Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

hyo no.3 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hicho na chenyewe ni kigezo kweli?!!...ujanja ni pesa tu
 
Habari wana jamii form
kwa muda mrefu kumekuwa na battle kati ya A-city Vs Rock City. Nimefuatilia kwa makini nimeona pande zote hakuna anayekubali kushindwa.
Lakini kwa mtazamo wangu wa kawaida ukweli ndio huu
01. Population arusha city iko half of Mwanza rock city
02. Kujengwa kwa city Chuga iko 90% wakati rock city iko 50% wakati dar city 100% na a-city 75%
03. Kwa ujanja a-city 80%, dar city 99% na rock-city 40%.
03. Kwa mzunguko wa hela Dar-city 90%, A-city 70% na rock city 60%
04. kwa hali ya hewa A-city 100%, Dar-city 40% Na Rock City 50%
NOTE; i was born in a city but, i am living in monrovia
Unajua ni jiji gani la pili kwa kuchangia pato la Taifa ?
Ukijibu hilo swali nd'o utapata majibu wapi kuna fursa nyingi za kiuchumi na kijamii . Itakusaidia kutokuandika kwa mihemko . Kwa kukusaidia ni kwamba mji wa Arusha ni mji wa shughuli za kitalii zaidi kuliko mji mwingine wowote Tanzania labda wanachuana na visiwa vya Zanzibar . Hivyo uchumi wa Arusha chanzo chake kikubwa cha mapato ni utalii . Pia wana Tanzanite , mifugo na Kilimo kiasi . Arusha haina uwanja mpana sana wa shughuli nyingi za kiuchumi ukilinganisha na Mwanza .
Mwanza Uchumi wake unatokana na vyanzo vifuatavyo :
1 . Ziwa Victoria - Ajira ni nyingi mno zilizo rasmi na zisizo rasmi ukilinganisha na Utalii wa Arusha
2 . Madini ( hasa dhahabu ) - Ajira rasmi na zisizo rasmi ni nyingi ukilinganisha na zile zinazotokana na Tanzanite
3 . Kilimo asilia : Pamba , Mahindi na Mpunga . Arusha ina mashamba makubwa ya kisasa ya Kahawa na Maua ingawa hayaajili watu wengi ukilinganisha na Mwanza
4 . Ufugaji - kwa sehemu kubwa Arusha inaweza kuwa na mifugo mingi ingawa hiizidi sana Mwanza .
Kwa kifupi Mwanza ni sehemu ya uhakika kuwekeza kutokana na population kuwa kubwa kuliko Arusha na hivyo Mza ni soko kubwa.
Arusha wamepakana tu na Kenya upande wa Kajiado na Nairobi lakini Mwanza imepakana na Kenya kwa sehemu kubwa zaidi . Pia Mwanza imepakana na nchi za Rwanda , Burundi , Uganda na hata Congo .
Mza ni jiji lililo katikati ya nchi za Great Lakes na hivyo kuwa na mwingiliano mkuu unaowafanya watu wengi wa kawaida kuwa na kipato kizuri ukilinganisha na Arusha yenye pengo kubwa mno kati ya wenye nacho na wasiokuwa nacho.
Nawasilisha kwa leo.
 
Hapa Unashindaniwa Upumbavu Tu Mwanza Itabaki Kuwa Mwanza Na Arusha Itabaki Kuwa Arusha Halafu Mnaobishana Wengi Wenu Ni Wale Wapambe Wa Matajiri Kusifiasia Ujinga Tu
 
Kwa ujanja arusha hata dar haikanyagi... Halafu cha kushangaza arusha hata watoza ushuru wa parking wanaongea kiingereza kizuri,wahudumu wa bar ndio usiseme hata vile viingereza vyetu vya presentation chuo havikanyagi... Naona chuga kiingereza watu wanajua automatic hahhaaa
Hauna aibu kufananisha Arusha na Dar. Jiji lenye watu milioni 6 unalinganisha na mji wenye watu laki 3?
 
No ushamba na ujinga kulinganisha jiji lenye manispaa 2 na kimji hata hadhi ya manispaa hakina
 
Kheri yao kuliko wachaga na wameru wanaojiuza dsm. Wengine wapo arusha wanajiuza hovyo hovyo. Kwa moshi nenda malindi bar na ile club ya diamond utashangaa wanaojidai kuwa wajanja wanagongwa kwenye vichochoro
Mkuu bila shaka umeandika kwa hasira, hizi data sidhani kama una chanzo chake. Issue ya ukahaba na umalaya haina kabila, mbaya ukienda kufanya tafiti huko malindi bar na diamond utashangaa 60% ya Malaya watakuwa sio hao uliyowasema
 
Hauna aibu kufananisha Arusha na Dar. Jiji lenye watu milioni 6 unalinganisha na mji wenye watu laki 3?
Mkuu nawe wacha hii aibu, arusha idadi ya watu sio laki 3 vilevile na dar sio 6m. Tafuta data ili ukosoe wenzako kwa tija hahaaaa
 
Habari wana jamii form
kwa muda mrefu kumekuwa na battle kati ya A-city Vs Rock City. Nimefuatilia kwa makini nimeona pande zote hakuna anayekubali kushindwa.
Lakini kwa mtazamo wangu wa kawaida ukweli ndio huu
01. Population arusha city iko half of Mwanza rock city
02. Kujengwa kwa city Chuga iko 90% wakati rock city iko 50% wakati dar city 100% na a-city 75%
03. Kwa ujanja a-city 80%, dar city 99% na rock-city 40%.
03. Kwa mzunguko wa hela Dar-city 90%, A-city 70% na rock city 60%
04. kwa hali ya hewa A-city 100%, Dar-city 40% Na Rock City 50%
NOTE; i was born in a city but, i am living in monrovia
Mara zote mti wenye matunda hurushiwa mawe naona mwanza unawanyima usingizi hawa wezi na matapeli was kazikazi . Na mlivo jaa rock city had aibu kama A town kuko poa mwakimbia kwa nini.mbona sisi wasuks hatuji kweeenu tupo mwanza, kahama. Simiyu namashimyagaaaaaa
 
Back
Top Bottom