Mpeni makalio basi kama mnampenda kiasi hiko.Naunga mkono hoja H.E JPMagufuli anastahili.
mnaounga mkono hoja mfu kama hii mlistahili kuishi miaka ya 50. Hivyo kama mko chini ya 40 poleni sana. Hiyo ndo kazi na matokeo ya uwekezaji ktk elimu wa ccm.Mpeni makalio basi kama mnampenda kiasi hiko.
Ukiendelea kunogewa na huo mchezo utakuharibu zaidi.Mpeni makalio basi kama mnampenda kiasi hiko.
Yamefanyika kwa baadhi ya Nchi na tumeona faida zake kiuchumi.. kwa Afrika liko wazi sana kwa Rwanda Uganda hata hiyo zimbabwe mnayoisema hovyo.!Haya mambo ya kuota na kutamani kubadilisha vifungu vya katiba ili tu kumuaccomodate mtu mmoja ni hatari sana. Uganda na Zimbabwe wanajutia maamuzi yao kimtindo.
Yaani hata zile trillioni 108 zenu bado hamjapata, tayari mpo excited. Why?
..Kwa ulaya ni vema ukatujulisha Bibi Angel mackel wa Ujerumani ni waziri mkuu kwa miaka mingapi sasa na je wanapungukiwa nini..
Kuhusu katiba yao sihitaji kufahamu kuhusu kiongozi kukaa madarakani muda mrefu huo ndio muelekeo wangu na bila shaka ujerumani wamekuwa na chaguzi mara kadhaa na bado Bibi Angel mackel amechaguliwa na kuendelea kuongoza huo ndio mtazamo wangu.So unataka kusema Germany walibadilisha katiba yao ili bibi Merkel aongoze zaidi ya muda uliopangwa (and we can do the same...) au kwa kuwa wao wamefanikiwa kimaendeleo na sisi kasi yetu ya maendeleo itachupa kwa rocket speed kama tutamruhusu Magu atawale miaka 20?
Mkuu, mbona hizi extensions tayari tunazo kwenye vyama vyetu vikiwemo vya upinzani? Kwani unadhani ni kitu kigeni kihivyo!Haya mambo ya kuota na kutamani kubadilisha vifungu vya katiba ili tu kumuaccomodate mtu mmoja ni hatari sana. Uganda na Zimbabwe wanajutia maamuzi yao kimtindo.
Yaani hata zile trillioni 108 zenu bado hamjapata, tayari mpo excited. Why?
teh nadhani sasa amepatikana rais wa kutokuwa na ukomo.Hili ni rungu kwa magwanda.
mzee mwinyi ye sio binadamu au yeye nani? nadhani sasa mpo wawili,wewe na mzee mwinyi mnaotaka iwe hivi....hahahaMzee Mwinyi naye kaona umuhimu wa jambo hili
Rungu kwa Lowassa.teh nadhani sasa amepatikana rais wa kutokuwa na ukomo.
sema tena rungu kwa naniiii?
Rungu na kwa dini yenu piaRungu kwa Lowassa.
hahahaha....haya bhana,sawa.Rungu kwa Lowassa.
hahahaha....haya bhana,sawa.Rungu kwa Lowassa.
mnaounga mkono hoja mfu kama hii mlistahili kuishi miaka ya 50. Hivyo kama mko chini ya 40 poleni sana. Hiyo ndo kazi na matokeo ya uwekezaji ktk elimu wa ccm.