The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,186
Habari mbaya sana kwa watu wa Mwanza hii 👇Multibilion project.are in progress View attachment 2348160View attachment 2348161View attachment 2348162View attachment 2348163
Habari mbaya sana kwa watu wa Mwanza hii 👇Multibilion project.are in progress View attachment 2348160View attachment 2348161View attachment 2348162View attachment 2348163
WaMwanza ulifikia wap
Hivi hii vita kumbe mzee ulishaimalizaga zamani kabisa? 🤣 🤣 🤣 Naona washamba wa mwanza walinywea wote wakalaza 😀😀🤣🤣🤣 na hizo ni rasharasha tu.Eti wanataka kushindana na Arusha,hata aibu hawana..
On going construction of buildings with more than 10 floors in Arusha..👇
The upcoming tourist destinationHivi hii vita kumbe mzee ulishaimalizaga zamani kabisa? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Naona washamba wa mwanza walinywea wote wakalaza [emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na hizo ni rasharasha tu.
Endeleeni kujazana upumbavu na kujifariji.Hivi hii vita kumbe mzee ulishaimalizaga zamani kabisa? 🤣 🤣 🤣 Naona washamba wa mwanza walinywea wote wakalaza 😀😀🤣🤣🤣 na hizo ni rasharasha tu.
The upcoming tourist destination
😀😀😀Lofa weweUpcoming ya nyoko
Weka na wewe ushenzi tuuone.Upcoming ya nyoko
Arusha inakuwa na half population ya mwanza sabab watu wanaokaa usa, tengeru, makumira, ngaramtoni, kisongo.sakina, kwa mrombo, njiro, moshono hawahesabiwa kama wakazi wa mjini others city ikaongezewa haya maeneo population خzinalingana na Mwanza.ueaingiza ukanda sasa, mi nwanza napakubali kwa wingi wa watu ila kiuhalisia arusha + arumeru magharibi inazidi mwanza
Lake Victoria imekaa kama bwawa aise scenery is not attractive ndio maana watalii wataenda Manyara au eyasi na NatronPenda msipende eti stendi kubwa inaitwa nyegezi.
Yaani vitu vingi nimeshangaa hata ziwa nizuri ila ukilikaribia haijawekwa mkao wakuvutia mtu.
Angalia letu lake manyara or lake duluti inavutia kuliangalia.
Na Mwanza vipi wakiweka wakazi wa Kisesa, Nyashishi, usagara, fella,kigongo😁😁😁 acheni kujichetua ndio maana tunataka manispaa ya tatu.Arusha inakuwa na half population ya mwanza sabab watu wanaokaa usa, tengeru, makumira, ngaramtoni, kisongo.sakina, kwa mrombo, njiro, moshono hawahesabiwa kama wakazi wa mjini others city ikaongezewa haya maeneo population خzinalingana na Mwanza.
Hivi mkuu tuwe serio usagara na kisesa wanakolima maharage utapalinganisha na Njiro na Tengeru??Na Mwanza vipi wakiweka wakazi wa Kisesa, Nyashishi, usagara, fella,kigongo😁😁😁 acheni kujichetua ndio maana tunataka manispaa ya tatu.
Usagara unaweza kulinganisha na ushuzi au hapo Nyashishi kwa wazito wa mji, toka huko kwenye mashamba ya bangi, acha kujifungia ukiwa unapiga misokoto tembea ujionee miji, na Mwaka 2025 Kahama itaanza ku battle na jiji la Arusha.Hivi mkuu tuwe serio usagara na kisesa wanakolima maharage utapalinganisha na Njiro na Tengeru??
Kisongo
Hahaaahaha hapo usagara mnaishi kwenye mahandaki au??Usagara unaweza kulinganisha na ushuzi au hapo Nyashishi kwa wazito wa mji, toka huko kwenye mashamba ya bangi, acha kujifungia ukiwa unapiga misokoto tembea ujionee miji, na Mwaka 2025 Kahama itaanza ku battle na jiji la Arusha.
Unajua maana ya majengo, census ijayo mchaga hapati kitengo cha kuhesabu maghorofa tutampa kitengo cha kuhesabu vibanda umiza, sensa ya 2022 inaonesha mwanza inaongoza kwa majengo yanayojengwa na nje ya Dar hakuna sehemu yenye majengo mengi kama Mwanza, na inavyoonesha total ya majengo current na yanayojengwa Mwanza ndio inaongoza overallHahaaahaha hapo usagara mnaishi kwenye mahandaki au??
Maana hata Tanga na Moshi wamewazidi kwa mojengo
Ndoto. Kwa hiyo Arusha wao wamepumzika? Mnasahau Arusha pia ni diplomatic city.Unajua maana ya majengo, census ijayo mchaga hapati kitengo cha kuhesabu maghorofa tutampa kitengo cha kuhesabu vibanda umiza, sensa ya 2022 inaonesha mwanza inaongoza kwa majengo yanayojengwa na nje ya Dar hakuna sehemu yenye majengo mengi kama Mwanza, na inavyoonesha total ya majengo current na yanayojengwa Mwanza ndio inaongoza overall
Kigezo gani kilitumika kuwa diplomatic city mkiambiwa kupendelewa mnakataaNdoto. Kwa hiyo Arusha wao wamepumzika? Mnasahau Arusha pia ni diplomatic city.
Jiji la Mwanza sio la kulinganisha na vitu vya kiwendawazimu, hapa nakaziaMwanza ni kubwa, nzuri, na maisha nafuu kupita Arusha.
Nimeishi sana huko kote.
Watalii wa kizungu wanapenda Hali ya Ubaridi ya Arusha inayofanana na ya kwao.
Nimekumbuka supu ya Sato kila asubuhi kwa Bei nafuu sana.
Matunda ya kumwaga
Jiji la Mwanza sio la kulilinganisha na vitu vingine