Mgodi mkubwa haufanyi kazi block A njaa BLock B vigonga hapo kwa wpndw Block c The giant one imefugwa Block D njaa tu Karoo kwa gchm vigonga kwa mbali hiyo ndio hali halisiCan you prove it wrong, please do it if you have the data.
Mgodi mkubwa haufanyi kazi block A njaa BLock B vigonga hapo kwa wpndw Block c The giant one imefugwa Block D njaa tu Karoo kwa gchm vigonga kwa mbali hiyo ndio hali halisiCan you prove it wrong, please do it if you have the data.
Unasema tu inawezekana muheshimiwa akitoka kwenye korosho akatumulika na sisiNikicoment mtasema mimi ni mchochezi
hicho alipaswa kufanya OP; yeye ndiye kaleta habari.Wewe kama unao ushahidi, basi upakue
Sasa hizo bilioni 2 zinatokana na nini? Au kuna Fun City imefunguliwa mule ndani na hayo ni makusanyo ya viingilio getini?Mgodi mkubwa haufanyi kazi block A njaa BLock B vigonga hapo kwa wpndw Block c The giant one imefugwa Block D njaa tu Karoo kwa gchm vigonga kwa mbali hiyo ndio hali halisi
Jifanye umejikunawewe sema hata trillion 300, it is Ok! nani anabisha!
Funika kombe......apiteSasa hizo bilioni 2 zinatokana na nini? Au kuna Fun City imefunguliwa mule ndani na hayo ni makusanyo ya viingilio getini?
Sanaa hiyoMapato ya serikali katika migodi ya Tanzania Mirerani mkoani Manyara yamepanda kutoka sh.milioni 402 miezi 10 iliyopita hadi kufikia sh.bilion 2.1 baada ya kujengwa ukuta kuzunguka eneo hilo kwa ajiri ya kudhibiti utoroshaji wa madini hayo.
njoo bhana tuunge mkono jitihadaNtarudi
Sky ni makanjanja walikuja kuvizia wachimbaji wadogo wakitoa wawapigie pasati na kupiga nguzo alizo acha mzunguSanaa hiyo
Kwa Taarifa na kuweka kumbukumbu sawa
Mgod mkubwa wa TANZANITE uliopo kitalu C ambao unamilikiwa kwa ubia 50:50 kati ya SERIKALI na Sky Associate umetimiza MWAKA MMOJA haufanyi kazi.
Hii inatokana na wabia (sky associate) kusita kutoa pesa za kuendesha Mgodi baada ya mazungumzo ya umiliki mpya na Serikali kutokamilika had leo.
Pia, karibia mwaka sasa mnada wa Tanzanite umepigwa stop na JIWE.
Yapaswa tuwe wakweli kwa manufaa ya Nchi yetu
Tuache kujifariji kwa data za kupika
Ni kweli Bizoo1Sky ni makanjanja walikuja kuvizia wachimbaji wadogo wakitoa wawapigie pasati na kupiga nguzo alizo acha mzungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hata mimi nilijua hivyohivyo Kama Kichwa kilivyoMi nikajua ukuta ndo unakusanya!
Wacha mkuu walipumbumbaze taahira lao!Sanaa hiyo
Kwa Taarifa na kuweka kumbukumbu sawa
Mgod mkubwa wa TANZANITE uliopo kitalu C ambao unamilikiwa kwa ubia 50:50 kati ya SERIKALI na Sky Associate umetimiza MWAKA MMOJA haufanyi kazi.
Hii inatokana na wabia (sky associate) kusita kutoa pesa za kuendesha Mgodi baada ya mazungumzo ya umiliki mpya na Serikali kutokamilika had leo.
Pia, karibia mwaka sasa mnada wa Tanzanite umepigwa stop na JIWE.
Yapaswa tuwe wakweli kwa manufaa ya Nchi yetu
Tuache kujifariji kwa data za kupika
Wacha mkuu walipumbumbaze taahira lao!Sanaa hiyo
Kwa Taarifa na kuweka kumbukumbu sawa
Mgod mkubwa wa TANZANITE uliopo kitalu C ambao unamilikiwa kwa ubia 50:50 kati ya SERIKALI na Sky Associate umetimiza MWAKA MMOJA haufanyi kazi.
Hii inatokana na wabia (sky associate) kusita kutoa pesa za kuendesha Mgodi baada ya mazungumzo ya umiliki mpya na Serikali kutokamilika had leo.
Pia, karibia mwaka sasa mnada wa Tanzanite umepigwa stop na JIWE.
Yapaswa tuwe wakweli kwa manufaa ya Nchi yetu
Tuache kujifariji kwa data za kupika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hata mimi nilijua hivyohivyo Kama Kichwa kilivyo
Mimi leo nije niseme nimeota Taifa stars wameshinda, halafu nakwambia prove kama nadanganya!Can you prove it wrong, please do it if you have the data.
Na mimi nilifikiri wamefungua duka la kuuza tanzanite na hayo ni makusanyoSasa hizo bilioni 2 zinatokana na nini? Au kuna Fun City imefunguliwa mule ndani na hayo ni makusanyo ya viingilio getini?