Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

CCM ni wakupiga chini tu hawana jipya kabisa wanazidi kutuongezea umaskini
 
Mkuu:
Ni dhahiri Japan wanazo hizo Terrible Teens lakini wao wanategemea zaidi ukomo wa masafa yao.
Inawezekana ni kwa ajili ya matumizi ya ndani (Domestic Operations) au Jeshini, kama Mexican Airforce wao ukomo wa masafa sio tatizo
Japan ni ndogo kwa size vsiwa vile ukivweka pamoja mkoa wa morogoro ni mkubwa unaweza zunguka pote kwa siku moja. Hawawez nunua dege kama hilo for domestic operation.
 
Terrible teens,mara ilidoda 5 yrs..achilia mbali chenji tuliyopigwa,...usalama wake vepee..jina la terrible linastua hehe
 
Hizo ndege baada ya kukosa soko zilipunguzwa bei zaidi nusu ya bei zake(strike price), sasa ni je imekuwaje tumenunua katika bei yake ya awali.

Is either kama taifa tumepigwa AU wajanja wachache wamepiga pesa
 
Japan ni ndogo kwa size vsiwa vile ukivweka pamoja mkoa wa morogoro ni mkubwa unaweza zunguka pote kwa siku moja. Hawawez nunua dege kama hilo for domestic operation.
Nani amekudanganya wewe muongo? Japan ni nchi ndefu sana(think chile) kutoka point moja hadi nyengine ni zaidi ya km 3000. Na ina ukubwa karibu asilimia arobaini ya tanzania.,thats not the size of Morogoro.

Huu uongo kadanganye watu kijiweni kwenu huko shitimbi.,sio JF
 
Hizo ndege baada ya kukosa soko zilipunguzwa bei zaidi nusu ya bei zake(strike price), sasa ni je imekuwaje tumenunua katika bei yake ya awali.

Is either kama taifa tumepigwa AU wajanja wachache wamepiga pesa
Kwa sababu ya kiherehere cha yule baba kutokutaka kufuata procurement procedures. Alishani anaenda kununua suruali kkoo.
 
Hizo ndege baada ya kukosa soko zilipunguzwa bei zaidi nusu ya bei zake(strike price), sasa ni je imekuwaje tumenunua katika bei yake ya awali.

Is either kama taifa tumepigwa AU wajanja wachache wamepiga pesa
Baada ya hzo terrible teens Boeing waliendelea kutengeneza ndege zngne? Je walizpa jina gani? Ni hii 787-8? Kama zna jina hilo znauzwa bei gani? Niltegemea mtoa post ange ainisha vyote hvo. Ila nadhan yupo kwenye pdf ya jana
 
Ethiopian wame-order ndege mbili hapo kny orodha ya 1-20, tunaamini kuwa ni moja ya shirika la ndege makini ktk bara la afrika hivyo sidhani kama tumebugi. Tupunguze tu wivu wa vyama tu-focus kny maendeleo ya vyama
Wame-order ndiyo, but at which price? Strike price au discounted price
 
Toa na maji
 
Asante. Kama Ni hivyo. Mbona azijifika Tanzania? Na ukiuliza unaambiwa hiko kwenye line. Na kuna baathi ya Watanzania wako kule wakijifunza jinsi ya kufanya matengenezo madogomadogo. ATCL Watufamishe kuhusu hilo. Maana walikuweko kwenye uwazi Na kushauri serekali.
 
Hizo ndege zilishauzwa kwa makampuni, wakiwa bado hawajizipokea ikagundulika zina kasoro. Zikabaki zimedoda hadi baadae walipopunguza bei(massively discount) ndio zikaanza kutoka.

Swali ni je, ni ipi bei tuliyonunulia, ni hiyo 224.6USD au ni katika ile waliita massive discount?
 

Mkuu labda Mimi sijaelewa vizuri.
Hivi umesema kuwa serikali imeagiza ndege na katika order waliotoa wameagiza
Line number 19.
Ulisema namba 1-20 ndo hizo ambazo hazina ubora. Na ambazo baada ya kupunguzwa bei zikauzwa, zikabaki 12.
Na umesema kuwa hiyo iloagizwa iko ndani ya hizo 1-20.


Maswali.
1; Hizo ndege 12 zilizobaki bado zipo hadi leo.?? Katika hiyo packing yao.
2; kama ziliuzwa zote zimekwisha, je boeing bado wamerudia tena kutengeneza ndege hizo hizo zenye hasara??
Au wameamua kutengeneza kwa mifumo mipya ambayo ndege tunayoagiza ndo ipo ndani yake????

3; kama bado zipo na ndege tulioagiza ni kama hizo kwanini hatukupewa moja kwa moja na badala yake tunatengenezewa mpya ambayo mpaka sasa haijakamilika???

4; Kulikuwa na ulazima gani wa kutengeneza ndege mpya ya aina hiyo hiyo huku unazo nyingine zimepaki hazijauzika??

Naomba nijuze mkuu
 
Hana majibu
 
Ha ha haaaaaa

Unasahau kuwa wengine akina mimi tulizaliwa tunaongea kilugha cha makabila yetu, na sasa tunajifunza kiswahili chenu.

Usijali mdau mimi mutanzania mnono haswa.



Hahahaha, pamoja sana mkuu
 
Hizo ndege baada ya kukosa soko zilipunguzwa bei zaidi nusu ya bei zake(strike price), sasa ni je imekuwaje tumenunua katika bei yake ya awali.

Is either kama taifa tumepigwa AU wajanja wachache wamepiga pesa
Mkuu hebu jaribu kuwa mdadisi kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…