Wayaring
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 304
- 248
Makini anafia Ikulu? Ondoa uboya wako.Dogo acha bangi upuuzi mtupu.hata hivyo tumepoteza mtu makini jpm. Hakuna kama jpm.
Hata wewe utakufa tu.
Makini anafia Ikulu? Ondoa uboya wako.Dogo acha bangi upuuzi mtupu.hata hivyo tumepoteza mtu makini jpm. Hakuna kama jpm.
Hata wewe utakufa tu.
Boya ni wewe. Kifo hakichagui utafia wapi, bora yeye kafia ikulu vipi wewe ukifia barabarani ukadonolewa na nzi?Makini anafia Ikulu? Ondoa uboya wako.
Watatu kiaje sasa?Case closed!
Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Raisi Magufuli yupo hai,tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wa pili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu.
Ana maanisha mmoja alitwaliwa kwa muundo wa kupalizwa uwinguni. Halafu mwandiko wake una kila kiashiria cha kutaka kupigana 😂😂😂😂Rais wa tatu kuzikwa
Kwa orodha yako ya marais waliokwisha fariki ukianza na Karume, basi umewasahau akina Idris Abdul Wakil na Aboud Jumbe, ingawa Mkapa ambaye ni wa juzi tu kutangulia hukumweka kwenye hiyo list.Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...
Duh...!.Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu.
Kumbe hao wote walikufa ghafla?Duh umenikumbusha na Luteni Mkapa ,hawa wanaokufa kwa gafla wanaroo ngumu kuingia kwenye kundi la maiti. Ni wanne karume,Nyerere.Mkapa na Mheshimiwa Magufuli.
Jibu swali. Makamo wa Rais anaingia kwenye orodha ya marais?Makamo wa rais ni raia mzee.
Akifa anapewa heshima zote za rais kimaziko na jeshi la nchi yetu.
Karume yupi au Mkapa?Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu...
Dr. Ali Juma alikuwa makamu wa Rais 1995-2001 akafariki 4 July 2001 nafasi yake ilichukuliwa na Dr Sheni, weka kumbukumbu vizuri.mbona unasisitiza nawewe umewaamini hao watu,ambao hata hawajulikani ni akina nani na ni wapi waliyasema hayo!...
Wala sijaandika bahati mbaya mkuu,msiba wa makamu ni msiba wa rais hata jeshini ni hivyo.Dr. Ali Juma alikuwa makamu wa Rais 1995-2001 akafariki 4 July 2001 nafasi yake ilichukuliwa na Dr Sheni, weka kumbukumbu vizuri.
Kajambe basi, kama unadhani makamu wa rais ni mbunge viti maalumu.Jibu swali. Makamo wa Rais anaingia kwenye orodha ya marais?
Historia hiyo ya makamu kupewa rank sawa na Rais ndio naisikia kwako... any way baki na unavyo amini mkuu.Wala sijaandika bahati mbaya mkuu,msiba wa makamu ni msiba wa rais hata jeshini ni hivyo.
Mkuu shida gani? Kwanini unahangaika na kivuli cha waliolala?Kuna watu wasiojielewa wamejitokeza na kutaka ionekane Mheshimiwa Marehemu Rais Magufuli yupo hai, tuseme tu Mheshimiwa Magufuli amefariki na kuzikwa Rasmi, kwao Chato ni rais wa tatu kuzikwa wakwanza akiwa Karume, wapili Nyerere na Magufuli anaifanya idadi iwe ya watatu.
Tusiwe wajinga kama watu tulikosa muelekea japo chini ya CCM ndivyo wanavyotaka tuone hivyo,imekuwa mtu akifanya hivi au vile anaogopa au anavunja ,anapinga maneno maneno mengi ya kuvunjana moyo na mtu aonekane anenda kinyume na Magufuli.
Kama mtu akifanya kazi kwa kumuogopa Magufuli, Rais Magufuli ameishafariki na hatorudi tena na kama mtu akifanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi basi sheria zipo na zinafanya kazi yake kwa mujibu wa mazingira ya kutumiwa sheria hizo.
Ndio mara nyingi tunasikia kazi iendelee, kama ulikuwa unamtegemea Magufuli kwa mabaya au mazuri yako, unatakiwa ujue kuwa Magu ameishafariki kitambo. Ulikuwa mwizi ulikuwa kiongzi bora, waliopo hawatafanana na yeye na kuendelea kukulinda kama ilikuwa hivyo na inaoenakana wengi wameanza kupata tabu baada ya kufariki Magufuli, kama walitegemea kuwakingia kifua au kuwavunja kifua sasa hofu zimetawala na faraja imekuwepo.
Tusiwe kama tuliogandishwa kila kitu Magu,siku mtu anapokufa kama hamuelewi ndio na yeye mambo yake yote husimama isipokuwa yatakayompa faida ni yale mema na hayo hayahusiani na sisi tuliokuwepo hai.
Hao wote hawakuwa waheshimiwa na magufuli tuu ndio alikuwa mheshimiwa?Duh umenikumbusha na Luteni Mkapa ,hawa wanaokufa kwa gafla wanaroo ngumu kuingia kwenye kundi la maiti. Ni wanne karume,Nyerere.Mkapa na Mheshimiwa Magufuli.
Usiamini, chukua sasa hivi hiyo.Historia hiyo ya makamu kupewa rank sawa na Rais ndio naisikia kwako... any way baki na unavyo amini mkuu.