Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
...yaaa hiyo baet iko njema, ngoja niongezeee flavour...
...yaaa hiyo baet iko njema, ngoja niongezeee flavour...
Mbali na kuwa na wimbo wa taifa, Pia tuwe na Bendera yetu ya Tanganyika. Mimi napendekeza iwe na mchanganyiko wa rangi tano. Nyeusi (ikiwakilisha weusi wa asili ya watanganyika), Rangi nyekundu (kuwakumbuka babu zetu waliomwaga damu kwenye vita ya majimaji na ile ya kumuadabisha nduli Idi amini), Rangi nyeupe (kwa sababu Tanganyika imekuwa chachu ya kusaidia Amani na ukombozi wa nchi karibu zote kusini mwa afrika), Njano iwepo (kwa sababu bado ardhi yetu ina madini bwerere na gesi ya kutosha kuzalisha umeme) pia bendera inaweza kuwa na ufito wa kijani (kwa kuwa kilimo ndio uti wa mgongo kwa watanganyika).
duh hii katiba mpya italetaniza na mengine.Unaitwa God save our Queen!
God save our gracious Queen
Long live our noble QueenGod save the Queen!Send her victorious,Happy and glorious,Long to reign over us:God save The Queen!
Kama ingekuwa amri yangu ningeshauri ule wimbo wa "tazama raman utaona nchi nzuri, yenye mito na mabonde mengi ya nafaka...." ni bonge la wimbo
Kama ingekuwa amri yangu ningeshauri ule wimbo wa "tazama raman utaona nchi nzuri, yenye mito na mabonde mengi ya nafaka...." ni bonge la wimbo
Kama ingekuwa amri yangu ningeshauri ule wimbo wa "tazama raman utaona nchi nzuri, yenye mito na mabonde mengi ya nafaka...." ni bonge la wimbo
Kila kitu cha Tanganyika kilibatizwa Utanzania. Hivyo penye Tanzania weka Tanganyika na huo wimbo unaoutaka utaupata.
Kila kitu cha Tanganyika kilibatizwa Utanzania. Hivyo penye Tanzania weka Tanganyika na huo wimbo unaoutaka utaupata.
Kila kitu kipo ,labda WaCCM wawe wamefisidi na kuuwiba !
Kwahiyo ndo kusema kwamba baada ya Tanganyika kupata uhuru huu wimbo wa sasa wa ''Mungu ibariki Tanzania.....''''' ulikuwa wa Tanganyika? Na baada ya kuungana na Zanzibar ukatumika huo huo ila penye Tanganyika wakaweka Tanzania?
Habari wanajamvi wenzangu. Mm nina swali nataka kujua. Je Tanganyika ilipopata uhuru kabla ya kuungana na Zanzibar ilikuwa na wimbo wake wa taifa? Maana tangu nakua sijawahi kusikia wimbo wa Tanganyika zaidi ya huu. ...."""" Mungu ibariki Tanzania.....""""" . Naomba mnijulishe watanzania wenzangu.