GBBali
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 1,931
- 537
Thibitisha hilo.Kama hawana kazi mbona hamwaajiri badala yake hata red briged mnawachukuwa Nigeria?
Thibitisha hilo.Kama hawana kazi mbona hamwaajiri badala yake hata red briged mnawachukuwa Nigeria?
Gear zinabadilishiwa angani - UKAWA jifunzeni kwa USA ambapo wagombea wakishindwa hukubali matokeo na kupigiana simu.
Well saidChezea amani, tukutenge - msingi uliojengwa na Mwl Nyerere lazima tuulinde na kuuenzi
UBARIKIWEMnaskindwa kutumia fursa zilizopo nchini mnapanga maandamano, huu ni upuuzi uliopindukia. Viongozi wa CDM wafundisheni vijana kujijenga kiuchumi si kuwaza maandamano.
NenoGear zinabadilishiwa angani - UKAWA jifunzeni kwa USA ambapo wagombea wakishindwa hukubali matokeo na kupigiana simu.