Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,106
Israel imefanya mauaji ya kutisha huko Gaza kwa kulipua hospitali ya kanisa inayotoa msaada kwa wapalestina huko Gaza.
Mwanzoni aliyewahi kuwa msaidizi wa Netanyahu katika mambo ya Media akatweet kulipongeza jeshi la Israel kwa kupiga hiyo hospitali na kuua watu ambao yeye anasema ni maadui wa Israel.
Baada ya kuona backlash ya ulimwengu na kugundua kuwa hiyo incident inafanya kazi kinyume cha maslahi ya kipropaganda ya Israel, akafuta hiyo tweet, hata hivyo tayari watu walishaicapture na kuihifadhi. Tweet yenyewe ni hii hapa chini.
Ukiachilia mbali tukio hilo la mauaji ya Madakatari, manesi , na wagonjwa na raia waliokwenda kutafuta hifadhi katika hospitali hiyo, Huko Nyuma Israel imewahi kufanya mauaji katika hospitali, shule na makazi ya watu na siku zote mbinu yake imekuwa ni ileile ya kujitetea kwa ajili ya damage control.
1. Kwanza wanasema tuna ushahidi wa video kuwa roketi zilirushwa kutokea sehemu hiyo, wataleta picha za mgando kujaribu kuonyesha kuwa wana ushahidi
2. Au wakiona ushahdi umebuma watasema IDF ilionya watu waondoke maeneo hayo
3. Siku chache baadae, au miezi michace baadae hukiri na kusema well, ni sisi tuliendesha hiyo operesheni
Unaweza kuona katika video hii historia ya Israel kupiga hospitali na shule na kisha kukataa kuhusika mwanzoni, baadae ukweli ukidhihiri wanakuja na kusema ni kweli tulifanya mauaji hayo.
TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI:
View: https://www.youtube.com/watch?v=i9TwBqDe_I0&ab_channel=MiddleEastEye
Mwanzoni aliyewahi kuwa msaidizi wa Netanyahu katika mambo ya Media akatweet kulipongeza jeshi la Israel kwa kupiga hiyo hospitali na kuua watu ambao yeye anasema ni maadui wa Israel.
Baada ya kuona backlash ya ulimwengu na kugundua kuwa hiyo incident inafanya kazi kinyume cha maslahi ya kipropaganda ya Israel, akafuta hiyo tweet, hata hivyo tayari watu walishaicapture na kuihifadhi. Tweet yenyewe ni hii hapa chini.
Ukiachilia mbali tukio hilo la mauaji ya Madakatari, manesi , na wagonjwa na raia waliokwenda kutafuta hifadhi katika hospitali hiyo, Huko Nyuma Israel imewahi kufanya mauaji katika hospitali, shule na makazi ya watu na siku zote mbinu yake imekuwa ni ileile ya kujitetea kwa ajili ya damage control.
1. Kwanza wanasema tuna ushahidi wa video kuwa roketi zilirushwa kutokea sehemu hiyo, wataleta picha za mgando kujaribu kuonyesha kuwa wana ushahidi
2. Au wakiona ushahdi umebuma watasema IDF ilionya watu waondoke maeneo hayo
3. Siku chache baadae, au miezi michace baadae hukiri na kusema well, ni sisi tuliendesha hiyo operesheni
Unaweza kuona katika video hii historia ya Israel kupiga hospitali na shule na kisha kukataa kuhusika mwanzoni, baadae ukweli ukidhihiri wanakuja na kusema ni kweli tulifanya mauaji hayo.
TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI:
View: https://www.youtube.com/watch?v=i9TwBqDe_I0&ab_channel=MiddleEastEye