Mwamposa ni motooo!
Taifa linatetemeshwa kwa miujiza mbalimbali ambayo kila leo Mungu anawatendea watu wake kwa njia ya Mtume wake mtakatifu!
Majuzi alikuja Mtwara na wengi wameponywa, pepo wametupiwa mbali na viwete wametembea!
Kuna ndugu mmoja kasema alihudhuria huko, na ametoa shuhuda kuwa amepokea pesa sh. 900,000 kwenye simu yake, bila kujulikana ilikotoka, na ameweza kulipa deni lililokuwa linamsumbua!
Muujiza huu umenishangaza Sana!
Kwamba Mungu wetu ameanza kugawa pesa?
Share na sisi ni muujiza gani umetendewa?
Je, Kuna jirani yako amepata muujiza ambao ni real?
Muujiza gani umekustaajabisha na kukushangaza?
Kuna kiwete yoyote mtaani kwako ulimfahamu na hivi Sasa anatembea kwa maombi ya Mwamposa?
Njoo, tuongee ili wengine tuamini ukuu wa Mungu wa Mwamposa!
Taifa linatetemeshwa kwa miujiza mbalimbali ambayo kila leo Mungu anawatendea watu wake kwa njia ya Mtume wake mtakatifu!
Majuzi alikuja Mtwara na wengi wameponywa, pepo wametupiwa mbali na viwete wametembea!
Kuna ndugu mmoja kasema alihudhuria huko, na ametoa shuhuda kuwa amepokea pesa sh. 900,000 kwenye simu yake, bila kujulikana ilikotoka, na ameweza kulipa deni lililokuwa linamsumbua!
Muujiza huu umenishangaza Sana!
Kwamba Mungu wetu ameanza kugawa pesa?
Share na sisi ni muujiza gani umetendewa?
Je, Kuna jirani yako amepata muujiza ambao ni real?
Muujiza gani umekustaajabisha na kukushangaza?
Kuna kiwete yoyote mtaani kwako ulimfahamu na hivi Sasa anatembea kwa maombi ya Mwamposa?
Njoo, tuongee ili wengine tuamini ukuu wa Mungu wa Mwamposa!