Ukristo unahubiri upendo, je huu ni upendo wa aina gani? Au huu ni Ukristo wa aina gani?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,897
155,939


Mafundisho ya dini ya Kikristo yamejikita zaidi kwenye upendo, kwani ndio amri iliyo kuu kama tulivyo agizwa na Bwana wetu Yesu Kristo.

Miongoni mwa mistari inayo onyesha kiwango cha hali ya juu cha upendo ni ule unaosema tusamehe saba mara sabini. Pia upo ule mstari unaosema ukipigwa shavu la kushoto, geuza na la pili.

Sasa hebu tazama hiyo video, kisha tujadili, ni nini kimetokea? Je huyu anayepiga wenzake na ni kiongozi wa kanisa anasimamia andiko kutoka mstari gani?

Je, huu ni upendo wa namna gani?
 
The God of fiction love
The God of thuggery
The God of threats
Note:...he never existed.

Msipagaishwe na hayo matapeli yajipayo vyeo kama vile, wachungaji, manabii, wainjilisti, walimu wa Neno, mashekhe, mitume, haya yote ni matapeli yanayofanya kazi chini ya kiumbe mmoja anayemiliki dini zote, na huyu kiumbe ndye anayewapa wafuasi wa hizi imani, yale mafeelings(hisia) za kuhisi uwepo/uoga wa dini na kujazwa ujinga kichwani.

Hao wanaofanyia miujiza makanisan nao ni waganga tu, tofaut na hawa waganga wa mitaani na maporini, ni kuwa hao wamejipa majina mazuri na kuwaponda hawa waganga wenzao wasiotumia utapel wa majina na magenge ya jumapil,ijumaa&jmos.

Amkeniii
1642311136184.jpg
 
Ukiangalia kwa jicho la kibinadamu utaona pastor anachapa bakora waumini

Ila kwa jicho la kiroho ni pastor anachapa bakora mapepo yaliyowaingia waumini

Shalom
Dah, kwanini asiwachape mapepo weyewe? Ulimwengu wa kiroho ni dhahiri.

Efe 6:12​

Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho
 
View attachment 2093183Mafundisho ya dini ya Kikristo yamejikita zaidi kwenye upendo, kwani ndio amri iliyo kuu kama tulivyo agizwa na Bwana wetu Yesu Kristo.

Miongoni mwa mistari inayo onyesha kiwango cha hali ya juu cha upendo ni ule unaosema tusamehe saba mara sabini. Pia upo ule mstari unaosema ukipigwa shavu la kushoto, geuza na la pili.

Sasa hebu tazama hiyo video, kisha tujadili, ni nini kimetokea? Je huyu anayepiga wenzake na ni kiongozi wa kanisa anasimamia andiko kutoka mstari gani?
Je huu ni upendo wa namna gani?
Dini imevamiwa
 
Back
Top Bottom