Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 14,176
- 25,919
Atakuwa anatumia unga wa Mkongo kabla ya kuingia kwenye tasnia yake!View attachment 3559816
Kwahiyo sasa hivi na hiyo miguvu unaenda masaa mangapi kabla hujachoka?
Atakuwa anatumia unga wa Mkongo kabla ya kuingia kwenye tasnia yake!View attachment 3559816
Kwahiyo sasa hivi na hiyo miguvu unaenda masaa mangapi kabla hujachoka?
Sawa madamSababu wasichana ndiyo huwa wanapenda zaidi kung'ang'ania mahusiano yasiyo na tija.
Ni nadra sana kwa mwanaume kusumbuliwa na mwanamke ambaye hamnufaishi kwa chochote na bado akaendelea kuwa naye.
pesa ndio rafiki wa kweli
Ni kweli 💯 je, mkeo yeye wa kwake utabaki vile vile?UKWELI MCHUNGU ni kuwa mwanaume kuoa ni kupunguza uhuru wako na ni kama adhabu fulani isiyo rasmi.
Unaweza kuruka majivu ukakanyaga moto. Unaweza kuachana na mtu kwasababu kakunasa kibao ukaenda kuolewa na atakaye kupiga risasi na kukuua papo hapo kama siyo kukuachia kilema cha maisha. I mean you don't necessarily know that your life outcomes are a result of your principles/non-negotiables. They could be due to some other omitted variables or purely due to luck. Your so called non-negotiables are not necessarily influencing your life outcomes right now. They won't necessarily influence your life outcomes in the future because there are so many other variables at play.Sipo sahihi to whom?
I already told you my non-negotiable. How could that possibly lead to worse life outcomes for me?
Umetisha Sana mkuu😅Kwamba kuna siku itabaki kuwa kama joka la kibisa naumia sana😭😭😂
ata usinipe pole dada nipongeze kwa kupitia hyo changamoto na kunikuzaDuuh pole sana kaka
🤣🤣🤣🤣Hebu mu-unblock basi akusalimie 🏃♀️😌
Very fewIla wapo ambao wanabahatika na wanafurahia maisha ya ndoa.
Sawa kaka, kuna mtu huko juu kwenye replies alisema maumivu ni sehemu ya ukuaji!ata usinipe pole dada nipongeze kwa kupitia hyo changamoto na kunikuza
TrueVery few
Endelea ....................
yes, yupo sahih apewe maua yake kwa kulitambua hilo.Sawa kaka, kuna mtu huko juu kwenye replies alisema maumivu ni sehemu ya ukuaji!
hii kitu humfanya mtesi wako akoswe aman na akoswe usingiz kabsaKukaa kimya ni jibu zito ambalo nilikuwa sitegemei uzito wake.
Imagine mtu anakuponda mbele Za watu then unamuangalia halafu unatabasamu uku ukimuangalia unaondoka zako,ilo jambo linamuumiza mtu mara mia.
hapo baada ya kuharibikiwa mtu husema "ningejua'Kwasabu haikulazimishi, inakusemesha kwa upolee.. ndiomaana wanasema listen to ur inner voice!
unavua nguo unabaki uchi halafu unainama huku ukitingisha matako ...yaani tayari umemlaaniNataka unipe huo utaalamu waliokua wanatutishia wazazi wetu kua watatulaani. Ili na me nikae nao kama dharula, siunajua tena watoto wa skuhizi unaweza ukamtishia "nakulaani", alaf anajibu "sawa nilaani kama unaweza", mzazi unabaki kushangaa mawingu tu 😂😂😂😂
Siachi, haya nielezee, inakupaje furaha?Pesa inanipa furaha mimi hautaki acha
Kumradhi nilikua nimelewa😁Siachi, haya nielezee, inakupaje furaha?