraka,
Pia Lowasa unapaswa ujiaweke katika position alikua nayo dr slaa kwa sasa ungejiskiaje au unahisi kwa haiba ulokua nayo wew unge chukua maamuz gan?
So hata Kama slaa atahama chama binafsi sitomlaumu sababu naona amedharirishwa sana kwa hili. Na Kama atauchukua uamuzi huo hapaswi kulaumiwa coz hiyo ni democrasia so tusimsifie tu lowasa kwa mnayoyaita maamuz magum et coz kaja CHADEMA pia tukubaliane na maamuz ye yote ya slaa na tuyaheshimu