Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

Attachments

  • Screenshot_20220809-080858.png
    Screenshot_20220809-080858.png
    94.7 KB · Views: 22
Mkono mtupu haulambwi ...picha ndio Kila kitu
 
American are enjoying....jiji pekee Africa lenye scenic ya miamba ....hamna atakayekuja hapa asifurahie mandhari ya miamba [emoji91][emoji91]
Screenshot_20220812-225711.jpg
20220812_225745.jpg
20220812_225621.jpg
20220812_225748.jpg
20220812_225742.jpg
 
Mandhari kama hii huwezi ipata huko chuga ....
20220812_225903.jpg
20220812_225602.jpg
 
The green ..ukiwa hapa unaexperience natural beauty....mwanza [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
20220812_230040.jpg
20220812_230044.jpg
20220812_230359.jpg
 
Butimba grounds ...azam camp ...

Jibu Kwa kutupia mandhari ya jiji lako
Mwanza ni another level ...
[emoji16][emoji16][emoji16]
20220812_230102.jpg
20220812_230108.jpg
 
International business fair... maonesho ya kimataifa Africa mashariki..Kila mwaka September
[emoji91][emoji91][emoji91]
20220812_230245.jpg
 
Buhongwa outskirts...km 20 Toka katikati ya jiji ...ebu post wew km 20 Toka jijini kwenu tuone kukoje
20220812_230432.jpg
 
Arusha ikiwa na beach scenic view ndo nitaacha kubishana .... never ever [emoji91][emoji91][emoji91]
20220812_230501.jpg
 
Kuna miji ni kama imesahaulika sana kutokana na umwinyi uliopitiliza, imagine kama lindi, back in 2013 nikiwa kwenye mission fulani ktk mambo ya gesi pipeline pale ng' apa lindi, lodge nzuri kabisa just for 10- 15k! Ufukweni kabisa only 20 to 25 meters kutoka ufukweni.

Mji umekaa kikoloni,hata kupata nyama buchani ni shida na ni city center kabisa! Hongera kea majiji yetu pendwa rock C. Ara-bama sehemu kama lindi ni mkoa wa hovyo sana! Niliopata kufika
 
Kimbilio la wanasiasa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].kirumba vs furahisha
20220812_233253.jpg
20220812_233300.jpg
 
Back
Top Bottom