Ni maswali mazuri.
Sasa Mpwa sijakuelewa au labda kwasababu natumia simu; title unasema "UKWELI" halafu katikati ya thread yako unasema "UNADHANI" sasa sijui kipi ni kipi! Naomba ujaribu kuweka mambo sawa ili na wewe usilitet maswali mengi kuliko majibu, asante kwa kunielewa Mpwa, vipi wamekupa bei gani