Ndio maana alilia kilio kikuu alipoona kibarua kinataka kuingia mchangaUfisadi wa karibu bilion 400,dah?
Bashite atapasuka kwa utajiri asee...
CertificateAsante The Tomorrow people umetoa analysis nzuri. Japo nina mashaka kama wabongo wanaweza kuukubali ukweli huu.
Umeona eh watu wanabwekaaa ila hawatupi bei ya $99mAisee nimebofya hizo links zote alizoweka na sijaona popote pale kuhusu hiyo bei ya $99m...
Saa ingine hawa 'n' [you know what I mean😉] huwa wanabuni tu mambo vichwani mwao....
Kwa wanaotaka kujua bei ya ndege hizo za terrible teens
Naona wanatuandalia kifo. Kama mtengenezaji anagoma kupanda ndo sembuse mm kapuku. Siji panda hilo kitu![]()
![]()
![]()
![]()
Umeona eh watu wanabwekaaa ila hawatupi bei ya $99m
Tatizo lako kimombo hujuiZiiiiiiiito mla rushwa wewe kwenye kampuni za madini na za kufua umeme umeamua kuhamia boeng kutafuta rushwa huko hupati kitu utakufa na njaa yako
Kamwe huwezi kuelewa hiyo mada!! Watu wangu wanangamia kwa kukosa maarifa!! Ndio maana kazi za kitaalam zinafanywa na wataalam lakini hapa kila kitu wewe lazima uingie chaka tu!!Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Ukiambiwa bei ni nusu ya 200 na bado hujui jibu unafaa kuwa mteule wa DC au RC. Maana ubongo wako umefaa kusoma na kuandika tu.Umeona eh watu wanabwekaaa ila hawatupi bei ya $99m
Uwiii Tanzania![]()
![]()
![]()
![]()
Ukiambiwa bei ni nusu ya 200 na bado hujui jibu unafaa kuwa mteule wa DC au RC. Maana ubongo wako umefaa kusoma na kuandika tu.
Ufupishiwe au kingereza hujui? Nenda kwa Ras simba kama upo jijini kama Upo ushenzini chato au kolomije nenda kwa mganga wa bashiteEmbu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Na tupigwe tu kwa maana hakuna namna nyingine na si mara ya kwanza ATC-(L) kupigwa hata ile Boing 767 iliishia pale terminal 1 haikuruka tena mpaka leo sijui iko wapi!!!?
Ufisadi wa karibu bilion 400,dah?
Bashite atapasuka kwa utajiri asee...
Ukiwa na nyege huwezi soma ukaelewaEmbu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.