Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Hamia Airtel (kwangu)...
mmmmmmmh airtel tena.......
ngoja niendelee kukomaa na huu huu mtandao wangu!!!!!!
Hamia Airtel (kwangu)...
Mtandao wako si huo unaowa? Au unarudi ubachela.... Acha hizo, ila nijuwavyo wote wanaanzaga kukataa, lakini baada ya muda, kitu na boksimmmmmmmh airtel tena.......
ngoja niendelee kukomaa na huu huu mtandao wangu!!!!!!
WanaJF wenzangu!
Plz nahitaji ukumbi wa bei ya wastani kwa ajili ya kufanyia ka-shuguli ketu ka harusi mwezi wa septemba this year!
Naombeni mnijulishe wapi naweza pata!
Hata "open space" pia nazipendelea zaidi kulingana na bei!
Plz help, its very urgent!
ladyfurahia, Heaven on earth, Earth on heaven, Himidini, Blue G, Mentor, and familia nzima ya jf plz come and help!
ahsanteni sana!
Mtandao wako si huo unaowa? Au unarudi ubachela.... Acha hizo, ila nijuwavyo wote wanaanzaga kukataa, lakini baada ya muda, kitu na boksi
nakutengenezea surprise baby wangu! we endelea kucomment JF! imba huu wimbo: mimi na wewe ........... sasa endelea!UNDENIABLE kumbe kuna ka shughuli unakaandaa kimya kimya hujanijuza
thubutu, nimdanganye nina kifua! mambo nayopata nahisi nimemu-overtake shetani! rahaaaa!! hasa pale 6 by 6! mtelezo wake bhana weeeeeeee nakumbuka kuna siku limanusura nizimie, lakini kidume nikajikausha nisitukiwe! kitu jotoooooooo!We Heaven on earth Alikudanganya anataka akuwowee wewe nini...!! maana ulivyoshutuka, utafikiri umeota unakufa kwenye zile ndoto ambazo huwezi kukimbia na wenzio wanakuacha huku muuwaji anakukaribia
ahsante sana mkuu!Kuna ukumbi wa Brajec...TPDC zamani- Mikocheni karibu na Rose Garden. Huwa una affordable price kwa both drinks and Menu. Una uwezo wa kubeba watu 150,000. Bila shaka utakufaa kwakuwa bei ya ukumbi nayo ni sawa na bure. Watakuanzia na laki 5 lakini hata laki 3 wanachukua. Nami natarajia kufanya reception party yangu soon. Utembelee ukauone na ujiridhishe pia.
surpriseeeeeeeeeeeee..... relax baby wangu! only me and you kwenye ulimwengu maloveeee!!!yaani Ngalikihinja ilibaki kidogo ni:faint:
toka pepo....toka! toka! toka! toka! moto! moto! moto! pepo wa kumuhamisha baby wa mtu bahamie airtel! moto! moto! toka! toka! mkuu nimekemea pepo iliyokuingia, sijakukemea wewe! najua ni pepo tu iliyopo ndani yako!Hamia Airtel (kwangu)...
ahsante sana wangu wa ukweeee! ahsante sana!mmmmmmmh airtel tena.......
ngoja niendelee kukomaa na huu huu mtandao wangu!!!!!!
hapo underlined mkuu< sio Heaven on earth, labda wengine!Mtandao wako si huo unaowa? Au unarudi ubachela.... Acha hizo, ila nijuwavyo wote wanaanzaga kukataa, lakini baada ya muda, kitu na boksi
ahsante sana mkuu wangu!tbs ubungo karibu na stendi ya mkoa wana ukumbi wa wazi tsh laki 6
Nipo kijitonyamaWanaJF wenzangu!
Plz nahitaji ukumbi wa bei ya wastani kwa ajili ya kufanyia ka-shuguli ketu ka harusi mwezi wa septemba this year!
Naombeni mnijulishe wapi naweza pata!
Hata "open space" pia nazipendelea zaidi kulingana na bei!
Plz help, its very urgent!
ladyfurahia, Heaven on earth, Earth on heaven, Himidini, Blue G, Mentor, and familia nzima ya jf plz come and help!
ahsanteni sana!
^^
Unaandaa harusi bila kumtaarifu shemeji yangu Heaven on earth?
anyway UNDENIABLE mi nipo Arusha
^^
Asante sana mkuu UNDENIABLE kwa kutupa kipaumbele wanafamilia yako ya jf na hivyo kutushirikisha kwenye jambo hili muhimu sana ila kwa mimi siko Dar so ningeshauri ufuate ushauri wa ladyfurahia,hope utakusaidia sana,nakutakia kila la kheri.WanaJF wenzangu!
Plz nahitaji ukumbi wa bei ya wastani kwa ajili ya kufanyia ka-shuguli ketu ka harusi mwezi wa septemba this year!
Naombeni mnijulishe wapi naweza pata!
Hata "open space" pia nazipendelea zaidi kulingana na bei!
Plz help, its very urgent!
ladyfurahia, Heaven on earth, Earth on heaven, Himidini, Blue G, Mentor, and familia nzima ya jf plz come and help!
ahsanteni sana!
Ukipata ya open space unishtue na mimi harusi yangu 2016...!
asante sana mkuu undeniable kwa kutupa kipaumbele wanafamilia yako ya jf na hivyo kutushirikisha kwenye jambo hili muhimu sana ila kwa mimi siko dar so ningeshauri ufuate ushauri wa ladyfurahia,hope utakusaidia sana,nakutakia kila la kheri.
wanajf wenzangu!
Plz nahitaji ukumbi wa bei ya wastani kwa ajili ya kufanyia ka-shuguli ketu ka harusi mwezi wa septemba this year!
Naombeni mnijulishe wapi naweza pata!
Hata "open space" pia nazipendelea zaidi kulingana na bei!
Plz help, its very urgent!
ladyfurahia, heaven on earth, earth on heaven, himidini, blue g, mentor, and familia nzima ya jf plz come and help!
Ahsanteni sana!
2016 hiyo open space si itakuwa imeshajengwa ghorofa?:smile-big: