Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,727
- 7,650
Mkuu waache tu wajifariji kwa kutoa figure za uongo ili kuwapumbaza walio mbali na maeneo hayo.Mimi nipo ndani ukuta huo cjaona kitu cha kukusanya mapato hayo acheni propaganda,
Wachimbaji wadogo na hata wale wakubwa wamesitisha uchimbaji kwa muda tu sasa wako mitaani. Mirerani sio Ulaya hivyo huhitaji visa kufika pale. Mnaweza kwenda kujionea wenyewe kisha mrejeshe huo ushabiki usio na tija.