Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,598
- 18,418
The Rock City.Jiji la Mwanza sio la kulinganisha na vitu vya kiwendawazimu, hapa nakazia
With Crater Lake.
Very Magnificent.
The Rock City.Jiji la Mwanza sio la kulinganisha na vitu vya kiwendawazimu, hapa nakazia
Mara ya mwisho kuzunguka Arusha ni lini? Yani napenda uelezee mwanza imeizidi Nini Arusha,sijawaifika mwanza,ila bado naiona Dodoma inaizid ArushaThe Rock City.
With Crater Lake.
Very Magnificent.
Hapo ulipo ninukuu soma hizo sentensi mbili za kwanza.Mara ya mwisho kuzunguka Arusha ni lini? Yani napenda uelezee mwanza imeizidi Nini Arusha,sijawaifika mwanza,ila bado naiona Dodoma inaizid Arusha
Mmebebwa sana na mwendazake lakini wapi. Capital of east Africa.Kigezo gani kilitumika kuwa diplomatic city mkiambiwa kupendelewa mnakataa
Nyerere aliwabeba sana mpka akasahu kwao pamoja na mkapa, diplomatic city ilitakiwa kuwa Mwanza hata makao makuu ya EAC, HQ yalipaswa kuwa Mwanza, Mwanza katikati ya nchi za EA na pia ina mandhari safina hali ya hewa ya kuvutia sema ukuda wa hii nchi.Mmebebwa sana na mwendazake lakini wapi. Capital of east Africa.
Hii nchi ngumu na kwanini wanaofia kujenga Mwanza international airport?Embu fikiria hili
1/ Jiji lina population ya zaidi ya watu milioni moja na pembeni yake kuna wilaya za magu na misungwi zenye watu laki nne na zaidi
2/ Vyuo vikuu vitatu na matawi ya vyuo vingine na college zaidi ya kumi
3/ Jiji lipo kama 100km kutoka serengeti na limezungukwa na Vivutio vingi tu vya utalii
4/Jiji lina zalisha tone za kutosha tu za minofu ya samaki kwenda bara Asia na Ulaya
5/Airport ya Mwanza ni kiunganishi cha rout za ndege mikoa ya kanda ziwa
6/ Jiji lenye Viwanda Vikubwa zaidi ya 20
7/Wafanyabiashara madini zahabu almasi n.k wakutosha wanaosafiri mara kwa mara kwenda nnje
8/Jiji lipo karibu na nchi za kongo, Rwanda, Burundi, Uganda ,Kenya na hata South Sudan
9/ Jiji lina expert wa madini wanafanya kazi South Africa, Mauritius n.k na familia zao zipo hapa
10/ Jiji lina wafanyabiashara wa kutosha waendao nchi za nnje kufata na kupeleka bidhaa mbalimbali
Chakusikitisha ni kwamba tumefikisha wakuu wa mikoa wanne sasa kila anaekuja ni story za kukifanya kiwanja cha ndege kuwa cha kimataifa na mwingine alidai mwezi huu wa pili ujenzi unaanza lakini wapi hivi tukisema ni hujuma tutakuwa tumekosea
Wakijenga tu hoteli zao zitakosa wateja wanajitahidi kusema Serengeti iko kaskazini wakati ukweli ipo kanda ya ziwa na Mkoa wa Mara haunuafiki sana na Serengeti kama watu wa ArushaHii nchi ngumu na kwanini wanaofia kujenga Mwanza international airport?
Mara na simiyu wanaambulia manyoya.Wakijenga tu hoteli zao zitakosa wateja wanajitahidi kusema Serengeti iko kaskazini wakati ukweli ipo kanda ya ziwa na Mkoa wa Mara haunuafiki sana na Serengeti kama watu wa Arusha
Mashenzini. Mwanza kuna nini bana we!? 😀 Arusha inatajwa Hollywood huko, Europa , Australia na kila Kona ya Dunia. Ingekuwa mbali sana kama sio siasa chafu za CCM. Maana kulikuwa na maendeleo makubwa sana kabla.Nyerere aliwabeba sana mpka akasahu kwao pamoja na mkapa, diplomatic city ilitakiwa kuwa Mwanza hata makao makuu ya EAC, HQ yalipaswa kuwa Mwanza, Mwanza katikati ya nchi za EA na pia ina mandhari safina hali ya hewa ya kuvutia sema ukuda wa hii nchi.
Siasa chafu wakati mnafaidi keki ya hii nchi, arusha inatajwa sana huko matejoo, ungalimited, mianzin, sanawari na ngaramtoni.Mashenzini. Mwanza kuna nini bana we!? 😀 Arusha inatajwa Hollywood huko, Europa , Australia na kila Kona ya Dunia. Ingekuwa mbali sana kama sio siasa chafu za CCM. Maana kulikuwa na maendeleo makubwa sana kabla.
Kipo mbona. We hamnazo. Kipo kiwanja cha ndege cha kimataifa, madaraja makubwa. Sema ndio hivo tena pako kushoto.Mwanza kikijengwa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa, Biashara za Mikoa mingi ya Kaskazini na Magharibi ya Tanganyika zita zorota sana.
Yeyote aliyeishi Mwanza na Arusha analijua hili.
Nyie kumbe machizi. Mwanza ina international airport sema ndio haina maana. Tena ya muda tu. Kile kibanda kimebadilishwa juzi juzi tu.Hii nchi ngumu na kwanini wanaofia kujenga Mwanza international airport?
International airport uliiweka wewe?Nyie kumbe machizi. Mwanza ina international airport sema ndio haina maana. Tena ya muda tu. Kile kibanda kimebadilishwa juzi juzi tu.
Mwehu!Penda msipende eti stendi kubwa inaitwa nyegezi.
Yaani vitu vingi nimeshangaa hata ziwa nizuri ila ukilikaribia haijawekwa mkao wakuvutia mtu.
Angalia letu lake manyara or lake duluti inavutia kuliangalia.
Ona majitu mashamba ya mwanza, hawajui ata uwanja wao ni international uchwara😀 siku ikitua KLM si mji utasmama Kwa washamba kushangaa.International airport uliiweka wewe?
Kidogo sana,Kipo mbona. We hamnazo. Kipo kiwanja cha ndege cha kimataifa, madaraja makubwa. Sema ndio hivo tena pako kushoto.