Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 668
- 1,505
Mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru nanyi mtakuwa huru kwelikwelihaha, wazayuni wa Chanika wakiamka tafuta pa kujificha bwashee
Mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru nanyi mtakuwa huru kwelikwelihaha, wazayuni wa Chanika wakiamka tafuta pa kujificha bwashee
chanika wapi mkuu Kwa Mbiki,Kwa zoo,chikira,buyuni,Italian,haha, wazayuni wa Chanika wakiamka tafuta pa kujificha bwashee
Lubakayachanika wapi mkuu Kwa Mbiki,Kwa zoo,chikira,buyuni,Italian,
Masantula au Zingiziwa?
Kama wale wa Buyuni Zavara ngoja Ndama mtoto wa Yesu aje!
haaa mamkubwa ndio unaishi hapo kumbe,nipo Kwa Zoo hapa nikisoma ramani za connection!Lubakaya
hahahaha karibu Kwangwalechanika wapi mkuu Kwa Mbiki,Kwa zoo,chikira,buyuni,Italian,
Masantula au Zingiziwa?
Kama wale wa Buyuni Zavara ngoja Ndama mtoto wa Yesu aje!
😂😂😂😂
weee nani kasema naishi hapohaaa mamkubwa ndio unaishi hapo kumbe,nipo Kwa Zoo hapa nikisoma ramani za connection!
aaaha nishagundua hutaki nije Nile ugali Kwako basi sawaaaaa tufanye unaishi Lyamgendela Njombe mama!weee nani kasema naishi hapo
Nitakaribia Mkuu usijali Aisee!hahahaha karibu Kwangwale
naishi kitisi makambakoaaaha nishagundua hutaki nije Nile ugali Kwako basi sawaaaaa tufanye unaishi Lyamgendela Njombe mama!
MAKANISA YA MCHONGO HAYO
Tukiachana na hiyo video ambayo sijaiona tuongelee kuchapa...hivi unapomchapa mwanao maana yake
Ng'washi, uli mhomla?Wewe simba nyanaume na simba ya buyenze mna undugu?
Ngwanene kwanza
#MaendeleoHayanaChama
Upendo unaotakiwa uhubiriwe ni ule kwa Kiingereza unaitwa 'unconditional love' au 'steadfast love' (upendo wa aina hii ni mgumu sana kuuishi - [1 Wakorintho 13:1-13]) na siyo 'reciprocal love' au 'artificial/cosmetic love' (upendo wa aina hii ni rahisi sana kuuishi - [Mathayo 25:41-46]).View attachment 2093183
Mafundisho ya dini ya Kikristo yamejikita zaidi kwenye upendo, kwani ndio amri iliyo kuu kama tulivyo agizwa na Bwana wetu Yesu Kristo.
Miongoni mwa mistari inayo onyesha kiwango cha hali ya juu cha upendo ni ule unaosema tusamehe saba mara sabini. Pia upo ule mstari unaosema ukipigwa shavu la kushoto, geuza na la pili.
Sasa hebu tazama hiyo video, kisha tujadili, ni nini kimetokea? Je huyu anayepiga wenzake na ni kiongozi wa kanisa anasimamia andiko kutoka mstari gani?
Je, huu ni upendo wa namna gani?