Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,100
- 8,287
hahahahaha weeee unajua kitisi ndio magheto hapo hiyo ndio mitaa yangu ya kujidai Aisee ukishuka hapo stendi ya MK Kwa nyuma tu hapo inaanzia kitisi mpaka Kule bondeni kama unaenda kahawa!naishi kitisi makambako
😂😂😂