nilivosikia tu kuitwa nimeahirosha hata kikao cha bunge maalum. uko wapi wangu?
Thread hii mtafute member yoyote wa Jf aliepotea na umemiss
mie naanza kwa kumtafuta BAK mara ya mwisho nilimuona akielekea
Angaza hadi leo amekua kimya sana
ujumbe: Milima haikutani binadam hukutana
yaani mali yangu unaweka vyetu kwani tuko kwenye ujamaa
when...
Ahsante sana mdogo wangu. Mimi nipo ila huyu ndugu yetu Bishanga nadhani kahamia Brazil kufanya mazoezi kabla ya kombe la dunia...
Karibu Pasaka huku kwetu....
Asante babu
Nimefurahi kuona mwandiko wako huku
Sent from my iPhone using JamiiForums
Long time mamii, aumajukumu?
J'pil njema