Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,219
- 36,215
- Thread starter
- #101
Vya bure vinagharama jamani๐๐, ko unga? Sabuni? Nakupasi kupo๐คช, hiv kama amejitoa kunigharamia starehe ya nyama choma na kamilinda pembeni, kweli atashindwa kasabuni๐, jokes tu jmn. Ila kanipa sharti gumu la kwenda na baby mama wangu na sina cjui nikodi tu sehemu but after leo tubaki kama awali๐๐
.......๐๐๐๐Asante mkuu kwan siwez kuja alone mana mm bado sijafanya maaamz sahihi ya kuwa nae et
Malikia atakuwa aliweka na kauchawi ili tusiwe tunaielewa vzr๐คฃ๐คฃ๐คฃ, haiwezekani ukiwa unaongea kimoyo moyo kinanyoka vzr ila ukisema ngoja niongee wengne wasikie, mama weeeeeee kinapotea chote kiingilishi๐๐Kwishney...๐๐
Hiv viumbe n pasua kichwa sanaaaa, yan kinile mapene mm hata ww rafk yngu upigwe nyama choma za bure kweli๐๐๐.......๐๐๐๐
Ni wazi ๐๐๐๐Aahahahahahahhaaa
Hii asubuhi nimepitia comment zangu zote nilizoandika jana nimezirekebisha...๐
Maneno yalikuwa yanajitype tuu, santaiza ilikiwa 98% ๐
Nilikuwa hyper sanaaa, kumbe ulinistukia eeehhhh....๐๐๐
Pombe niliyokunywa Jana yani kila thread nilikua naacha comment ..hii pombe hiiAahahahahahahhaaa
Hii asubuhi nimepitia comment zangu zote nilizoandika jana nimezirekebisha...
Maneno yalikuwa yanajitype tuu, santaiza ilikiwa 98%
Nilikuwa hyper sanaaa, kumbe ulinistukia eeehhhh....
Pombe niliyokunywa Jana yani kila thread nilikua naacha comment ..hii pombe hii
Nilikua hyper kinoma hata sijui kwangu nimefikaje ...! Wkend inaendelea Tule chombo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kmlmmmyke ๐
Pole aisee mi nilipo si joto Wala si bardi ...you can imagine ninavo enjoy ..!Duuh polee...
Mie nimekuja kujiloweka bahari beach huku hili joto sijui ndo lina sambaza โrona....!!!!?
... totallyUjana maji ya moto meeen...!
Picnic ya ngaramton au karbu na Shiva ..kalorenthe picnic arusha hapa...karibuni wadau au aliepo hapa anicheki nimetupia tshirt y gold imeandikwa YOUR MOM WAS HERE
Pole aisee mi nilipo si joto Wala si bardi ...you can imagine ninavo enjoy ..!
Sent using Jamii Forums mobile app