Uko wapi na hii lock down bubu....!?

Uko wapi na hii lock down bubu....!?

Hapo tunaenda pamoja.

🍻

Kumekucha salama, mapambano yanaendelea na jioni mrija kwa umma kama dawa 😜.
Tanzania Tupo Salama, Tunachapa Kazi
Niko Tip Top Watu Wanapambana Tu Na Maisha
 
Take care of current affairs and get prepared for tomorrow

Member that morrow is full of uncertainities....
𝕦𝕣 𝕥𝕣𝕪𝕚𝕟𝕘 𝕥𝕠 𝕥𝕙𝕣𝕖𝕒𝕥𝕖𝕒𝕟𝕚𝕟𝕘 𝕞𝕖
 
I see you!!!🤣

Damn....!! You..!😅😜

Sasa mbona hukunishika bega...!????

Ulikuwa umejikunyata kwenye kiti, umekunyatwa na mtu au ulikuwa unayarudi magoma?

Mi sehemu yenye mziki siwezi kaa, miguu huwa inawasha kama nimewekewa mota.

Kidogo niimbe jana sema walinikatalia 😅
 
Kasinde we jiachie tu huko, nipo naandaa vipamba vya kukupima Covid-19 kwenye takroooo

Aahahahahahhahhhahaaa

Na nnavopenda kutembea wizout, wala hutapata tabu 😂😂😂😂😂😂😂

Theengeeeh weeeh, yaaani uache kuniambukiza utamu wako ukodoe macho kabisaaa unanichukua kipimo cha ‘rona....🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ntakutekenya hadi usahau kama ilikiwa ufanye vipimo au tulikuwa tunacheza chakacha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila miguu inauma, jana nilikuwa nacheza na mchuchumio nilifikiri bado nna miaka 26 😅😅😅

Nahitaji huduma ya kukandwa miguu na sanitaizaya moto 😅

Uko poa lakini...!?? Missed you 😘
 
Npo Gm hotel kwenye residents zao hapa kichwa kimesizi hapa na pombe za jana
 
Tatizo n kudhungu, kinanisumbua mm jamani😁

Aaahahahhaahhaaaa

Hii lugha tamu sana, baada ya sanitaiza kukolea kwenye blangata...😅

Lugha ilikuwa ina floo tuu mdomoni na kwenye keyboard.

Nilikuwa autolugha mode 😂

Leo nimerejea lugha mama sanitaiza imeisha kwenye blangata 😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom