Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Hahahaha, nimeolewa Bishanga, nina watoto wawili. But niko leave kwa wazazi wangu. niliingia Sunday. that is why I am so happy to be with dad, kama zamani.
Swadakta,hayo ndo maneno dear,nyumbani kwangu kimewaka kumbe jana miharaka ya kutoka kwa hawara nilivaa Chu...pi ndani nje,wakati nasarura jana usiku mama kayai aka note, tunavyoongea home ni Kosovo,jf Nina browse chooni NA Nokia tochi kangu,kaapa ananimwagia uji WA moto Leo.