Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,427
Wadau inaonekana tunafanya jambo moja katika level ya vyama lakini katika level ya taifa hatujatilia manani jambo hilo.
Nadhani ipo haja ya kuondoa kipengele cha Rais wa Jamuhuhuri ya muungano kugombea kwa vipindi viwili tu!, na kinyume chake rais aruhusiwe kugombea urais bila kikomo.
-Kwa kuwa jambo hili tumeliona linafaa katika level ya vyama vyetu, nadhani vile vile linafaa katika level ya nchi kwa kuwa ni zuri.
-Kwa kuwa jambo hili tumeweza kulifanikisha katika level za vyama, bila shaka vile vile tuna uwezo wa kulikamilisha katika level ya nchi.
-Kwa kuwa jambo hili tumeliunga mkono kwa nguvu moja katika level za vyama, bila shaka tutalikunga mkono katika level ya nchi vile vile kwa kuwa vyama hivi hivi ndio vinavyoongaza/vinavyotaraji kuongoza nchi.
===========
Update 2017
============
Mzee Mwinyi naye kaona umuhimu wa jambo hili
Nadhani ipo haja ya kuondoa kipengele cha Rais wa Jamuhuhuri ya muungano kugombea kwa vipindi viwili tu!, na kinyume chake rais aruhusiwe kugombea urais bila kikomo.
-Kwa kuwa jambo hili tumeliona linafaa katika level ya vyama vyetu, nadhani vile vile linafaa katika level ya nchi kwa kuwa ni zuri.
-Kwa kuwa jambo hili tumeweza kulifanikisha katika level za vyama, bila shaka vile vile tuna uwezo wa kulikamilisha katika level ya nchi.
-Kwa kuwa jambo hili tumeliunga mkono kwa nguvu moja katika level za vyama, bila shaka tutalikunga mkono katika level ya nchi vile vile kwa kuwa vyama hivi hivi ndio vinavyoongaza/vinavyotaraji kuongoza nchi.
===========
Update 2017
============
Mzee Mwinyi naye kaona umuhimu wa jambo hili