Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

Subutu!! Mimi sasa hivi nina miaka 26 katika tasnia hii ya nyeto, lakini Kila iitwapo Leo nguvu za kiume ndo zinazidi kuongezeka hadi natamani kuwa-hotspot wale wanaopungukiwa nazo.
hahahaha wew fala kweli, umenifanya nicheke peke angu daah.

Ila kwel mim mwenyew mhanga ila nikiwa na mwanamke karibu mda wote nataman niichape.

Na napga mpaka kuamka kuoga tu anaona uvivu kachoka.
 
wew acha tu dada angu, nilijua dunia ni sehem salama na sikujua wanawake walivo, niliamin nikiwa kwake nimjari, show nimpe pia ya ukweli na mwaminifu nae atatulia nami, kumbe ilikuwa kaz bure.
Mim nikatulia yey ndo akachepuka tena duuU
Duuh pole sana kaka 💔💔
 
Kukaa kimya ni jibu zito ambalo nilikuwa sitegemei uzito wake.

Imagine mtu anakuponda mbele Za watu then unamuangalia halafu unatabasamu uku ukimuangalia unaondoka zako,ilo jambo linamuumiza mtu mara mia.
Jibu kubwa sana.

Hata humu mitandaoni, unakuta mtu from nowhere anakuja anaanza kukutukana, ukimnyima ile attention anaitafuta kwa kumnyamazia, wakati mwingine anafuta reply yake mwenyewe 😂 😂
 
Unafikiri ni wazo zuri kuolewa au kuoa, huku ukijiaminisha kwenye potential ya mtu kubadilika?

Hapa tutakubaliana kutokubaliana.

Mfano, mimi non-negotiable yangu ni abuse, mtu akinipiga au kunifanyia violence basi uhusiano wetu umeishia hapo, haijalishi tuko kwenye stage gani.

Kweli unataka kuniaminisha kwamba kuna uwalakini mtu akiwa na mambo ambayo ni deal breakrs au non-negotiables, na inabidi uwe na utayari wa kucompromise kwenye kila kitu 🤔
Physical abuse is an extreme example. Tuitoe kwenye mjadala. Japo hata physical abuse haimaanishi lazima uachane. It depends. Mke wangu akinirushia glass ya wine kwasababu kalewa simuachi. Nitamshauri tu aache pombe. Ila naweza kumuacha akigoma kutibiwa uraibu wa pombe. You see? Relationships are complex, acheni kukariri. Mzee wangu alishawahi kuniambia nikiwa mdogo "usijiwekee viapo kwenye maisha". My experience shows that he was mostly right. The bottom line is changamoto nyingi za kijamii hazina jibu moja. Unaweza kuwa na misimamo, ila pia uwe tayari kuibadilisha ikibidi.
 
Physical abuse is an extreme example. Tuitoe kwenye mjadala.
Sasa tunaitoaje na mimi ndiyo non negotiable yangu?
Japo hata physical abuse haimaanishi lazima uachane. It depends. Mke wangu akinirushia glass ya wine kwasababu kalewa simuachi. Nitamshauri tu aache pombe. Ila naweza kumuacha akigoma kutibiwa uraibu wa pombe. You see?
Kulewa + violence 😮‍💨 😳 na bado kuna kushauriana juu yake 😳
Nashindwa kuimagine na nakosa maneno ya kuandika japo najua scenario ni hypothetical.
Relationships are complex, acheni kukariri. Mzee wangu alishawahi kuniambia nikiwa mdogo "usijiwekee viapo kwenye maisha". My experience shows that he was mostly right. The bottom line is changamoto nyingi za kijamii hazina jibu moja. Unaweza kuwa na misimamo, ila pia uwe tayari kuibadilisha ikibidi.
Naamini pia kwenye kutoweka viapo, mambo yanabadilika na ili mahusiano yaende ni lazima kucompromise na kubebeana mapungufu, ila kuna misimamo ambayo haiwezi kuondoka.

Wakati niko msichana nilisema sitaolewa na mtu anayekunywa pombe au anayevuta sigara. Kama ba mjengo asingepatikana, basi nilikua tayari kuishi single milele na si kuwa na mtu ambaye anaweza kurudi nyumbani kwetu, kwa watoto wetu akiwa amelewa.

Kuna vitu I can't compromise 🙌🏽
 
Ni tabia chafu sana na masikitiko, both kwake huyo dada na kwako.
Eneweiii, so baada ya kumkula, ukamchangia na send off yake au ilikuwaje?
Nilimpa ahadi nilipledge. Ni kwamba wanawake nao wana hamu kama sisi wanaume. Na wakiwa ovulation ni vigumu kukataa ngono kama sisi wanaume tulivyo. Wote sisi tunapenda kutombana. Hii wanaume wengi bado hawajaikubali.
 
Sasa tunaitoaje na mimi ndiyo non negotiable yangu?

Kulewa + violence 😮‍💨 😳 na bado kuna kushauriana juu yake 😳
Nashindwa kuimagine na nakosa maneno ya kuandika japo najua scenario ni hypothetical.

Naamini pia kwenye kutoweka viapo, mambo yanabadilika na ili mahusiano yaende ni lazima kucompromise na kubebeana mapungufu, ila kuna misimamo ambayo haiwezi kuondoka.

Wakati nipo msichana nilisema sitaolewa na mtu anayekunywa pombe au anayevuta sigara. Kama ba mjengo asingepatikana, basi nilikua tayari kuishi single milele na si kuwa na mtu ambaye anaweza kurudi nyumbani kwetu, kwa watoto wetu akiwa amelewa.

Kuna vitu I can't compromise 🙌🏽
Sina tatizo na mtu kuwa na misimamo. Nakumbusha tu kwamba kuwa na misimamo haimaanishi upo sahihi. Your non-negotiables may as well just be misguided, and may lead to worse life outcomes for you.
 
Sina tatizo na mtu kuwa na misimamo.
Nakumbusha tu kwamba kuwa na misimamo haimaanishi upo sahihi.
Sipo sahihi to whom?
Your non-negotiables may as well just be misguided, and may lead to worse life outcomes for you.
I already told you my non-negotiable. How could that possibly lead to worse life outcomes for me?
 
Back
Top Bottom