Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

ACHA UMBEA WEWE!! HII NYIE WATU WA ARUSHA HUWA MADISHI YENU YAMEYUMBA KIDOGO AU? PENGINE MWANZA HUWA MNAICHUKULIA VIPI? MWANZA HUWEZI KUILINGANISHA NA VITU VYA KIPUUZI KABISA KAMA ARUSHA MI NACHOJUA BAADA YA DAR NI MWANZA NA SI TAKATAKA KAMA ARUSHA WE KAMA VIPI NJOO MWANZA UFANYE UTAFITI UONE NA SIO KUKURUPUKA TU NA KUSIFIA UPUUZI
 
Nakumbuka zamani wakati sijawahi kufika wala kuishi Arusha nilikuwa nasikia tu hivi hivi mnapopasifia Arachuga Arachuga nilipofika nikashangaa!!! Hivi ni Arusha hii hii au kuna nyingine? Nikaanzia Makuyuni.Njiro.sanawari.kijenge.Sakina.na upuuzi wote nikasema watu wa huku ni wapenda sifa tu hamna lolote,Nikajiuliza hivi huwa wanavuta bangi kwanza ndio wanaleta uzi humu
 
Kiukweli hebu tuache masihara ndugu watanzania.

:Nimekaa Arusha ila siwezi kulinganisha na Mwanza hata siku moja, arusha naweza kuilinganisha 'labda' na iringa tofauti labda ni magorofa tu.
 
Wewe usiwe unalinganisha kijiji cha Arusha na Jiji la Mwanza. Arusha size yake ni akina Dodoma, morogoro na Iringa. Ukome usirudie tena kutupotezea muda kujadili ubishi wa kibangebange
TV imeingia mchelemchele[emoji3] eti mkuu dishi limeyumba nn
 
Habari wana jamii form
kwa muda mrefu kumekuwa na battle kati ya A-city Vs Rock City. Nimefuatilia kwa makini nimeona pande zote hakuna anayekubali kushindwa.
Lakini kwa mtazamo wangu wa kawaida ukweli ndio huu
01. Population arusha city iko half of Mwanza rock city
02. Kujengwa kwa city Chuga iko 90% wakati rock city iko 50% wakati dar city 100% na a-city 75%
03. Kwa ujanja a-city 80%, dar city 99% na rock-city 40%.
03. Kwa mzunguko wa hela Dar-city 90%, A-city 70% na rock city 60%
04. kwa hali ya hewa A-city 100%, Dar-city 40% Na Rock City 50%
NOTE; i was born in a city but, i am living in monrovia
Mshamba ww mwanza wap na wap na hlo jiji la wavuta bang
 
Ila mwanza inafeli wapi hadi inapitwa na arusha
Tangu miaka ya 70 mwanza ni jiji la pili arusha ilikua ya 9
Mwanza ilitakiwa ilinganishwe na nairobi lakini leo hii mwanza haina majengo ya 10+ hata 10 wakati arusha yapo zaidi ya 20 na bado yanaendelea kujengwa
Master plan ya mwanza ina km za mraba zile zile 422(na hiyo inajumuisha sehemu ya maji na saa nane island) arusha ina 608kmsq ikijumuisha halmashauri tatu na usisahau maeneo yanayozunguka mwanza yani mkoa wa mwanza na mkoa jirani wa geita ni mikoa yenye watu maskini zaidi Nchini ndio ulinganishe na arusha bro MWANZA MNAKWAMA WAPI??
Naipenda miji yote lakini private sector investments pamoja na mzunguko wa pesa arusha iko far ahead of mwanza
Airports zinazoingiza ndege nyingi ya pili kia ya tatu arusha airport na zote zinaserve arusha
NB. Utalii na madini sekta zinazoongoza kwa pato la taifa zote zipo arusha
 
Mara zote mti wenye matunda hurushiwa mawe naona mwanza unawanyima usingizi hawa wezi na matapeli was kazikazi . Na mlivo jaa rock city had aibu kama A town kuko poa mwakimbia kwa nini.mbona sisi wasuks hatuji kweeenu tupo mwanza, kahama. Simiyu namashimyagaaaaaa
Lack of exposure bro ndo maana hamtoki unavoona wachina wamejaa dar na arusha ni kwamba dar imeizidi hongkong??
Wewe huwezi kuja huku bro ili uje lazima uje na kitu cha kutuletea huku kwanza huu ni mji wa kitalii bro unapesa ya kulala hotelini mkuu??? Sasa turudi kwenye mada
Arusha kuna competition ya biashara huku migahawa mingi ya mtaani tu (siyo hoteli) inamilikiwa na wachina, wahindi na waitaliano najua mwanza hamjaona hivo vitu kwa mbongo anayeanza ambaye hana capital kubwa ni ngumu kucompete nao sasa tunapokuja mwanza tukakuta watu bado mmelala lazima tufungue fursa na sisi sio mwanza tu nenda dar nenda nairobi utaniambia na sasa hivi dodoma tunafata fursa mzee tena inabidi mtushkuru sana kuja kuwachangamshia mji wenu huo
 
Ila mwanza inafeli wapi hadi inapitwa na arusha
Tangu miaka ya 70 mwanza ni jiji la pili arusha ilikua ya 9
Mwanza ilitakiwa ilinganishwe na nairobi lakini leo hii mwanza haina majengo ya 10+ hata 10 wakati arusha yapo zaidi ya 20 na bado yanaendelea kujengwa
Master plan ya mwanza ina km za mraba zile zile 422(na hiyo inajumuisha sehemu ya maji na saa nane island) arusha ina 608kmsq ikijumuisha halmashauri tatu na usisahau maeneo yanayozunguka mwanza yani mkoa wa mwanza na mkoa jirani wa geita ni mikoa yenye watu maskini zaidi Nchini ndio ulinganishe na arusha bro MWANZA MNAKWAMA WAPI??
Naipenda miji yote lakini private sector investments pamoja na mzunguko wa pesa arusha iko far ahead of mwanza
Airports zinazoingiza ndege nyingi ya pili kia ya tatu arusha airport na zote zinaserve arusha
NB. Utalii na madini sekta zinazoongoza kwa pato la taifa zote zipo arusha
Mangosha hawatakuelewa wakiongozwa na ngosha wao mkuu anaewajengea daraja la kuvuka ziwa akasahau kuwatoa kwenye umaskini.
Kiufupi 2025 Dom itaipita Mwanza kwa kila kitu except population,Arusha ndio hovyo inaikimbiza
 
1602440944504.png

Mwanza, Mwanza, Mwanza kwa hisani ya ATCL
 
Back
Top Bottom