and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,194
- 39,646
Kama mjuavyo Tanganyika ni moja wa waanzilishi wa SADC. Nani mwakilishi wetu huko 46th SADC Summit, Durban? Je tunaenda na Ndege gani Boeing 787? Airbus 320? Watu wa wizarani ndio wakati wa kwenda kwa maelfu kula per diems za nje ya nchi.