Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8


Business insider wanasema baada ya kukutana na mabosi WA boeing wameambiwa terrible teens zote zimeshauzwa tangu julai 2016, hivyo kuwapelekea wateja ingechukua hadi miaka miwili kwa sababu mbalimbali ikiwemo pengine wateja wengi waliamua kulipa kwa awamu kadhaa kabla ya kuchukua ndege.
Boeing wamesema wameuzia Tanzania dreamliner 787 kwa dola mil.224 haitawezekana wauze ndege ya dola mil.99 kwa bei ya juu tofauti na uhalisia itawaletea matatizo. Hivyo nawapinga wote wanaosema boeing wametudanganya .
 
Kimweri nina hakika hatujauziwa ndege ya aina hiyo. Sijafanya kwa ushabiki bali kwa kuangalia facts. Na ndio maana nikasema sioni any convincing fact ya kitu hiki. Nalokubaliana na wee ni kuhakikisha adhabu kali kama hii rumous ni ya kweli. Sitaogopa kutumia ufahamu wangu kusema hili ni kweli au si kweli eti kwa kuogopa kuhusishwa na upuuzi ambao naamini haupo.

 
Mkuu, umeeleza vzr kwa kuwa umejitahidi kutoka nje ya box, ninachoweza kusema kama itathibitika kuwa kuna watu wamemzunguka presidor asee nahic data be hanged....

Natunza huu Uzi kwa ajr ya reference..
 
Areafiftyone, ninajaribu tu kukieleza kile ninachokiamini kwa uelewa wangu na sijawa mtetezi wa wezi hata siku moja. Kama ningejilidhisha kuwa kuna ufisadi, ningesema pia. Sijaliangalia hili swala kwa mihenuko ya kisiasa bali kwa kitaaluma. Sina upande wa sasa tumewapata na kuishi kwa kuviziana ili upate mtaji wa kisiasa badala ya kutetea maslahi ya nchi yangu bila kuangalia au kuongozwa na itikadi. nafikiri ni vizuri mikataba ikawa wazi huenda hili ninalolitetea lingeeleweka kwa urahisi hata kama huna uelewa wa maswala ya ndege.

 
Ufupishiwe ili iweje!? Kwani nawe ni Bashite wa Kolomije huelewi kilichoandikwa kwa kuwa umezoea mstari mmoja mmoja!? Tulizana soma kwa kina ili uelewe huwezi tafuta zile za mstari mmoja mmoja hii waachie wenye uwezo wa kuelewa hata kama ni page 100.

Kama umeendelea kusoma utakuwa unajutia hata kuniquote, kwa sababu haukuangalia nje ya box. Nyie msioipenda awamu hii mkiniona tu nimeandika mnajua kumwaga lolote, nimewazoea ila na kuwajibu lazima niwajibu nikiamua. Ha ha ha haaaa
 
Tatizo umekuwa mshabiki wa Bashite mpaka umekuwa mjinga kama yy. Usichoelewa kitu gani hapa?

Nimeandika sijaelewa au?

Unaona sasa wewe na mimi nani mdaku? Nani hatumii fikra hata kidunchu.

Ha ha haaaaa

Jisikitikie, na mjue kuwa uandishi sio kimoja tu kama vile mlivyokuwa mnanyonyeshwa.
 
Upende awamu hii kwa lipi? Nchi ina utajiri wa kutisha lakini bado imegubikwa na umaskini uliokithiri. Inabidi kujitoa ufahamu ili kukipenda na kukitetea chama cha wahuni, mafisadi na mabashite wa Kolomije.

Kama umeendelea kusoma utakuwa unajutia hata kuniquote, kwa sababu haukuangalia nje ya box. Nyie msioipenda awamu hii mkiniona tu nimeandika mnajua kumwaga lolote, nimewazoea ila na kuwajibu lazima niwajibu nikiamua. Ha ha ha haaaa
 
Upende awamu hii kwa lipi? Nchi ina utajiri wa kutisha lakini bado imegubikwa na umaskini uliokithiri. Inabidi kujitoa ufahamu ili kukipenda na kukitetea chama cha wahuni, mafisadi na mabashite wa Kolomije.

Wape muda ndipo Raisi wetu ambaye hana hata miaka miwili anajaribu kufanay hivyo, nasi wananchi ni wajibu wetu kufanya yetu pia tuendeleze na kitajirisha nchi yetu kwa unayoyasema.
 
Watalii hawatapanda hii ndege kama wana nafasi ya kupanda ndege za mashirika mengine.

Huyu mleta uzi katuharibia biashara na hana uzalendo kwa kutoa hiyo siri. Ila kama ni kweli basi bei iwe hizo usd 99m.
 
Mlitegemea mihela waliyomwaga 2015 oktoba wangelipaje haraka bila kutumia mbinu ya manunuzi ya kirwandarwanda???
 
Jamani kwani sumsung note 7 hamkuona janga lake? wale walio kimbilia mwanzo nn kiliwapata? iyo ni simu kwa ndege ikizingua unaimbiwa mbinguni kuna makao mazuri. sa cjui tulienda tukaona ayo makao

Kama hukuelewa nilichoandika pita huko.
 
This whole thing regarding those planes is so terribly convoluted...

So much information...you don't know for sure who's telling the truth and who's not!

But oh well...nowadays anybody can be an expert on anything and everything.
sure bro.
 
Jiulize ni kwanini serikali iko kimya kuhusu tuhuma hizi ndio utapata jibu.
serikari sio genge la wacheza bao wabishane kwa kila jamboa,yani sio genge la wahuni pia.Si tunataka ndege huo utaalamu hautowqsaidia mimilioni ya watu wasio na smart phone.Zito aliasema bombadier tumepigwa lakini asa ivi kila akipanda anapiga selfie
 
Mkuu uko sawa na hii Serikali ya kifisadi imeshaanza kuweweseka eti itatatuma wataalamu wakachunguze ubora wa ndege miezi chungu nzima baada ya kulipa cash! Kwanza tangu lini tuna "wataalamu" wa kukagua ubora wa ndege!? Na kwanini hawakuzikagua hizo ndege kabla ya kulipa cash!? Mpiga madili maarufu nchini kishafanya yake kwa mara nyingine tena.

 
Tatizo lako kama la bosi wako ni lugha tu!
 
Kuboresha utalii ni pamoja na kufufua Airline,
Sio kwa strategy hiyo ndugu. Biashara ya ndege sasa hivi imekuwa ngumu na yenye ushindani mkubwa sana. Watu wanaangalia mashirika yenye akili zao, tena kupeleka Boeing 787 au Airbus 380 yataka uwe na hub iliyoeleweka. Tutakuja kukutana humu baada ya miaka 10 ijayo uhai ukiwepo.
 
Hawawajui wazungu hawa. Nafuu iwe wajanja wamekula chenji ikuwa ni kuingizwa mjini hiyo timu ndio itaingizwa mjini mara dufu. Natamani niwe kwenye timu ya uchunguzi, ubilionea uleeeeee
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…