Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,318
- 8,231
Nilikua naomba sana Ukomo wa ubunge uwe miaka mitano tu ili kupisha wengine wenye mawazo na mitazamo tofauti kuingia bungeni.
Saa nyingine tunachelewa kuendelea kwa kuwa na wabunge walewale miaka nenda rudi.
Nini maoni yako katika hili.
Saa nyingine tunachelewa kuendelea kwa kuwa na wabunge walewale miaka nenda rudi.
Nini maoni yako katika hili.