GYNEOCOLOGIST
Senior Member
- Sep 13, 2016
- 171
- 110
Muundo wa Lugha nyingi duniani hutegemea lugha nyingine. Lugha ya kiswahili kwa kiasi kikubwa imetokana na maneno ya kiarabu mfanoJamani. Naomba kuuliza, neno MUBASHARA linalotumiwa na kituo cha luninga cha ITV ni la Kiswahili sanifu?[/
Kiswahili-Kiarabu
Shukurani-Shukran
Dhahiri-Dhaahir
Iliyo wazi, inayoonekana kwa dhahiri-Mubaashara
So to conclude, mubaashara ni neno la kiswahili