Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
nakuangalia tu unavyonikonyeza!
hehehe! Umenionaje?
nakuangalia tu unavyonikonyeza!
duh hii kali....!
Karibu sana kwa darasa... the way you eat (irregular) sio healthy kabisa. hata mimi sometimes hifanya hivo but sio healthy and I wouldn't encourage you. Hata kama huhisi njaa, kula hata matunda basi.
kwa macho......Jey hajambo?hehehe! Umenionaje?