Uko wapi na hii lock down bubu....!?

Uko wapi na hii lock down bubu....!?

Kasie maneno mengi sasa yananipiga usoni. 😂😆
Hebu andika maneno yalio nyooka yani straight

Aahahahahahahhaaa

Hii asubuhi nimepitia comment zangu zote nilizoandika jana nimezirekebisha...😅

Maneno yalikuwa yanajitype tuu, santaiza ilikiwa 98% 😂

Nilikuwa hyper sanaaa, kumbe ulinistukia eeehhhh....😄😄😄
 
Amenialika leo😍😋

Saafeeeyyyy

Na wewe ukienda mpelekee zawadi walau mkate au sabuni ya unga 😅.

Usiende mikono mitupu.

Au ubebe pasi yako ukamnyooshee nguo kama zawadi, atafurahi sana 😜.
 
Npo Gm hotel kwenye residents zao hapa kichwa kimesizi hapa na pombe za jana

Agiza maji makubwa na supu kisha uoge halafu urudi kulala.

Ukiamka mchana oga kisha agizia ugali mazagazaga utakuwa fresh kwa makamuzi ya leo.
🍻
 
Ewaaaahhhhh....

Ulikujaaa...!????

Au ndo wewe ulikuwa bize na simu kila saa unajipiga selfie na watu tofauti tofauti
hapana, nilikua naangaza simu nione reply yako, bahati mbaya ulikawia sana! Nikahama kiwanja, .mm nakunywa juice tu
 
Nireteeni Gwajima
Nireteeni Tulia, Nitatulia
Huyu Daniel Hajui Kujiereza Ni Darasa ra Saba
Ila Kwenye Matatizo Yenu Atawatetea Kule Bungeni
 
Aaahahahhaahhaaaa

Hii lugha tamu sana, baada ya sanitaiza kukolea kwenye blangata...😅

Lugha ilikuwa ina floo tuu mdomoni na kwenye keyboard.

Nilikuwa autolugha mode 😂

Leo nimerejea lugha mama sanitaiza imeisha kwenye blangata 😜
Ime-ekisipai ghafla jaman🤣🤣🤣🤣
 
Saafeeeyyyy

Na wewe ukienda mpelekee zawadi walau mkate au sabuni ya unga 😅.

Usiende mikono mitupu.

Au ubebe pasi yako ukamnyooshee nguo kama zawadi, atafurahi sana 😜.
Vya bure vinagharama jamani😆😆, ko unga? Sabuni? Nakupasi kupo🤪, hiv kama amejitoa kunigharamia starehe ya nyama choma na kamilinda pembeni, kweli atashindwa kasabuni😁, jokes tu jmn. Ila kanipa sharti gumu la kwenda na baby mama wangu na sina cjui nikodi tu sehemu but after leo tubaki kama awali😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom