UKUTA wakosa waandamanaji

UKUTA wakosa waandamanaji

anawalinda wanyonge kivipi? wakati maisha kila siku yanazi kupanda bei na kilo moja ya sukari inauzwa hadi sh. 5000
wapi sukari inauzwa elfu 5? Siasa za uwongo mwisho 2015. Maisha yanakuwa magumu kama hufanyi kazi unawaza tu kuandamana.
 
wapi sukari inauzwa elfu 5? Siasa za uwongo mwisho 2015. Maisha yanakuwa magumu kama hufanyi kazi unawaza tu kuandamana.
ww usije ukadhani kwasababu wewe upo mjini ukadhani kila kitu ni rahisi.
hii nchi kuna sehemu watu wanahaingaika sana. na unaweza ukajua labda sio tanzania.
na kuhusu swala la kufanya kazi na unavyo ona maendeleo yote tanzania yameletwa na watanzania kwa kufanya kazi. na serikali hamna kitu ilicho tusaidia zaidi zaidi imetuongezea tu madeni kila mtanzania saizi anadaiwa sh. mil 1 na kila siku deni linazidi kupanda na haelewi hiyo hela alikopa vipi. na atalilipa vipi.
 
Simple sana.Unavyodhani Rais huenda anafata kifungu gani katika katiba ya warioba ambayo bado haijapitishwa?
 
ww usije ukadhani kwasababu wewe upo mjini ukadhani kila kitu ni rahisi.
hii nchi kuna sehemu watu wanahaingaika sana. na unaweza ukajua labda sio tanzania.
na kuhusu swala la kufanya kazi na unavyo ona maendeleo yote tanzania yameletwa na watanzania kwa kufanya kazi. na serikali hamna kitu ilicho tusaidia zaidi zaidi imetuongezea tu madeni kila mtanzania saizi anadaiwa sh. mil 1 na kila siku deni linazidi kupanda na haelewi hiyo hela alikopa vipi. na atalilipa vipi.
nimekuuliza wapi? Hujajibu umekuja tena na wimbo wa milion 1. Agiza kiroba kingine nitalipa.
 
nimekuuliza wapi? Hujajibu umekuja tena na wimbo wa milion 1. Agiza kiroba kingine nitalipa.
unajua kwasababu wewe unakunywa viroba unajua kila mtu anakunywa.
huto tu ukuu wa wilaya walito walushia ndio mpo kutusumbua. lakini ubaki utambue swala la kutumbuliwa liko pale hata ujisahalishe kwa kunywa kiroba.
 
Naum Wana JF

Kwanza ninapongeza hatua za Rais JPM(PhD) za kuleta mabadiliko ya kweli kiuchumi,kijamii na kiutendaji serikalini ambayo kwa kiwango kikubwa wananch wanafurahia na kushiriki keki ya taifa. Tunakusihi kamwe usigeuke jiwe!...Tunashuhudia jinsi ujenzi wa miundombinu kadhaa ikiendelea kubadili taswira ya nchi yetu na zaidi umedhihirisha wewe ni raisi wa watu wote. Umekuwa nembo ya umoja,amani,uhuru na demokrasia ambapo tumeshuhudia baadhi ya wanasiasa wakikukebehi pasipo na kudhurika kama ilivyo kwa nchi za kifashisti. Tumeshuhudia jinsi Mahakama na Bunge vikifanya kazi zake kwa uhuru na weledi...na zaidi uanzishwaji wa Mahakama ya mafisadi na uamuzi wa utekelezwaji wa serikali kuhamia Dodoma.

Kwa upande mwingine wa shilingi...wajenzi wa ukuta wamegeuka kama walivyokuwa wajenzi wa mnara wa babeli....hawaelewani,wamesambaratika na kutapatapa!

-Kinara wa ukuta katokomea,hajulikani alipo kwa sasa...amekasimu madaraka kwa kiaongozi mdogo ambaye kimsingo siye msemaji wa ukuta. Hadi sasa hatuna uhakika kama yupo nchini au ughaibuni japo kuna habari kuwa yupo ng'ambo!

-Tunashangaa sasa waliotaka kushiriki ukuta wanamtumia Kingunge kutenegezeza mazingira ya mazungumzo. Badala ya Kingunge kuwaambia waache upuuzi wa ukuta yeye anakimbilia kulia lia kwa Maraisi wastaafu wamshauri Raisi azungumze na watu ambao wameapa wataandamana kumkomesha Raisi sababu ni 'dikteta'

- Zaidi tumeshangazwa na wabunge wa ukuta wamejaa Dododoma na wamethibitika kula posho kuanzia tar.22 Ogasti...na taarifa za kuaminika ni kuwa hawakosi kamati, wanahudhuria bila kukosa ili kupata fedha kuziba mashimo yaliyotokana na kumkimbia Naibu spika...!

-Imethbitika pasipo shaka ukuta hauna Baraka za wananchi...! hili halihitaji ubishi zaidi wananchi wanafikiri ukuta ni chama kipya cha siasa!

-Kibaya zaidi wasadikika wa ukuta hawajui linaloendelea
 
Naum Wana JF

Kwanza ninapongeza hatua za Rais JPM(PhD) za kuleta mabadiliko ya kweli kiuchumi,kijamii na kiutendaji serikalini ambayo kwa kiwango kikubwa wananch wanafurahia na kushiriki keki ya taifa. Tunakusihi kamwe usigeuke jiwe!...Tunashuhudia jinsi ujenzi wa miundombinu kadhaa ikiendelea kubadili taswira ya nchi yetu na zaidi umedhihirisha wewe ni raisi wa watu wote. Umekuwa nembo ya umoja,amani,uhuru na demokrasia ambapo tumeshuhudia baadhi ya wanasiasa wakikukebehi pasipo na kudhurika kama ilivyo kwa nchi za kifashisti. Tumeshuhudia jinsi Mahakama na Bunge vikifanya kazi zake kwa uhuru na weledi...na zaidi uanzishwaji wa Mahakama ya mafisadi na uamuzi wa utekelezwaji wa serikali kuhamia Dodoma.

Kwa upande mwingine wa shilingi...wajenzi wa ukuta wamegeuka kama walivyokuwa wajenzi wa mnara wa babeli....hawaelewani,wamesambaratika na kutapatapa!

-Kinara wa ukuta katokomea,hajulikani alipo kwa sasa...amekasimu madaraka kwa kiaongozi mdogo ambaye kimsingo siye msemaji wa ukuta. Hadi sasa hatuna uhakika kama yupo nchini au ughaibuni japo kuna habari kuwa yupo ng'ambo!

-Tunashangaa sasa waliotaka kushiriki ukuta wanamtumia Kingunge kutenegezeza mazingira ya mazungumzo. Badala ya Kingunge kuwaambia waache upuuzi wa ukuta yeye anakimbilia kulia lia kwa Maraisi wastaafu wamshauri Raisi azungumze na watu ambao wameapa wataandamana kumkomesha Raisi sababu ni 'dikteta'

- Zaidi tumeshangazwa na wabunge wa ukuta wamejaa Dododoma na wamethibitika kula posho kuanzia tar.22 Ogasti...na taarifa za kuaminika ni kuwa hawakosi kamati, wanahudhuria bila kukosa ili kupata fedha kuziba mashimo yaliyotokana na kumkimbia Naibu spika...!

-Imethbitika pasipo shaka ukuta hauna Baraka za wananchi...! hili halihitaji ubishi zaidi wananchi wanafikiri ukuta ni chama kipya cha siasa!

-Kibaya zaidi wasadikika wa ukuta hawajui linaloendelea
unapoteza nguvu na muda wako kwa kujitekenya na kucheka mwenyewe.
 
unapoteza nguvu na muda wako kwa kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Sasa kijana Lowassa,Mbowe na Kingunge wanaanzisha maandamano halafu wanamtuma Kingunge kushawishi mazungumzo...kwanini Kungunge asiwaambie chadema waachane na ukuta?...funguka dogo!
 
Naum Wana JF

Kwanza ninapongeza hatua za Rais JPM(PhD) za kuleta mabadiliko ya kweli kiuchumi,kijamii na kiutendaji serikalini ambayo kwa kiwango kikubwa wananch wanafurahia na kushiriki keki ya taifa. Tunakusihi kamwe usigeuke jiwe!...Tunashuhudia jinsi ujenzi wa miundombinu kadhaa ikiendelea kubadili taswira ya nchi yetu na zaidi umedhihirisha wewe ni raisi wa watu wote. Umekuwa nembo ya umoja,amani,uhuru na demokrasia ambapo tumeshuhudia baadhi ya wanasiasa wakikukebehi pasipo na kudhurika kama ilivyo kwa nchi za kifashisti. Tumeshuhudia jinsi Mahakama na Bunge vikifanya kazi zake kwa uhuru na weledi...na zaidi uanzishwaji wa Mahakama ya mafisadi na uamuzi wa utekelezwaji wa serikali kuhamia Dodoma.

Kwa upande mwingine wa shilingi...wajenzi wa ukuta wamegeuka kama walivyokuwa wajenzi wa mnara wa babeli....hawaelewani,wamesambaratika na kutapatapa!

-Kinara wa ukuta katokomea,hajulikani alipo kwa sasa...amekasimu madaraka kwa kiaongozi mdogo ambaye kimsingo siye msemaji wa ukuta. Hadi sasa hatuna uhakika kama yupo nchini au ughaibuni japo kuna habari kuwa yupo ng'ambo!

-Tunashangaa sasa waliotaka kushiriki ukuta wanamtumia Kingunge kutenegezeza mazingira ya mazungumzo. Badala ya Kingunge kuwaambia waache upuuzi wa ukuta yeye anakimbilia kulia lia kwa Maraisi wastaafu wamshauri Raisi azungumze na watu ambao wameapa wataandamana kumkomesha Raisi sababu ni 'dikteta'

- Zaidi tumeshangazwa na wabunge wa ukuta wamejaa Dododoma na wamethibitika kula posho kuanzia tar.22 Ogasti...na taarifa za kuaminika ni kuwa hawakosi kamati, wanahudhuria bila kukosa ili kupata fedha kuziba mashimo yaliyotokana na kumkimbia Naibu spika...!

-Imethbitika pasipo shaka ukuta hauna Baraka za wananchi...! hili halihitaji ubishi zaidi wananchi wanafikiri ukuta ni chama kipya cha siasa!

-Kibaya zaidi wasadikika wa ukuta hawajui linaloendelea
UBARIKIWE SANA
 
Sasa kijana Lowassa,Mbowe na Kingunge wanaanzisha maandamano halafu wanamtuma Kingunge kushawishi mazungumzo...kwanini Kungunge asiwaambie chadema waachane na ukuta?...funguka dogo!

Inawezekana unachokisema sio sawa au ni sawa kwa wakati huu kwa sababu Rais analo Jeshi na kimfumo linamtii kwa amri yeyote ile iwe mbaya au nzuri ila ,kama sote kama Wananchi wa Tanzania (pamoja na Rais) tungeifuata Katiba haya yote yasingetokea ...

Haya yote yanatokea kwa sababu alie juu ameamua kuiweka Katiba pembeni kwa sababu zisizo kidhi haja ..

Kwa mnavyo msifu na anavyo penda kusifiw ipo siku atatamani zaidi ya haya...
 
You can't be serious!!!! "Demokrasia halisi..." Ipiganiwe na chadema!!!!

Si chadema hii inayokataza mwanachama wake kwenda mahakamani endapo anaona hajatendewa haki na chama chake!!! Si chadema nyinyi msiokuwa na ukomo wa mihula kwenye nafasi ya mwenyekiti!?? Si chadema nyinyi mnaopitisha wagombea urais wa mfukoni badala ya kufuata katiba yenu kumpitisha mgombea kihalali!!?!

Demokrasia gani mna exercise nyinyi wanafiki na waleta fujo!!??

Anyway, tunasubiri kuona nyumbu kadhaa watakaojitokeza kutumika kama toilet paper siku ya tarehe 1 wavunjwe miguu then watelekezwe na chama!!
Wewe unataka kuhalalisha ubovu kwa sababu tu mpinzani wako ana mapungufu ?! What a shame ?!
 
Wewe labda utakua jamaa yake..watu wamepoteza kai kibao hio keki gani ya mihogo
 
Wewe unataka kuhalalisha ubovu kwa sababu tu mpinzani wako ana mapungufu ?! What a shame ?!
Sihalalishi, ila nataka muanze na "boriti* lililomachoni mwenu kuliko kukomaa na *kibanzi* kwenye jicho la jirani! Muonyeshe mfano kuwa mnayoyapigania mnayaishi, msiishi kunafiki
 
Sasa haya mazoezi ya kivita mnafanya ya nini kama hakuna waandamaji
Ni kuwatisha wale vichwa ngumu watakaokunywa gongo na kuvuta bangi ili wapate ujasiri siku hiyo.

Hata mimi nakubali mwitikio utakuwa ZERO
 
Wanaccm, salaam!
Hongera sana Mhe Mwigulu Nchemba - waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa kuonesha demo ya kikosi cha Police nchi nzima. Kusema kweli umefanikiwa kuzima mipango na mikakati ya maandamano na mikutano ya UKUTA.

Mie nimefanya minor survey katika vikundi vya vijana ambapo ni ngome za UKAWA kwa kila palipo na vijana 10 saba mpaka 8 wanasema hawataandamana siku hiyo kwa kuogopa nguvu na mkono wa jeshi la police. Huu ni utafiti toka kanda ya ziwa sijui mahali kwingine. Hata hivyo inatakiwa tarehe 30/8 ipigwe demo nyingine kali zaidi na kikosi cha intelligence kiimalishwe kubaini iwapo UKUTA ikikwama nini mipango ya ndani kabisa ya viongozi wa waandamanaji.

Mwigulu, umeonesha umahili ktk ulinzi wa raia na mali zao.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
mwambie atupe na majibu ya raia 50 kule bukoba, manake wako kimya, mnajiandaa kutwanga watu ambao hawana hata njiti ya kiberiti, jipe moyo
 
Leo tarehe 29/8 - narudia tena ili vijana waandamane lazima kuwepo na sababu za msingi; kumbukeni wananchi hatusahau kwamba agenda yenu ya muda mrefu ilikuwa UFISADI sasa mmepata RAIS mzalendo mmegeuza shingo zenu! Hii aibu mtaificha wapi jamani
 
mwambie atupe na majibu ya raia 50 kule bukoba, manake wako kimya, mnajiandaa kutwanga watu ambao hawana hata njiti ya kiberiti, jipe moyo
Hujaeleweka kiongozi, ni matukio yanayoshughulikiwa na mamlaka alizoziteua
 
Nilichoandika kimetimia - nchi hii sasa kila mmoja ajuwe si ya mchezo mchezo!
Tutaruhusu vijana waandamane kuomba mashamba ya kulima na si kujifunza lugha za kashifa toka kwa viongozi wasio waadilifu
 
Kama hawana kazi mbona hamwaajiri badala yake hata red briged mnawachukuwa Nigeria?
 
Back
Top Bottom